Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021
Sasa hivi kuna Rushwa Sana Tena bila aibu, acha uongo! Twende nikakuonyeshe, Barabara ni za udongo tu, mahakama ya mafisadi haijawahi kufanya kazi , Watumishi Feki? Bandari watu wanapiga Kama kawa...
Ninauona ugumu wa kupambana na rushwa kwenye mazingira ya kufungwa midomo. Zaidi naona kioo kilicho vunjwa, ambacho hapo kabla ya kuvunjwa kilionesha uchafu.
 
Hivi mtu Mwenye akili kweli kabisa anaweza Kusema kuwa Road License imeondoshwa? Hivi imeondoshwa au imeongezwa? Akili zenu zinafanya kazi kweli
 
Ndugu watanzania wenzangu salamu sana..

Ebu tuweke siasa pembeni dakika chache tu tufikiri kidogo tu.. Naweka UCCM wangu pembeni hapa naomba na UCHADEMA ukae pembeni hapa..!! Let's talk serious issues..!!

Kwa miaka 2 na nusu tu, Mh. Rais Magufuli kafanya haya..
1: Kakomesha rushwa nchini kwa kiwango kikubwa mno mnoo..!!
2: Mafisadi papa wanashughulikiwa
3: Watumishi wenye vyeti feki wametolewa na kuendelea kuhakikiwa wengine..
4: Wizi wa kutisha Bandarini, Madini, TRA, Uwindaji haramu, etc umedhibitiwa haraka..
5: Ujenzi wa Reli ya Umeme wa kisasa kabisa umeanza..
6: Ujenzi wa Bwawa kubwa la umeme Stigler's Gorge 2,100 MW umeanza..!!
7: Kufufua Shirika letu la Ndege la ATCL, wote tumeona ndege mpya zimewasili tayari na zingine zitakuja very soon..!! Na zinaruka na ni marubani wazawa wanarusha..!!
8: Fly overs, ya TAZARA 98% tayari soon watafungua..!! Ubungo Interchange ujenzi mkubwa unaendelea..
9: Barabara za lami sehemu mbalimbali zinaendelea kujengwa..
10: Jengo la abiria la kisasa kabisa Uwanja wa Julius Nyerere International Airport Dar es Salaam karibia kumalizika...TANROAD wamefanya kazi nzuri mno mnoo.. Na viwanja vingi vya ndege vinaendelea kujengwa.. Runways kadhaa ziko under construction..!!
11: Serikali kuhamia Dodoma, hili ni suala kubwa sana sana, Mh. Rais kafanya kwa vitendo..!!
12: Majambazi wamemalizwa ndani ya muda mfupi tu na polisi waliokuwa sio waaminifu wameondolewa haraka..!! Siku hizi ujambazi umepungua sanaaa..!!
13: Wanyonge wenye haki zao wanazipata siku hizi, mfano hati miliki za ardhi, matajiri hawanyanyasi wanyonge tena, etc
14: Wafanyabiashara, kampuni za simu, banks sasa hulipa kodi halali bila ujanja ujanja wa kukwepa kodi..!!
15: Kufutwa kwa kodi ya Motor Vehicle licence sasa imeingizwa ktk mafuta, yaani utalipia halali kabisa, kama gari lako halitembei hulipi kodi kwa maana hutanunua mafuta, utalipia kodi tu ukinunua mafuta na imeingizwa humo, hii imeondoa sana usumbufu mabarabarani na kuongeza mapato sana kwa serikali..!!

Na mengine mengi mengiiiii mazuri..!!

Swali: Hivi ukitumia akili ya kawaida tu, unapata wapi uzalendo au hata mawazo ya kupinga haya? Sisemi Mh. Rais wetu ni mtakatifu sana, hapana, ni binadamu, ana madhaifu kama mwanadamu yeyote yule, sasa mtu anayeweza fanya haya yoooote ndani ya miaka 2 na nusu tu, unampinga kwa lipi? Utakuwa ww sio mtanzania au mzalendo au wakala wa shetani usiyetakia mema nchi yetu kumpinga Mh. Rais wetu.. Mawakala wa shetani wasioipenda nchi yetu ndio wanaweza pinga maendeleo haya..!!

