APA CHICAGO
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 259
- 292
Ninakupongeza kwa kuamua kwa dhati kulifufua shirika letu la Ndege.Penye ukweli lazima usemwe inawezekana wapo watakaobeza jitihada zako, lakini wanapaswa kukumbuka kuwa hatukuwa na ndege za serikali kwa muda mrefu.
Kifupi sana kama taifa kuna mambo mengi ya kufanya lkn hatuwezi kuyafanya yote kwa pamoja hivyo kuna Yale ambayo yamepewa kipaombele kama kuimalisha shirika letu la ndege.
Hongera tena Rais kwa maamuzi magumu yenye tija kwa taifa letu siku za usoni.Mungu ibariki Tanzania,Mungu mbariki Rais wetu Dr.John Pombe Joseph Magufuli.
Kifupi sana kama taifa kuna mambo mengi ya kufanya lkn hatuwezi kuyafanya yote kwa pamoja hivyo kuna Yale ambayo yamepewa kipaombele kama kuimalisha shirika letu la ndege.
Hongera tena Rais kwa maamuzi magumu yenye tija kwa taifa letu siku za usoni.Mungu ibariki Tanzania,Mungu mbariki Rais wetu Dr.John Pombe Joseph Magufuli.