technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Nimekaa TRA toka saa 3 hadi saa 4:30 pale Samora hawan network nilitaka ku renew leseni yangu ya udereva. Hata sasa nimempigia dogo nilimwacha pale bado hakuna network. So nchi hii bado sana pamoja na pambio zote mnazoimba.
Unasahau kuwa mambo makubwa yanaanza na kufanikiwa kwenye mambo madogo jombaa. Kuweka watu almost 4 hrs hakuna huduma unaona ni jambo dogo?Mkuu tunazungumzia ujumla wa mambo, wewe uliyoyataja ni yale madogo madogo
Hata mimi nakuunga kidole cha katiNimepata fursa ya kuzunguka mikoa kadhaa mambo yamebadilika san,kila nilikopita watu wapo bize kweli kweli vijana kwa wazee
Huko shambani ndio usiseme kila kijiji unapita unakuta makundi kwa makundi wanaotesha mazao
Ile tabia ya watu kukaa bar saa moja asubuhi kwa kisingizio cha kutoa hangover hakuna tena, hangover inatolewa baada ya kazi
Toka Magufuli aingie madarakani sioni tena vijana wakikaa vijiweni na kucheza bao Muda wa kupambana
Huyu ndio Rais tuliyemlilia sisi Watanzania amebadilisha mtazamo wa Watanzania wengi mno wamekuwa wabunifu
Kabla ya Magufuli vijana waliokuwa wanaenda chuo walikuwa wakipata pesa za mkopo zinaishia kuzitapanya lkn sasa vijana wanaenda chuo wakipata mkopo hutunza pesa ili wajiajiri baada ya kumaliza chuo
Vijana wengi wasomi wamebadilika sana kimtazamo wabahili kweli kweli wanawaza maendeleo
Kumbe tulikuwa tunahitaji mtu mwenye uthubutu tu kubadilisha mind set za vijana
Ahsante Magufuli umetubadilisha wengi Endelea hivyo hivyo tuwe wachangamfu kwenye fursa kama wanigeria
Unasahau kuwa mambo makubwa yanaanza na kufanikiwa kwenye mambo madogo jombaa. Kuweka watu almost 4 hrs hakuna huduma unaona ni jambo dogo?
unajichosha kumuelewesha huyu mataga.Unasahau kuwa mambo makubwa yanaanza na kufanikiwa kwenye mambo madogo jombaa. Kuweka watu almost 4 hrs hakuna huduma unaona ni jambo dogo?
Hongera Sana Serikali Ya Awamu ya Tano Kwa Kutujari Wanyonge.
Si umuingizie kabisaHata mimi nakuunga kidole cha kati
mzee gani??
Pambio namba 100..ongezeni sauti jamani
Mwanza hata mtu akijenga katikati ya barabara msimbomolee hao ndio wapiga kura wangu.Nahiyo nayo ni kazi?
Kile kiwanda chenu cha kupika majungu na upotoshaji kimebaki uchi sasa, mmebaki tupu sasa
Ni kweli mtoa mada, binafsi ninafanya kazi za ziada ambazo awali sikutaraji kuzisimamia mwenyewe. Muhimu tu ajenge mifumo na taasis imara tukianza na katiba bora, na kusimamia na kuiheshimu.Atakuwa kiongozi bora zaidi katika historia ya taifa letu.