Wailes Josiah
Member
- Sep 28, 2016
- 34
- 14
Ni code za wananchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subili kulala chali tu n kuvaa pediHayo yote ni ndani ya Mwaka mmoja!!
Magufuli ni chaguo la Mungu
Tanzania tumempata Rais waukweli
na mikopo tu kwa wanachuo katoa sio mchezo[emoji3] [emoji3] [emoji3] ...yaani alichowafanyia wanachuo huyo msukuma anajua yey na bashite wake make nahis ndo mshauli wake mkubwaKote amefaulu na kafaulu zaidi kwenye utoaji mikopo kwa wanachuo
Oyeeeee!Magufuli oyeeeeeee
Inaonakena una taarifa kuhusu Rushwa je umereport?!?!?!?!?rushwa hajakomesha na hatoweza!kuhusu nidhamu makazini ni kweli tuna nidhamu ya UOGA!
![]()
Wanajukwaa poleni na misukosuko ya kujibadili kutoka kuwa walaji wa Mwisho kuelekea nchi ya Viwanda.
Uwanja huu ni maalumu kama ule wa Safari za nje za Jakaya kikwete ila huu ni mahususi kukusanya mambo mazuri ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli juu ya maendeleo yetu hasahasa kauli yake kuu Juu ya Nchi ya Viwanda na Elimu Bure nk.
Unaruhusiwa kugusia miundo mbinu, Afya, Usafiri, Maendeleo ya Majeshi Yetu, Uvuvi,Michezo, Habari, Siasa, Viwanda,Teknolojia, Pato la Taifa nk.
Ila tu iwe kwa tulipotoka na Alipofanikiwa na nini tufanye kumsaidia kujiongeza zaidi.
Mpaka sasa kaweza kujenga
Hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza.
Ununuzi wa Ndege 2
Nyingine 3 ziko mbioni kuja.
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco dsm
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
kiwanjaaNini hyo
Kuzuia safari za nje kwa maofisa gani? Mbona kinana kamtuma India kutibiwa ilhali Mke wake anatibiwa muhi2?Kuipa nguvu vita ya madawa ya kulevya
Kuzuia safari za nje Kwa maofisa hivyo Kuokoa mabilion
sijui kama wanakuelea ukawa ila 2020 watakuelewa tuMnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
wewe ulitaka yamsaidiejeYote hayo yamemsaidia vipi mwananchi alieko Tandahimba?
hata akifanya unavyo taka bdo wataihamia kwa mwingine kutsaka atumbuliweRushwa bado, ila pamoja na hayo mazuri bado ameharibu kwenye demokrasia, bunge live, tunataka vyeti vya bashite na shutuma zake za ufisadi na uvamizi zifanyiwe kazi
ndo atakuongoza bd miaka kam 8 sasa ccm oyeeeeeHizo milioni 50 kila kijijini wala siwezi kumkumbusha maana najua hawezi kutoa.
Maendeleo hayaletwi kwa kutumia ubabe,dharau, kiburi, jeuri, nguvu , kwani kazi anafanya peke yake?
inategemea tatizo fungua macho uoneKuzuia safari za nje kwa maofisa gani? Mbona kinana kamtuma India kutibiwa ilhali Mke wake anatibiwa muhi2?
Kigumu Chama Cha mapinduzi . kigumuuuuuuundo atakuongoza bd miaka kam 8 sasa ccm oyeeeee