Mungu mbariki Mh. Rais wetu, Mungu ibariki Tanzania..!!View attachment 828706

Ujenzi wa daraja la TAZARA ulianza awamu ya nne
 
Kaanzisha viwanda vingi haswa kile cha kununua madiwani na wabunge nampongeza kwa kiwanda hiki

Pili kafanikiwa kufunga bank kadhaa, wapiga dili wanalijua hili

Tatu kutufanya tuwe kamaRwanda haya ni maendeleo makubwa sana
 
Lazima tuheshimu mawazo yako lakin Kwani mtangulizi aliyepita haikufanya vitu vikubwa?naomba nikwambie serikali hii ina-brand sana vitu inavyofanya wakati ni jukumu lake laiti serikali iliyopita ingeziba watu midomo kama ivi na ingekua ina-brand vitu ilivyofanya kama hii ya sasa!watu wasiofutalia mambo kwa kina kama wewe mngejua Tanzania kwa sasa kiuchumi inakaribiana na Mjapani
 
Ndugu watanzania wenzangu salamu sana..

Ebu tuweke siasa pembeni dakika chache tu tufikiri kidogo tu.. Naweka UCCM wangu pembeni hapa naomba na UCHADEMA ukae pembeni hapa..!! Let's talk serious issues..!!

Kwa miaka 2 na nusu tu, Mh. Rais Magufuli kafanya haya..
1: Kakomesha rushwa nchini kwa kiwango kikubwa mno mnoo..!!
2: Mafisadi papa wanashughulikiwa
3: Watumishi wenye vyeti feki wametolewa na kuendelea kuhakikiwa wengine..
4: Wizi wa kutisha Bandarini, Madini, TRA, Uwindaji haramu, etc umedhibitiwa haraka..
5: Ujenzi wa Reli ya Umeme wa kisasa kabisa umeanza..
6: Ujenzi wa Bwawa kubwa la umeme Stigler's Gorge 2,100 MW umeanza..!!
7: Kufufua Shirika letu la Ndege la ATCL, wote tumeona ndege mpya zimewasili tayari na zingine zitakuja very soon..!! Na zinaruka na ni marubani wazawa wanarusha..!!
8: Fly overs, ya TAZARA 98% tayari soon watafungua..!! Ubungo Interchange ujenzi mkubwa unaendelea..
9: Barabara za lami sehemu mbalimbali zinaendelea kujengwa..
10: Jengo la abiria la kisasa kabisa Uwanja wa Julius Nyerere International Airport Dar es Salaam karibia kumalizika...TANROAD wamefanya kazi nzuri mno mnoo.. Na viwanja vingi vya ndege vinaendelea kujengwa.. Runways kadhaa ziko under construction..!!
11: Serikali kuhamia Dodoma, hili ni suala kubwa sana sana, Mh. Rais kafanya kwa vitendo..!!
12: Majambazi wamemalizwa ndani ya muda mfupi tu na polisi waliokuwa sio waaminifu wameondolewa haraka..!! Siku hizi ujambazi umepungua sanaaa..!!
13: Wanyonge wenye haki zao wanazipata siku hizi, mfano hati miliki za ardhi, matajiri hawanyanyasi wanyonge tena, etc
14: Wafanyabiashara, kampuni za simu, banks sasa hulipa kodi halali bila ujanja ujanja wa kukwepa kodi..!!
15: Kufutwa kwa kodi ya Motor Vehicle licence sasa imeingizwa ktk mafuta, yaani utalipia halali kabisa, kama gari lako halitembei hulipi kodi kwa maana hutanunua mafuta, utalipia kodi tu ukinunua mafuta na imeingizwa humo, hii imeondoa sana usumbufu mabarabarani na kuongeza mapato sana kwa serikali..!!

Na mengine mengi mengiiiii mazuri..!!

