johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mkuu ulikuwa hujui hilo?Yeye anapiga kazi tu, sisi tunaona matokeo chanya, sasa tunampigania 2025 aendelee, na siyo sisi tu mpaka huko juu kwa ma elite wanataka hivyo, kweli Raisi Magufuli kanifundisha kitu, hard work pays, ngoja nimuige kujituma sasa wewe endelea kupiga umbea na majungu utaishia hapo hapo zahanati tu, ...
Hizo milioni 50 kila kijijini wala siwezi kumkumbusha maana najua hawezi kutoa.
Maendeleo hayaletwi kwa kutumia ubabe,dharau, kiburi, jeuri, nguvu , kwani kazi anafanya peke yake?
Kwa akili yako unadhani kafanya Haya kwa kutumia fedha halali? Binafsi naamini ni fedha za watumishi wa umma ! Kwanini! Pigs hesabu annual increments ambazo hajalipa kwa Miaka minne ni shilling ngapi? Nauli wanazo stahili kulipwa wakati wanaenda likizo ni kiasi gani? Fedha za NHIF zimeenda wapi? Jiongeze
Wanajukwaa poleni na misukosuko ya kujibadili kutoka kuwa walaji wa Mwisho kuelekea nchi ya Viwanda.
Uwanja huu ni maalumu kama ule wa Safari za nje za Jakaya kikwete ila huu ni mahususi kukusanya mambo mazuri ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli juu ya maendeleo yetu hasahasa kauli yake kuu Juu ya Nchi ya Viwanda na Elimu Bure nk.
Unaruhusiwa kugusia miundo mbinu, Afya, Usafiri, Maendeleo ya Majeshi Yetu, Uvuvi,Michezo, Habari, Siasa, Viwanda,Teknolojia, Pato la Taifa nk.
Ila tu iwe kwa tulipotoka na Alipofanikiwa na nini tufanye kumsaidia kujiongeza zaidi.
Mpaka sasa kafanya haya;
Hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza.
Ununuzi wa Ndege 2 (Nyingine 3 ziko mbioni kuja).
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco Dsm
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
------------
Na haya ameanza tarehe 12/4/2017;
Uzinduzi ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme.
Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba
Kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.
Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.
Miradi Mikubwa ya Maji :
Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima mpaka Tanga
============
emie emie posted: Kwa kweli Rais wetu kafanya makubwa sanaa..
Kila upitapo sasa hivi ni ujenzi unaendelea...Dar es Salaam kila kona Barabara ya Tandale-Sinza- Mawasiliano inajengwa
Madaraja yanajengwa
Upanuzi wa barabara kuu ya Ubungo hadi chalinze unafanywa
Daraja Kilombero miaka yote wapigaji walikuwa wanakula hela za wananchi kuwavusha ila sasa limejengwa
Flyovers zinajengwa
Miradi ya umeme inajengwa na miradi mingi ni kwa hela za watanzania wenyewe
Miaka yote maeneo ya Mbezi na kimara walikuwa hawapati maji japo yanapita njia hiyo hiyo lakini sasa maji yamefika mbezi, na bado wanaendelea kutandaza mabomba ili kupeleka maji. Awali waliokuwa wanakula hela za wananchi ni wenye miradi ya kuuza maji kwa magari. Ila sasa wananchi wamekombolewa.
Utendaji kazi umeimarika, sasa hivi kila mmoja anaona cheo akipewa ni kama kakalia kaa la moto..Yale mambo ya kupiga hela na kukaa ofisini kupiga usingizi yameisha watu ni kazi la sivyo unawajibishwa.
Madawa sasa yanapatikana hospitali, ile hali ya madawa ya hospitali yanapelekwa katika Pharmas binafsi imeisha.
Hospitali sasa za serikali ukienda mgonjwa anajaliwa sio kama ilivyokuwa awali.
