myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Just like that
Huyu kaguswa na serikali ya awamu ya 5 chini ya JPM, huduma za afya Tanzania ni classic.
Wewe nawe...achana na viposti hivyo.
Tunatumia mamilioni ya dola kupeleka watu India na A.Kusini kufata matibabu mazuri...US, nchi yenye maabara za kisasa na makampuni makubwa ya madawa watu wake watamani kuja kwetu!!!!!!!!!!!!!!