Swali: Hivi ukitumia akili ya kawaida tu, unapata wapi uzalendo au hata mawazo ya kupinga haya? Sisemi Mh. Rais wetu ni mtakatifu sana, hapana, ni binadamu, ana madhaifu kama mwanadamu yeyote yule, sasa mtu anayeweza fanya haya yoooote ndani ya miaka 2 na nusu tu, unampinga kwa lipi? Utakuwa ww sio mtanzania au mzalendo au wakala wa shetani usiyetakia mema nchi yetu kumpinga Mh. Rais wetu.. Mawakala wa shetani wasioipenda nchi yetu ndio wanaweza pinga maendeleo haya..!!

Mungu mbariki Mh. Rais wetu, Mungu ibariki Tanzania..!!View attachment 828706
Unatumia kiungo gani kufikiri ndugu
Rushwa gani aliyokomesha au huna habari mBUNGE wako karukiwa
 
Hata mimi nilikua na akili kama zako kabla sijaenda huko vijijini kujionea hali halisi ya maisha ya watanzania wa huko.

Hali walizonazo hazisaidiwi na yote uliyoyaainisha hapo.

Kwa mfano, bibi zangu wanasaidika na nini kwa serikali kuhamia dodoma wakiwa wapo huko iringa?

Unazungumzia flyover sijui. Sasa watu wa mbeya inawasaidia nini?
Kama hujui, uwanja wa ndege na hizo flyover ni kikwete.

Pili, shida ya watanzania sio kuwa na serikali yenye ndege. Shida zetu ni maji safi na salama kila kona, madawa ya kutosha mahospitalini, shuleni kuwe na walimu wa kutosha, kila mwanafunzi wa elimu ya juu apewe mkopo pasipo kubagua maana kodi ni zetu wote

Kwa leo niishie hapo tu
*Nikiwa Rais nakupa uwazir! Yote tisa umetoa Elimu.

Kuna stori moja jamaa alikua anasomeshwa na kijiji, alivorudi baada ya kuhitimu walijaa watu kibao.nyumban kwao (wanakijiji) aka wananzengo..lengo walisikia bwana uyo kasomea udaktari, walikuja kupata huduma za kitabibu (matibabu na usahur wa kidaktari).

Ndipo Daktar uyo aliwashangaza kwa kuwambia wale watu wote kwamba amesomea udaktar wa wanyama... [emoji23][emoji23][emoji23]

#somo: Elimu ni ufunguo wa maisha ila inaweza kua pia kufuli isipotumika sahihi - budebajr
 
Hakika Mungu alijibu maombi mengi ya watanzania mwaka 2015 ambao walimlilia awape kiongozi bora.

JPM is the real deal.
 
10102ac521314716b0cdeb7f1e57ec04.jpg


Wanajukwaa poleni na misukosuko ya kujibadili kutoka kuwa walaji wa Mwisho kuelekea nchi ya Viwanda.

Uwanja huu ni maalumu kama ule wa Safari za nje za Jakaya kikwete ila huu ni mahususi kukusanya mambo mazuri ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli juu ya maendeleo yetu hasahasa kauli yake kuu Juu ya Nchi ya Viwanda na Elimu Bure nk.

Unaruhusiwa kugusia miundo mbinu, Afya, Usafiri, Maendeleo ya Majeshi Yetu, Uvuvi,Michezo, Habari, Siasa, Viwanda,Teknolojia, Pato la Taifa nk.
Ila tu iwe kwa tulipotoka na Alipofanikiwa na nini tufanye kumsaidia kujiongeza zaidi.

Mpaka sasa kafanya haya;

Hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza.
Ununuzi wa Ndege 2 (Nyingine 3 ziko mbioni kuja).
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco Dsm
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
------------

Na haya ameanza tarehe 12/4/2017;

Uzinduzi ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme.
Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba

Kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.

Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.

Miradi Mikubwa ya Maji :

Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima mpaka Tanga
Kwani hizo fedha alizotumia kufanya hayo mambo unayosema (kama ni kweli) alizitoa mifukoni mwake au alitumia kodi zetu? Jibu hili swali kwanza ahalafu nikuulize tena.
 
elimu bure imesaidia wanafunzi kuongezeka
Vituo vya afya vimeboreshwa
Urasimishaji wa makazi kwa wananchi
Nidhamu ya pesa hata kama ni kidogo
na mengine meeengiii
 
Back
Top Bottom