Taasisi za serikali wafanyakazi wamekuwa wanawajibika ....hakika nidhamu imeimarika.
Kwa sasa taasisi za serikali zinajiendesha kibiasara bali si kihasara kama ilivyokuwa awali, ilikuwa ni ulaji tuu wa hela, upigaji dili, taasisi zinakufa, hakuna gawio kwa serikali, ila sasa zinatoa gawio...Hakika kila kitu ni usimamizi imara, ukicheka na kima utavuna mabua.
Awali watu walikuwa wanaulilia uongozi, hata wasio kuwa na elimu walikuwa wanagombea kupata uongozi, sasa uongozi umekuwa mgumu sababu kama wewe si muwajibikaji una ndoto za kupiga tuu, hupati nafasi, Uongozi umekuwa una hadhi kwa sasa.
Hakika Namsifu Rais wetu...
Pia soma;
Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania
Binafsi nimefurahishwa na kasi ya Rais Dkt. Magufuli. Naamini wapo pia wengi wanaoungana nami katika furaha hii. Rais Magufuli ameanza kwa kasi ambayo kama ataimaintain, Tanzania haimalizi miaka mitano itakuwa tayari ni nchi yenye kipato cha kati. Hata hivyo wapo baadhi yetu ambao wanakejeli...www.jamiiforums.com
Non Sense!!! Ulivyoanza Kusema nchi nzima ndio nikaona haupo serious!Katika kipindi kifupi cha miaka 4 tumeshuhudia Rais wetu akisimamia kwa nguvu miradi mingi yenye thamani kubwa ya fedha na yote inatambaa kwa nguvu na speed kubwa.
Ni katika nchi hii tuliaminishwa kuwa hakuna hela, hela zinapatikana nje ya nchi tu. Lakini leo mheshimiwa rais amesema hela zipo hapa na nje hatoki na miradi inakwenda vizuri. Ni lazima tujiulize hizi hela zilikuwa wapi?
Badala ya kulalamika tujifunze mbinu anazotumia kupata fedha. Tuache kufanya kimoja kimoja kama tunaendesha familia zetu. Tukumbuke hii ni nchi siyo familia.
Rais wetu ana akili nyingi sana.
Tena katika kipindi cha miaka hii minne hata wazungu wasingeweza kwenda na hizi multiple and giant projects Kwa wakati mmoja. Only geniuses can do this.
Kwa wakati mmoja amefanya yafuatayo na yote yanatambaa.:
1. Ujenzi wa barabara zote zinaendelea na zina kamilika kwa wakati.
2. Ujenzi wa bwawa la umeme unaendelea na mkandarasi yuko sight
3. Ujenzi wa hospitali na vituo vya afya umekamilika kote nchini
4. Ujenzi wa stand za kisasa za mabasi nchi nzima
5. Ujenzi wa masoko nchi nzima
6. Ujenzi wa machinjio za kisasa
7. Ujenzi reli unaendelea
8. Ununuzi wa ndege
9. Uanzishwaji wa viwanda nchi nxima. Hadi sasa viwanda vimefufuliwa na kujengwa upya zaidi 4000.
10. Madawa supply ipo constantly kuanzia ngazi ya zahanati hadi hospitali ya taifa
11. Usambazaji wa umeme mijini na vijijini unaendelea kwa kasi
12. Elimu bure inaendelea
13. Mishahara inalipwa kwa wakati.
14. Upanuzi wa viwanja vya ndege
15. Kuhamia Dodoma walisema hawezi sasa ameweza. Na amejenga temporary offices za wizara na permanent Ikulu.
16. Ujenzi wa hospitali ya uhuru
17. Ununuzi wa vivuko na meli
Yote haya yanakwenda kwa wakati mmoja. Only geniuses can do this coz anakuwa na planning.
Sasa vilaza ndo wanalalamika wanaona maajabu. Jamani ni kawaida tu msishangae tunachapa kazi. Na zote zitakamilika kwa 100% tumpe nafasi rais wetu achape kazi vilaza acheni kulalamika.
