Baba Masagu
Senior Member
- Aug 30, 2020
- 128
- 41
Pamoja
Ukumbuke na mlivyochoma Ofisi zenu Arusha mnatafuta Kiki.
Mambo mazuri mnayaona mnatatufutiza Vya uongo.
Wafanyakazi wote wapo na furaha zao makazini.
Corona inawapa faida kwani?
Watu wanachapa kazi , corona hapa hamna .
Mlikua mnatoa takwimu za uongo ili watu waogope kufanya kazi ili uchumi udorole JPM akashtuka. CCM mbele kwa mbele.