Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021
Kote amefaulu na kafaulu zaidi kwenye utoaji mikopo kwa wanachuo
na mikopo tu kwa wanachuo katoa sio mchezo[emoji3] [emoji3] [emoji3] ...yaani alichowafanyia wanachuo huyo msukuma anajua yey na bashite wake make nahis ndo mshauli wake mkubwa
 
10102ac521314716b0cdeb7f1e57ec04.jpg


Wanajukwaa poleni na misukosuko ya kujibadili kutoka kuwa walaji wa Mwisho kuelekea nchi ya Viwanda.

Uwanja huu ni maalumu kama ule wa Safari za nje za Jakaya kikwete ila huu ni mahususi kukusanya mambo mazuri ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli juu ya maendeleo yetu hasahasa kauli yake kuu Juu ya Nchi ya Viwanda na Elimu Bure nk.

Unaruhusiwa kugusia miundo mbinu, Afya, Usafiri, Maendeleo ya Majeshi Yetu, Uvuvi,Michezo, Habari, Siasa, Viwanda,Teknolojia, Pato la Taifa nk.
Ila tu iwe kwa tulipotoka na Alipofanikiwa na nini tufanye kumsaidia kujiongeza zaidi.

Mpaka sasa kaweza kujenga

Hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza.
Ununuzi wa Ndege 2
Nyingine 3 ziko mbioni kuja.
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco dsm
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.




unatakiwa ufahamu kitu kimoja huwezi kufanya jambo lakimaendeleo hasa hasa kiuchumi pasipo fedha(bajeti)

ukishajua hilo unatakiwa kujua toka ameingia bajeti ilikuwa ya kipindi gani mpaka kipindi gani.

usije ukachanganya bajeti ya 2015 - 2016
na bajet ya 2016- 2017



ukitenganisha njoo tujadili alioyafanya
 
Kuipa nguvu vita ya madawa ya kulevya
Kuzuia safari za nje Kwa maofisa hivyo Kuokoa mabilion
Kuzuia safari za nje kwa maofisa gani? Mbona kinana kamtuma India kutibiwa ilhali Mke wake anatibiwa muhi2?
 
Rushwa bado, ila pamoja na hayo mazuri bado ameharibu kwenye demokrasia, bunge live, tunataka vyeti vya bashite na shutuma zake za ufisadi na uvamizi zifanyiwe kazi
hata akifanya unavyo taka bdo wataihamia kwa mwingine kutsaka atumbuliwe
 
Hizo milioni 50 kila kijijini wala siwezi kumkumbusha maana najua hawezi kutoa.
Maendeleo hayaletwi kwa kutumia ubabe,dharau, kiburi, jeuri, nguvu , kwani kazi anafanya peke yake?
ndo atakuongoza bd miaka kam 8 sasa ccm oyeeeee
 
Back
Top Bottom