Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
mkuu hakuna kitu kama hiko.. nasema no! 11trions kwa airpot tu? kwa uchumi upi walonao Ethiopia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwanini usiclick hiyo link ukajionee mwenyewemkuu hakuna kitu kama hiko.. nasema no! 11trions kwa airpot tu? kwa uchumi upi walonao Ethiopia.
au nikusaidie calculator???mkuu hakuna kitu kama hiko.. nasema no! 11trions kwa airpot tu? kwa uchumi upi walonao Ethiopia.
mkuu hakuna kitu kama hiko.. nasema no! 11trions kwa airpot tu? kwa uchumi upi walonao Ethiopia.
Naona #Yericko Nyerere anakuchungulia kwa pembeniWanataka kutuingiza mkenge sisi taifa la wajinga.
Katika zote ulizozitaja ipi iliyokamilika zaidi ya ukuta wa mererani ambao hata mtu binafsi anaweza kuujengaJPM aka Ngosha
Kwanza nianze kwa kukupongeza awamu ya tano umediliki na umezubutu kufanya mambo kaza wa kaza nice!!!!!!!!
All da best View attachment 1324130
Sent using Jamii Forums mobile app
Mh Samatta atatutangaza sana kimataifa bwashee!Kwa hisani ya serikali ya jiwe.
Hapa nazungumzia SERA bwashee!Pole
Hapo kati ya Salim na Samatta nani CCM..
mbona unataka ku confirm kauli za Lipumba na Musiba
Musiba
Musiba sasa ‘awatukana, kuwabagaza na kuwadhalilisha’ wanachama wote wa CCM. Kiburi hiki anakitoa wapi?
Nianze kwa kuweka wazi hapa kuwa mimi si mwanachama wala mfuasi wa chama chochote cha siasa hapa nchini na kwingineko. Lakini, siwezi kukataa ukweli kutoka moyoni mwangu kuwa mimi ni muumini na mfuasi wa demokrasia safi na maendeleo ya nchi yetu. Sichoki kuonyesha hayo kwa kupongeza...www.jamiiforums.com
CCM imemsaidiaje Mbwana Samatta kwenye carrier yake?Ilani ya CCM imeendelea kutekelezwa kwa umakini mkubwa katika sekta mbalimbali ikiwemo maendeleo ya jamii na vijana.
Leo Salim Kikeke wa BBC amehabarisha juu ya nahodha wa Taifa stars mh Mbwana Samatta kufanyiwa vipimo tayari kabisa kusajiliwa na timu ya Aston Villa ya England inayoshiriki ligi kuu nchini humo.
CCM hoyeeee.........Taifa stars hoyeeeee.........!
Maendeleo hayana vyama!
Unahangaika na aliyenusurika.CCM imemsaidiaje Mbwana Samatta kwenye carrier yake?
Naomba ufafanuzi tafadhali
Sema Nahodha wa Taifa stars mh Mbwana Samatta!CCM imemsaidiaje Mbwana Samatta kwenye carrier yake?
Naomba ufafanuzi tafadhali
CCM imefanya Nini katika matanikio ya Samatta? Huu ni uzezeta mwingine wa CCM kuanza kudandia mafanikio ya mtu na kusema ni wao ndio wamemfanikisha. Chama Cha Mazezeta ni hatari kwa ustawi wa taifaMh Samatta atatutangaza sana kimataifa bwashee!
Kumbe huyu ni mnusurika? Sikujua
Hahahaaaa........ !