FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
- Thread starter
- #61
Umeshawahi kuwaambia hayo wale mashoga zenu wa Vatican? Soma: Four in five Vatican priests are gay, book claimsAcha ungese ww bibi kizee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshawahi kuwaambia hayo wale mashoga zenu wa Vatican? Soma: Four in five Vatican priests are gay, book claimsAcha ungese ww bibi kizee.
Dogo japo kichwa tu.Mimi sitaki mavi. Labda omba msaada upelekwe Dubai. Nasikia mna konection kubwa huko Dubai.
Mtakufa navyo vijiba vya roho. Wachawwi mnajulikana, habari za mafanikio huwa zinawachoma moto.DAH.
Inasikitisha mtu mzima kabisa tena mkongwe kuingia kwenye propaganda uchwara kisa tu unatumia fake ID.
Nilikuwa nakuheshimu sana hata kama tuko na mtizamo tofauti katika japo furani ila kwa kung'ang'ania uongo huu, hapana. Imetosha.
Lambda kama unataka kusoma comments ila nitaomba modes wautoe huu uzi.
Subirini amalize kesi ndo mlete uzushi.Will Smith ndani ya Serengeti kwa staili ileile ya Royal Tour na mkewe ndie kamuiga mama kuwa ni Tour Guide kwa mumewe...
Kaja kujionea mwenyewe live baada ya kumuona mama kwenye Royal Tour?
Wenye wivu wajinyonge.
Aliyeandika hiyo article na ww wote ni machawa.Wewe kabishane na aliyendika, soma hiyo: Why Will Smith is in Tanzania? — - Tanzania Tourism
Mahela ya utalii yanaingia na mafuta yanashuka bei 1st June. Na mbowe jana alikuwa Ikulu.
Mtakufa navyo vijiba vya roho.
Mtakufa navyo vijiba vya roho.
Ohoo, si mara moja tu kuja, na sasa yupo Tanzania, kama ulikuwa huelewi, na ana schedule ya kuja tena July. Unaelewa kwanini? Fata links nilizoziweka post za juu hapo.Mbona alikuja muda mrefu sana mpaka david Beckham alikuja mbona tena kipindi cha jiwe.
Ungeongelea mafanikio sahihi basi sio kupotosha namna hii.Mtakufa navyo vijiba vya roho. Wachawwi mnajulikana, habari za mafanikio huwa zinawachoma moto.
Will Smith ndani ya Serengeti kwa staili ileile ya Royal Tour na mkewe ndie kamuiga mama kuwa ni Tour Guide kwa mumewe...
Kaja kujionea mwenyewe live baada ya kumuona mama kwenye Royal Tour?
Wenye wivu wajinyonge.
Mdini sn kipindi cha Magu alipoteaUmekua huna akili kwa kupenda
Hiyo ni ya muda mrefu.
Dada usiogope Mahaba yangu kwako hayatetereki.Wewe kijana nenda Makunduchi ukapigwe pipe mpaka unye hiyo ndiyo raha yako.
Why Will Smith is in Tanzania? — - Tanzania Tourism
Karibu, Welcome to the official site for Tanzania Tourism. Get travel information, maps, itineraries activities and accommodation to help plan your next Tanzania holiday.www.tanzaniatourism.go.tz
Wewe unaambiwa yupo Tanzania wewe unasema "clip" hujioni kuwa upoyoyo?
Kwani Will Smith kaja mara moja tu Tanzania?
Tena safari hii licha ya utalii, kaja na kuwekeza kabisa. Wacha mtajionea siku za usoni, bado ni nyeti kwenu, mtamroga wanga nyie.
Unafikiri mama aliposema kaonana na wawekezaji wa wa utalii alikuwa anakisia? Hovyoooo.
Will Smith ndani ya Serengeti kwa staili ileile ya Royal Tour na mkewe ndie kamuiga mama kuwa ni Tour Guide kwa mumewe...
Kaja kujionea mwenyewe live baada ya kumuona mama kwenye Royal Tour?
Wenye wivu wajinyonge.
Hee, kwani uliambiwa hii ni mara yake ya kwanza kuja? Unanchekesha!Wewe kweli ulisomea ujinga...
Hio link uliyoweka hapo ni taarifa ya Ujio wa Will smith 09-03-2017
Sijajua Lengo lako la kupotosha ni nini haswa..
View attachment 2218910
Kibibi kiongoooo!Hee, kwani uliambiwa hii ni mara yake ya kwanza kuja? Unanchekesha!
Sasa hivi watu wapo kiuwekezaji zaidi, umelala wewe.
Nadhani sasa wameamua kutumia uongo baada ya kuona dalili za Royal Tour kutofanikiwa!Will Smith kaja lini tena jamani acheni uzushi
Hii video ni ya miaka kama mitatu nyuma ndo alikuja na si ya hivi karibuni...
Duh.Islamic state....