Na wewe umezaliwa kama mtoto au uchafuWewe ni mpuuzi na lofa asiyejua siasa za Tanzania. Wapinzani wachukue Nchi? Baba, mama na mkeo wataipigia CCM. Wewe na viroba vyako utabaki na wahuni wenzako!!
Hakuna mtoto wa mlalahoi aliyekosa mkopo. MTU anayesomesha watoto Private hawezi kuwa mlalahoi!!!Kushindwa kutoa mikopo kwa wanachuo, mwisho watoto wawalalahoi kuairisha mwaka
Barabara ya kutoka tandahimba mpk Mtwara kwa kiwango cha lami itasaidia kusafirisha kwa wakati bidhaa zao za shambani hasa korosho mpk sokoniYote hayo yamemsaidia vipi mwananchi alieko Tandahimba?
Nidhamu gani unayoitaka?rushwa hajakomesha na hatoweza!kuhusu nidhamu makazini ni kweli tuna nidhamu ya UOGA!
Bora kuliko kablakurejesha nidhamu makazini au ni kuleta HOFU na WOGA kwa watumishi?
Nae anayendeleza kwa kasi kubwa zaidiMaendeleo ya vitu hata jakaya ameyafanya Magufuli cha maana alichofanya ni kukomesha Rushwa na kuleta nidhamu
Kumalizia miradi ya aliyetangulia ni sawa tu kwani kama uongozi mbovu huwezi kumalizia na sifa kwa kawaida inakwenda kwa aliyemalizia kwa mfano daraja la kigamboni aliyeliengineer ni nyerere lkn aliyetekeleza ni kikwete sifa iende kwa nani kikwete au nyerere? Daraja la mkapa la kibiti liliasisiwa na nyerere aliyejenga ni mkapa sifa iende kwa nani?Ha ha imebidi nicheke. na kelele zote hizi haya ndio kayafanya. Kukomesha rushwa how , nidhamu makazini unaweza kuniambia how, airport mwanza na Dar pamoja na flyovers ni on going projects alizikuta. Alichofanya yeye ni kununua bombardier used 2 ,kujenga hostels ya wanafunzi na kupanua hicho kipande cha barabara ya moroko.
Nyingine tunasikia kila siku ni mikwara , vitisho na ubabe ,kabaki kusema fanyeni kazi. Tutaona hiyo 2020. Hajaanza hata km 50 ya lami toka aingie ikulu
Sema unavyojua.Watu wana sema kaleta nidhamu.nidhamu hailetwi kwa kufukuza watu hovyo na kutoa kauli za vitisho. Mngefahamu watumishi wanavyomfanya huyu jamaa mngesikitika sana
Unajuaje kama hawezi kutoa wakati zimeshatengwa na halmashauri zote na mafunzo ya wajasiriamali yanaendelea acha utabiri hasiHizo milioni 50 kila kijijini wala siwezi kumkumbusha maana najua hawezi kutoa.
Maendeleo hayaletwi kwa kutumia ubabe,dharau, kiburi, jeuri, nguvu , kwani kazi anafanya peke yake?
Kupandisha bei ya zao la korosho mangiYote hayo yamemsaidia vipi mwananchi alieko Tandahimba?
Baba yako kafanya nini la maana mpaka sasa?HAKUNA LA MAANA ALILOLIFANYA MPAKA SASA
Ulitaka awafanyie nn?Yote hayo yamemsaidia vipi mwananchi alieko Tandahimba?