Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021
Wewe ni mpuuzi na lofa asiyejua siasa za Tanzania. Wapinzani wachukue Nchi? Baba, mama na mkeo wataipigia CCM. Wewe na viroba vyako utabaki na wahuni wenzako!!
Na wewe umezaliwa kama mtoto au uchafu
 
Kushindwa kutoa mikopo kwa wanachuo, mwisho watoto wawalalahoi kuairisha mwaka
 
Amefanya vizuri. Nampongeza. Naomba akaze uzi zaidi. Siku zote maendeleo hayaji bila kutoa jasho.
Mimi nasema "MAENDELEO KWANZA " Bunge live baadaye "
Naamini hatuwezi kula, kunywa au kusafiri kwa kutumia Bunge live.
 
Ha ha imebidi nicheke. na kelele zote hizi haya ndio kayafanya. Kukomesha rushwa how , nidhamu makazini unaweza kuniambia how, airport mwanza na Dar pamoja na flyovers ni on going projects alizikuta. Alichofanya yeye ni kununua bombardier used 2 ,kujenga hostels ya wanafunzi na kupanua hicho kipande cha barabara ya moroko.
Nyingine tunasikia kila siku ni mikwara , vitisho na ubabe ,kabaki kusema fanyeni kazi. Tutaona hiyo 2020. Hajaanza hata km 50 ya lami toka aingie ikulu
Kumalizia miradi ya aliyetangulia ni sawa tu kwani kama uongozi mbovu huwezi kumalizia na sifa kwa kawaida inakwenda kwa aliyemalizia kwa mfano daraja la kigamboni aliyeliengineer ni nyerere lkn aliyetekeleza ni kikwete sifa iende kwa nani kikwete au nyerere? Daraja la mkapa la kibiti liliasisiwa na nyerere aliyejenga ni mkapa sifa iende kwa nani?
 
Huyu jamaa uwaziri wa ujenzi ndio kitu anachokiweza kiti cha urais amefosi tu lakini hawezi

Maisha yamezidi kuwa magumu mara 3 kuliko awamu iliyopita
 
Hizo milioni 50 kila kijijini wala siwezi kumkumbusha maana najua hawezi kutoa.
Maendeleo hayaletwi kwa kutumia ubabe,dharau, kiburi, jeuri, nguvu , kwani kazi anafanya peke yake?
Unajuaje kama hawezi kutoa wakati zimeshatengwa na halmashauri zote na mafunzo ya wajasiriamali yanaendelea acha utabiri hasi
 
Morocco -bagamoyo road NO WAY naona kesro tu ile barabara. Sijui labda mimi ninamatatizo wenzangu wenye upeo kama wangu barabara haziwi kama ile.

Nampongeza kunyoosha mambo kadhaa hadi hapo ishu ya vyeti ikiacha kusumbua wenye vyeti halali mana naona kero ya maksudi ya DED na HRO wilayani wamefanya unyama sana kukubali kuchonga vyeti na kuajiri watu wasio na sifa tena wakitumia doc ya mtu aliyesomeshwa kwa shida.

Hii ni hatu KUBWA NA MUHIMU KATIKA MAISHA YANGU. Sijakubwa na kuwa na cheti feki ama chenye utata wala incomplete lakini naona shida inayowakumba waliodokolewa vyeti vyao.

Miaka michache iliyopita, niliona kitu flani cha kise..n sana watu wanatafutiana vyeti, kumbe ni vya watu waiishio sehm tofaut nchini, na wengine wanavichonga...leo Mh Magufuli anakosea wapi? Tena Angela ahahakikishe tu kivyozi hajinyoi..akague sawasawa...kwa mwendo nimeteseka kusoma na kupata alama zangu leo, nani azitumie kuishi bastard! eti rais mbaya..no way

Namkubali mkulu ila amnyoe bashite na asipendelee hapo tu. bassi
 
naona tu mambo ya ujenzi ndiyo kajitahidi. uko kwingine hakuna kitu.
 
Back
Top Bottom