Mafanikio ya Royal Your yanaonekana wazi na haraka mno, Hongera sana Rais Samia

Mafanikio ya Royal Your yanaonekana wazi na haraka mno, Hongera sana Rais Samia

DAH.

Inasikitisha mtu mzima kabisa tena mkongwe kuingia kwenye propaganda uchwara kisa tu unatumia fake ID.

Nilikuwa nakuheshimu sana hata kama tuko na mtizamo tofauti katika japo furani ila kwa kung'ang'ania uongo huu, hapana. Imetosha.

Lambda kama unataka kusoma comments ila nitaomba modes wautoe huu uzi.
Mtakufa navyo vijiba vya roho. Wachawwi mnajulikana, habari za mafanikio huwa zinawachoma moto.
 
Will Smith ndani ya Serengeti kwa staili ileile ya Royal Tour na mkewe ndie kamuiga mama kuwa ni Tour Guide kwa mumewe...



Kaja kujionea mwenyewe live baada ya kumuona mama kwenye Royal Tour?

Wenye wivu wajinyonge.
Subirini amalize kesi ndo mlete uzushi.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Mbona alikuja muda mrefu sana mpaka david Beckham alikuja mbona tena kipindi cha jiwe.
Ohoo, si mara moja tu kuja, na sasa yupo Tanzania, kama ulikuwa huelewi, na ana schedule ya kuja tena July. Unaelewa kwanini? Fata links nilizoziweka post za juu hapo.
 
Mtakufa navyo vijiba vya roho. Wachawwi mnajulikana, habari za mafanikio huwa zinawachoma moto.
Ungeongelea mafanikio sahihi basi sio kupotosha namna hii.

Hata unae mpamba lazima aone uharo tu.

Umri unakutupa mkono anza kupunguza uongo.
 
Will Smith ndani ya Serengeti kwa staili ileile ya Royal Tour na mkewe ndie kamuiga mama kuwa ni Tour Guide kwa mumewe...



Kaja kujionea mwenyewe live baada ya kumuona mama kwenye Royal Tour?

Wenye wivu wajinyonge.

fuatilia vzr foxxx, Will kaja Mda mref sana kabla ya mama kua na hakili hio, .
 


Wewe unaambiwa yupo Tanzania wewe unasema "clip" hujioni kuwa upoyoyo?
Kwani Will Smith kaja mara moja tu Tanzania?

Tena safari hii licha ya utalii, kaja na kuwekeza kabisa. Wacha mtajionea siku za usoni, bado ni nyeti kwenu, mtamroga wanga nyie.

Unafikiri mama aliposema kaonana na wawekezaji wa wa utalii alikuwa anakisia? Hovyoooo.

Wewe kweli ulisomea ujinga...

Hio link uliyoweka hapo ni taarifa ya Ujio wa Will smith 09-03-2017

Sijajua Lengo lako la kupotosha ni nini haswa..

smith.JPG
 
Will Smith ndani ya Serengeti kwa staili ileile ya Royal Tour na mkewe ndie kamuiga mama kuwa ni Tour Guide kwa mumewe...



Kaja kujionea mwenyewe live baada ya kumuona mama kwenye Royal Tour?

Wenye wivu wajinyonge.

2019 visit siyo ya leo. Mkuu acha uzushi. Huyu mtu anakuja mara kwa mara na si sababu ya rambo.
 
Wewe kweli ulisomea ujinga...

Hio link uliyoweka hapo ni taarifa ya Ujio wa Will smith 09-03-2017

Sijajua Lengo lako la kupotosha ni nini haswa..

View attachment 2218910
Hee, kwani uliambiwa hii ni mara yake ya kwanza kuja? Unanchekesha!

Sasa hivi watu wapo kiuwekezaji zaidi, umelala wewe.
 
Will Smith kaja lini tena jamani acheni uzushi
Hii video ni ya miaka kama mitatu nyuma ndo alikuja na si ya hivi karibuni...
Nadhani sasa wameamua kutumia uongo baada ya kuona dalili za Royal Tour kutofanikiwa!
Will Smith alikuja Serengeti zamani, wote wakina Oprah walishafika mbugani kabla ya Royal Tour!
Ni Bahati mbaya timing ya hii documentary imekuja wakati kuna Recession already huko Marekani na maisha ni magumu hivyo kutakuwa na watalii wachache kuliko ilivyotarajiwa. Mbaya zaidi wamarekani wengi wanapeleka misaada mingi huko Ukraine hivyo fedha yao mingi unakwenda kusaidia vita na wakimbizi.
 
Back
Top Bottom