Mafanikio ya Royal Your yanaonekana wazi na haraka mno, Hongera sana Rais Samia

Mafanikio ya Royal Your yanaonekana wazi na haraka mno, Hongera sana Rais Samia

 
Mama anatumia scientific leadership. Anajua mafanikio huvutiwa sio kulazimishiwa. Anajua uongozi ni ubunifu, busara na kutumia akili na sio msuli.

Kwa approaches zake tutapiga hatua kwenye mambo mengi.
Acheni ushamba wa kwenye mitandao huyo willy smith alikuja hapa miaka miwili iliyopita.

Hata clip mnashindwa kuzisoma content zake kisa kukimbilia mama Peter!
 
We mujahidina unajua ni mara ngapi anakuja serengeti hata kabla ya royal tour. Acha ujinga kama huna mume sema usaidiwe
Watu wengine ndio leo wanajua kwamba hawa mastaa na marais kibao wastaafu huja na kuondoka kwenye mbuga zetu kimya kimya bila makelele kama ya mama Peter!
 
Will Smith ndani ya Serengeti kwa staili ileile ya Royal Tour na mkewe ndie kamuiga mama kuwa ni Tour Guide kwa mumewe...



Kaja kujionea mwenyewe live baada ya kumuona mama kwenye Royal Tour?

Wenye wivu wajinyonge.

Mbona watu maarufu sana wamezitembelea mbuga zetu kabla ya huyo muimba taarabu hajaingia madarakani? Labda sasa muwalete viongozi wa Saudia nao tuwaone.
 
Mama anatumia scientific leadership. Anajua mafanikio huvutiwa sio kulazimishiwa. Anajua uongozi ni ubunifu, busara na kutumia akili na sio msuli.

Kwa approaches zake tutapiga hatua kwenye mambo mengi.
Kama hujui tulia uelimishwe Will alishakuja hapa Serengeti miaka mitatu nyuma wala safari zake hazihusiani na hii royal tour na wala hukuona mtu/chawa anazungumzia ujio wake lakini kwa kuwa sasa chawa wanashindana kuwahi nafasi wanaleta hata taarifa za miaka mitatu nyuma na kuwaaminisha watz ni kutokana na royal tour!!
 
Will Smith ndani ya Serengeti kwa staili ileile ya Royal Tour na mkewe ndie kamuiga mama kuwa ni Tour Guide kwa mumewe...



Kaja kujionea mwenyewe live baada ya kumuona mama kwenye Royal Tour?

Wenye wivu wajinyonge.
Royal tour imetoka mwaka 2022. Smith kaja mwaka 2020. Umeshindwa kuona hilo kabla hujaandika uongo?
 
Hiyo video yakipindi cha nyuma alivyokuja acha kudanganya!
 
Will Smith kaja lini tena jamani acheni uzushi
Hii video ni ya miaka kama mitatu nyuma ndo alikuja na si ya hivi karibuni...
Hizi plopaganda za fisiemu kama huna akilii utapiganizwa mpak uwe lijingaaa
 
Umezoea kumwagwa mavi huko makunduchi ndio unadhania ni mahaba? Mimi nakunyonyesa dudu alafu nakuacha.
Acha hasira Kijana haya mambo hayataki hasira,nipe japo kiduchu nikuonjeshe marashi ya Karafuu.
 
Mleta mada acha uchawa,tafuta kazi na mume maisha yako yatakuwa safi tu,huko kujikomba kwako utaambulia magonjwa ya zinaa.
Nilikutana na Will Smith 2008 nadhani ilikuwa mara yake ya kwanza kuja Tz/Zanzibar na baada ya hapo ameshakuja mara kadhaa.
Sasa ww unapoleta porojo na royal tour na yeye tunakuona akili zimeruka kwa ajili ya uchawa.
 
Mleta mada acha uchawa,tafuta kazi na mume maisha yako yatakuwa safi tu,huko kujikomba kwako utaambulia magonjwa ya zinaa.
Nilikutana na Will Smith 2008 nadhani ilikuwa mara yake ya kwanza kuja Tz/Zanzibar na baada ya hapo ameshakuja mara kadhaa.
Sasa ww unapoleta porojo na royal tour na yeye tunakuona akili zimeruka kwa ajili ya uchawa.
Sasa mwenyewe umejisuta hapo, "kishakuja mara kadhaa", na sasa yuko wapi? Soma hiyo: Why Will Smith is in Tanzania? — - Tanzania Tourism

Mwenye wivu ajinyonge.
 
Back
Top Bottom