Usifikirie kama unaendesha familia yako fikiria kama unaendesha nchi. Hatutaki twende na kimoja kimoja nchi kubwa hii hatuta fika kwa wakati tunaotaka.
Tumechelewa mno, tumeibiwa mno.
Badala ya kumshukuru Mungu kwa zawadi ya rais wetu watu tuache kubeza juhudi hizi. Tumshukuru Mungu ampe afya njema rais wetu ili tufike mbali. Baada ya kipindi chake yawezekana tusipate mwingine kama huyu.
Tuache genius wetu afanye kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Ni genius au zezeta? Shirika litapataje faida kwa uduanzi huu?
Ingeanzia ruti za mwanza huko huko sioHuyu Ni genius au zezeta? Shirika litapataje faida kwa uduanzi huu?
Katika kipindi kifupi cha miaka 4 tumeshuhudia Rais wetu akisimamia kwa nguvu miradi mingi yenye thamani kubwa ya fedha na yote inatambaa kwa nguvu na speed kubwa.
Ni katika nchi hii tuliaminishwa kuwa hakuna hela, hela zinapatikana nje ya nchi tu. Lakini leo mheshimiwa rais amesema hela zipo hapa na nje hatoki na miradi inakwenda vizuri. Ni lazima tujiulize hizi hela zilikuwa wapi?
Badala ya kulalamika tujifunze mbinu anazotumia kupata fedha. Tuache kufanya kimoja kimoja kama tunaendesha familia zetu. Tukumbuke hii ni nchi siyo familia.
Rais wetu ana akili nyingi sana.
Tena katika kipindi cha miaka hii minne hata wazungu wasingeweza kwenda na hizi multiple and giant projects Kwa wakati mmoja. Only geniuses can do this.
Kwa wakati mmoja amefanya yafuatayo na yote yanatambaa.:
1. Ujenzi wa barabara zote zinaendelea na zina kamilika kwa wakati.
2. Ujenzi wa bwawa la umeme unaendelea na mkandarasi yuko sight
3. Ujenzi wa hospitali na vituo vya afya umekamilika kote nchini
4. Ujenzi wa stand za kisasa za mabasi nchi nzima
5. Ujenzi wa masoko nchi nzima
6. Ujenzi wa machinjio za kisasa
7. Ujenzi reli unaendelea
8. Ununuzi wa ndege
9. Uanzishwaji wa viwanda nchi nxima. Hadi sasa viwanda vimefufuliwa na kujengwa upya zaidi 4000.
10. Madawa supply ipo constantly kuanzia ngazi ya zahanati hadi hospitali ya taifa
11. Usambazaji wa umeme mijini na vijijini unaendelea kwa kasi
12. Elimu bure inaendelea
13. Mishahara inalipwa kwa wakati.
14. Upanuzi wa viwanja vya ndege
15. Kuhamia Dodoma walisema hawezi sasa ameweza. Na amejenga temporary offices za wizara na permanent Ikulu.
16. Ujenzi wa hospitali ya uhuru
17. Ununuzi wa vivuko na meli
Yote haya yanakwenda kwa wakati mmoja. Only geniuses can do this coz anakuwa na planning.
Sasa vilaza ndo wanalalamika wanaona maajabu. Jamani ni kawaida tu msishangae tunachapa kazi. Na zote zitakamilika kwa 100% tumpe nafasi rais wetu achape kazi vilaza acheni kulalamika.
Usifikirie kama unaendesha familia yako fikiria kama unaendesha nchi. Hatutaki twende na kimoja kimoja nchi kubwa hii hatuta fika kwa wakati tunaotaka.
Tumechelewa mno, tumeibiwa mno.
