Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021
Maendeleo ya vitu hata jakaya ameyafanya Magufuli cha maana alichofanya ni kukomesha Rushwa na kuleta nidhamu
Kipindi cha kikwete ulikuwa unajua habari za rushwa kubwa kwa sababu aliruhusu Transparency.
Ni watu ambao mnaendeshwa na mapenzi ya vyama hamtaki kufumbua macho, sisemi kama hajakomesha, lakini ni vyema angeruhusu masuala kama ya ununuzi wa ndege,ripoti ya former CAG kujadiliwa, suala kama la Kangi kujadiliwa ili lijulikane kiundani,kivuko alichokikabidhi jeshi kijadiliwe manunuzi yake(sababu ilitia shaka).
Kwa watu wa chini mtu anaesema siku hizi hakuna rushwa sababu hajasikia Dowans n.k muulize kama ana gari Traffic wanafanyaje?Kama ni malaya muulize zile bar wanakojiuza mwenye bar anatumia ujanja gani, kama ni dereva wa basi muulize katika mizani siku hizi vipi?
Hint, siku hizi watu wanachukua cash tena kwa dollar sometimes wanakaa nazo home ili wasiwe traced kirahisi
 
Kipindi cha kikwete ulikuwa unajua habari za rushwa kubwa kwa sababu aliruhusu Transparency.
Ni watu ambao mnaendeshwa na mapenzi ya vyama hamtaki kufumbua macho, sisemi kama hajakomesha, lakini ni vyema angeruhusu masuala kama ya ununuzi wa ndege,ripoti ya former CAG kujadiliwa, suala kama la Kangi kujadiliwa ili lijulikane kiundani,kivuko alichokikabidhi jeshi kijadiliwe manunuzi yake(sababu ilitia shaka).
Kwa watu wa chini mtu anaesema siku hizi hakuna rushwa sababu hajasikia Dowans n.k muulize kama ana gari Traffic wanafanyaje?Kama ni malaya muulize zile bar wanakojiuza mwenye bar anatumia ujanja gani, kama ni dereva wa basi muulize katika mizani siku hizi vipi?
Hint, siku hizi watu wanachukua cash tena kwa dollar sometimes wanakaa nazo home ili wasiwe traced kirahisi

Sasa transparency ya JMK aliwezesha miradi ipi ambayo leo hii tungekuwa tunamsifia? Kwa haraka tu nakumbuka vigenerator kila kona ya maduka Dar Es Salaam vile vile haikuwa rahisi kupanda ndege za kwetu wenyewe Watanzania. Barabara mbovu pamoja na mwelekeo wa watoto wa JMK nao kuwa marais huko mitaani. Rushwa ilitamalaki madini waliokuwa wanafaidi ni makampuni kutoka nje nk. Husda ni kitu kibaya kwa afya yako.
 
1593355225069.png


 
Sasa transparency ya JMK aliwezesha miradi ipi ambayo leo hii tungekuwa tunamsifia? Kwa haraka tu nakumbuka vigenerator kila kona ya maduka Dar Es Salaam vile vile haikuwa rahisi kupanda ndege za kwetu wenyewe Watanzania. Barabara mbovu pamoja na mwelekeo wa watoto wa JMK nao kuwa marais huko mitaani. Rushwa ilitamalaki madini waliokuwa wanafaidi ni makampuni kutoka nje nk. Husda ni kitu kibaya kwa afya yako.
😃😃😃 Husda inatoka wapi?Au uko "programmed" kutaja maneno kama hayo mtu wa "pwani"?
Ili upimwe katika issues kama hizo lazima tu observe good governance ambayo hiyo Transparency iko ndani yake...
Halafu kuhusu miradi hata JK wenu,nasisitiza wenu "kijani" nae ana miradi yake aliyomalizia na kuanzisha; mwendokasi, udom,kilometa kibao kadhaa za lami JPM akiwa Waziri,kutanua wigo wa udahili elimu ya juu n.k.,kuleta Foreign Direct Investment kubwa "Dangote"...ambayo ni ya thamani ya almost 1.38 T kwa rate ya 2300/-.....
Kwa hiyo wewe kama mwana CCM haustahili kuniambia nchi ilikuwa inaliwa huyu sasa anatukomboa,wakati ni "ile ile" ila kwa sasa watu na bunge limevaa barakoa...
Tungeshakuwa mbali sana, lakini hatujafika, and we are not ready to take another risk ati akae mpaka achoke, nchi sio ya kifalme hii tufuate katiba na taratibu za sheria.
"Umaamuma ni hatari kwa uhai wako"
 
😃😃😃 Husda inatoka wapi?Au uko "programmed" kutaja maneno kama hayo mtu wa "pwani"?
Ili upimwe katika issues kama hizo lazima tu observe good governance ambayo hiyo Transparency iko ndani yake...
Halafu kuhusu miradi hata JK wenu,nasisitiza wenu "kijani" nae ana miradi yake aliyomalizia na kuanzisha; mwendokasi, udom,kilometa kibao kadhaa za lami JPM akiwa Waziri,kutanua wigo wa udahili elimu ya juu n.k.,kuleta Foreign Direct Investment kubwa "Dangote"...ambayo ni ya thamani ya almost 1.38 T kwa rate ya 2300/-.....
Kwa hiyo wewe kama mwana CCM haustahili kuniambia nchi ilikuwa inaliwa huyu sasa anatukomboa,wakati ni "ile ile" ila kwa sasa watu na bunge limevaa barakoa...
Tungeshakuwa mbali sana, lakini hatujafika, and we are not ready to take another risk ati akae mpaka achoke, nchi sio ya kifalme hii tufuate katiba na taratibu za sheria.
"Umaamuma ni hatari kwa uhai wako"
1593451051569.png

Wapi nimesema asifuate katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania? Wacha kukariri twende na facts sio mihemuko ya kukariri. Come on with those facts then we can discuss.
 
