Pius Dominick
Member
- Jan 20, 2017
- 77
- 56
Cdm ni chaka la ukabila na ukanda. Toa takwimu labda tutakuelewaKitu ambacho kinaipa asilimia kubwa ccm mpaka sasa ni kuwekeza nguvu zao kuwakabili chadema tu
Hapo nawapa asilimia 50 kwa kuwatumia police tunaowalipa kwa kodi zetu
Lakini kiuhalisia hakuna ahadi hata moja iliyofanywa au kutimizwa na ccm
Tanzania ni ile ile aliotuachia jakaya kikwete
Haijapiga hatua yoyote
Sent using Jamii Forums mobile app