Nas Jr
JF-Expert Member
- May 15, 2018
- 7,920
- 8,675
Hee, kwani uliambiwa hii ni mara yake ya kwanza kuja? Unanchekesha!
Sasa hivi watu wapo kiuwekezaji zaidi, umelala wewe.
Wewe ukiamka inatosha...sio lazima wote tuamke.
Mkuu umeleta uzi uka ambatanisha na source,, katika ufikishaji wa taarifa ukiweka source tuna imani kuwa ni source inayo support taarifa yako.
Ungeweka picha ya Will Smith tusingefika huku...
Jambo gani ni gumu kulielewa hapo ndugu yangu....??