Sasa transparency ya JMK aliwezesha miradi ipi ambayo leo hii tungekuwa tunamsifia? Kwa haraka tu nakumbuka vigenerator kila kona ya maduka Dar Es Salaam vile vile haikuwa rahisi kupanda ndege za kwetu wenyewe Watanzania. Barabara mbovu pamoja na mwelekeo wa watoto wa JMK nao kuwa marais huko mitaani. Rushwa ilitamalaki madini waliokuwa wanafaidi ni makampuni kutoka nje nk. Husda ni kitu kibaya kwa afya yako.
We jamaa ni "kajinga"😃 una akili za kibaamedi, niamini. Nilikuwa najibu kuhusu "kukomesha rushwa" ukaja kuhusu miradi, nikakuonyesha hata yule wenu mwingine kuna miradi alifanya, umehamia katika suala jingine.
"We baamedi,tunaongelea pombe kali, wewe unaleta beer"😃.Pleaase pleaase abide by your id "wacha moja".
 
https://www.jamiiforums.com/members/drat.105178/ said:
Hivi una akili:-
a)Timamu
b)Zimezid
c)Zimepungua
********rudi katika first reply yako uone concern yangu ni ipi, na wewe ukaleta JPM vs JMK.

Huna hoja wewe, naku-ignore officially.
 

Wapi nimesema asifuate katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania? Wacha kukariri twende na facts sio mihemuko ya kukariri. Come on with those facts then we can discuss.
Wapi na mimi nimesema umesema hafuati katiba?😃, acha hizo POV za ki "buza barmaid".
As long as thread imetaka mazuri zaidi, ungeweka "uandishi wako wa kibaamedi" ujitegemee kuliko kunijibu.
Tungeelewa barmaid humsifia mteja anaeacha tips,na kumfanyia yampendezayo kama vile "na wewe kunywa moja".
 
Huna hoja wewe, naku-ignore officially.
Ndio nilikuwa nataka hivyo, sipendi kabisa nimefika "bar" kupata kinywaji kistaarabu, nina refresh halafu "baamedi" anaanza kung'ang'aniza story za "huwa unakunywa beer za ndani, mimi nakunywa amstel ninunulie(HATUJAMALIZA)unaanza mwone shoga yangu anapenda vitenge kuliko vimini(SIJAKAA SAWA) unaniletea simu yako nione PICHA😃.
Ndicho ulichokuwa unafanya,naongelea issue ya corruption, unaleta miradi ya JK vs JPM,hatujamaliza unanilisha maneno kuwa nimesema umesema asifuate katiba.
Thanks Mh Baamedi kwa kuacha kuniletea fujo katika notification👏🙄
 
Uchumi unavyopanda maisha lazima yawe magumu. Maisha hayawezi kuwa raisi hata siku moja, unaweza kunitajia ni nchi gani ambayo imeendelea na maisha ya raia wake ni rahisi? Nafahamu huwezi kujibu hilo bali utakaa na kulialia tu na kuwewesekaweweseka. Chapa kazi mkuu malipo ni hapa hapa duniani.
Ona sasa "baamedi" unavyoleta u "layman".Eti uchumi unavyopanda lazima maisha yawe magumu😃😂.....hii ipo katika course ya "bongo macro economics" au "lumumba microeconomics".
Kweli Garbage In Garbage Out
 


Wacha hii SGR imalizike tuifaidi - Game changer
 
  • Thanks
Reactions: VMD
20 Julai 2020

Breaking News !

Dr. Faustine Engelbert Ndugulile ashinda kura za maoni za ndani ya chama cha CCM jimbo la Kigamboni jijini Dar es Sakaam.

Kura za maoni za wajumbe halali zilikuwa 399 hakuna kura iliyoharibika na Dr. Faustine Engelbert Ndugulile amefanikiwa kupata kura 190 za wajumbe hao wa mkutano wa wilaya ya Kigamboni..
 
Wapi tija? Mbona maisha ni magumu?,ajira Hakuna, mmeshindwa ongeza hata mishahara,kulipa wastaafu mafao,acheni propaganda za kuwadanganya futureless people wanyonge maadamu tu mnashiba
Labda kazi ya kuleta umasikini nchini.
Mishahara waliongezwa kipindi kilee ndio wanaufanyia kazi sasa, kipindi kile walikula mishahara ya bure.[emoji2960][emoji2960][emoji2960], maisha magumu kwa asiejituma kupiga kazi, mimi mbeba mizigo hapa sokoni mbona maisha kawaida tuu. Hapo kwa WASTAAFU vyeti feki na wafanyakazi hewa waliAthiri ila imani tunayo patakaa sawa.[emoji39][emoji39][emoji39]
 
Back
Top Bottom