Badala ya kumshukuru Mungu kwa zawadi ya rais wetu watu tuache kubeza juhudi hizi. Tumshukuru Mungu ampe afya njema rais wetu ili tufike mbali. Baada ya kipindi chake yawezekana tusipate mwingine kama huyu.
Tuache genius wetu afanye kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapumbaavuu watapinga watakuambia hakuna miradi mikubwa aliyofanya magufuli kama ya IPTL chini ya kikweteKatika kipindi kifupi cha miaka 4 tumeshuhudia Rais wetu akisimamia kwa nguvu miradi mingi yenye thamani kubwa ya fedha na yote inatambaa kwa nguvu na speed kubwa.
Ni katika nchi hii tuliaminishwa kuwa hakuna hela, hela zinapatikana nje ya nchi tu. Lakini leo mheshimiwa rais amesema hela zipo hapa na nje hatoki na miradi inakwenda vizuri. Ni lazima tujiulize hizi hela zilikuwa wapi?
Badala ya kulalamika tujifunze mbinu anazotumia kupata fedha. Tuache kufanya kimoja kimoja kama tunaendesha familia zetu. Tukumbuke hii ni nchi siyo familia.
Rais wetu ana akili nyingi sana.
Tena katika kipindi cha miaka hii minne hata wazungu wasingeweza kwenda na hizi multiple and giant projects Kwa wakati mmoja. Only geniuses can do this.
Kwa wakati mmoja amefanya yafuatayo na yote yanatambaa.:
1. Ujenzi wa barabara zote zinaendelea na zina kamilika kwa wakati.
2. Ujenzi wa bwawa la umeme unaendelea na mkandarasi yuko sight
3. Ujenzi wa hospitali na vituo vya afya umekamilika kote nchini
4. Ujenzi wa stand za kisasa za mabasi nchi nzima
5. Ujenzi wa masoko nchi nzima
6. Ujenzi wa machinjio za kisasa
7. Ujenzi reli unaendelea
8. Ununuzi wa ndege
9. Uanzishwaji wa viwanda nchi nxima. Hadi sasa viwanda vimefufuliwa na kujengwa upya zaidi 4000.
10. Madawa supply ipo constantly kuanzia ngazi ya zahanati hadi hospitali ya taifa
11. Usambazaji wa umeme mijini na vijijini unaendelea kwa kasi
12. Elimu bure inaendelea
13. Mishahara inalipwa kwa wakati.
14. Upanuzi wa viwanja vya ndege
15. Kuhamia Dodoma walisema hawezi sasa ameweza. Na amejenga temporary offices za wizara na permanent Ikulu.
16. Ujenzi wa hospitali ya uhuru
17. Ununuzi wa vivuko na meli
Yote haya yanakwenda kwa wakati mmoja. Only geniuses can do this coz anakuwa na planning.
Sasa vilaza ndo wanalalamika wanaona maajabu. Jamani ni kawaida tu msishangae tunachapa kazi. Na zote zitakamilika kwa 100% tumpe nafasi rais wetu achape kazi vilaza acheni kulalamika.
Usifikirie kama unaendesha familia yako fikiria kama unaendesha nchi. Hatutaki twende na kimoja kimoja nchi kubwa hii hatuta fika kwa wakati tunaotaka.
Tumechelewa mno, tumeibiwa mno.
Badala ya kumshukuru Mungu kwa zawadi ya rais wetu watu tuache kubeza juhudi hizi. Tumshukuru Mungu ampe afya njema rais wetu ili tufike mbali. Baada ya kipindi chake yawezekana tusipate mwingine kama huyu.
Tuache genius wetu afanye kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Genius gani hata kingereza hajui
Ungejua magufuli anachukiwa na wananchi wengi usinge kuja na huu upumbavu.
Mwenyewe anajua
Ushahidi serikali za mitaa.
Pamoja na mikelele yite hii bado mkaiba ushindi.
Tatizo mnadhani kindege hii ndio inamsaidia mwananchi.
Poor strategy na mtapata taabu sana .
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kwenye kampeni za uchaguzi wa raisi 2020 Genius JPM hata ongea. Atashika karatasi ndefu tatu;Katika kipindi kifupi cha miaka 4 tumeshuhudia Rais wetu akisimamia kwa nguvu miradi mingi yenye thamani kubwa ya fedha na yote inatambaa kwa nguvu na speed kubwa.
Ni katika nchi hii tuliaminishwa kuwa hakuna hela, hela zinapatikana nje ya nchi tu. Lakini leo mheshimiwa rais amesema hela zipo hapa na nje hatoki na miradi inakwenda vizuri. Ni lazima tujiulize hizi hela zilikuwa wapi?
Badala ya kulalamika tujifunze mbinu anazotumia kupata fedha. Tuache kufanya kimoja kimoja kama tunaendesha familia zetu. Tukumbuke hii ni nchi siyo familia.
Rais wetu ana akili nyingi sana.
Tena katika kipindi cha miaka hii minne hata wazungu wasingeweza kwenda na hizi multiple and giant projects Kwa wakati mmoja. Only geniuses can do this.
Kwa wakati mmoja amefanya yafuatayo na yote yanatambaa.:
1. Ujenzi wa barabara zote zinaendelea na zina kamilika kwa wakati.
2. Ujenzi wa bwawa la umeme unaendelea na mkandarasi yuko sight
3. Ujenzi wa hospitali na vituo vya afya umekamilika kote nchini
4. Ujenzi wa stand za kisasa za mabasi nchi nzima
5. Ujenzi wa masoko nchi nzima
6. Ujenzi wa machinjio za kisasa
7. Ujenzi reli unaendelea
8. Ununuzi wa ndege
9. Uanzishwaji wa viwanda nchi nxima. Hadi sasa viwanda vimefufuliwa na kujengwa upya zaidi 4000.
10. Madawa supply ipo constantly kuanzia ngazi ya zahanati hadi hospitali ya taifa
11. Usambazaji wa umeme mijini na vijijini unaendelea kwa kasi
12. Elimu bure inaendelea
13. Mishahara inalipwa kwa wakati.
14. Upanuzi wa viwanja vya ndege
15. Kuhamia Dodoma walisema hawezi sasa ameweza. Na amejenga temporary offices za wizara na permanent Ikulu.
16. Ujenzi wa hospitali ya uhuru
17. Ununuzi wa vivuko na meli
Yote haya yanakwenda kwa wakati mmoja. Only geniuses can do this coz anakuwa na planning.
Sasa vilaza ndo wanalalamika wanaona maajabu. Jamani ni kawaida tu msishangae tunachapa kazi. Na zote zitakamilika kwa 100% tumpe nafasi rais wetu achape kazi vilaza acheni kulalamika.
Usifikirie kama unaendesha familia yako fikiria kama unaendesha nchi. Hatutaki twende na kimoja kimoja nchi kubwa hii hatuta fika kwa wakati tunaotaka.
Tumechelewa mno, tumeibiwa mno.
Badala ya kumshukuru Mungu kwa zawadi ya rais wetu watu tuache kubeza juhudi hizi. Tumshukuru Mungu ampe afya njema rais wetu ili tufike mbali. Baada ya kipindi chake yawezekana tusipate mwingine kama huyu.
Tuache genius wetu afanye kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wananchi wanao mchukia ni humu JF country mmoja wapo wewe !😁 taaabu tupu !Ungejua magufuli anachukiwa na wananchi wengi usinge kuja na huu upumbavu.
Mwenyewe anajua
Ushahidi serikali za mitaa.
Pamoja na mikelele yite hii bado mkaiba ushindi.
Tatizo mnadhani kindege hii ndio inamsaidia mwananchi.
Poor strategy na mtapata taabu sana .
Sent using Jamii Forums mobile app