Sipendi watu wanaopenda kuwaita wenzao “wazee”!
Ni kujikosha fulani kujichetua kwamba yeye ni “kijana” zaidi,anasema “mzee” as if anatoa heshima kumbe ni unafiki mtupu!
Kama mawe,kila mtu anamuita “mzee” as if yeye ni kijana sana kumbe age gap range ni 5-10years
“Mzee”,”mzee”,”mzee”,.....mzee my ass!
Naunga mkono hoja, sina hoja nyingine zaidi ya kuunga mkono hoja.
Vipi siku hizi kuna muongozo wa namna ya kuchangia zaidi ya mawazo ya mtu?.
P
Hakuna dhambi, bali tunatumia universal formula ya the end, justifies the means, he who laughs last laughs most.Kuna dhambi gani ukimpongeza mkwere wa watu jamani?
Saizi ndiyo anakumbukwa? Wengi walikuwa wanamdharau sana na saizi anaonekana muhimu.Mwacheni JK apumzike
Kwa umri niliyo nao mimi ni haki kabisa nimuite Kikwete kuwa ni mzee, sioni sababu yako kunilaumu eti kisa nimemuita Kikwete mzee!
Hakuna dhambi, bali tunatumia universal formula ya the end, justifies the means, he who laughs last laughs most.
Hata Mungu alisema "wa kwanza atakuwa wa mwisho, na wa mwisho atakuwa wa kwanza", wa kwanza ni JK sasa ni wa mwisho na wa mwisho ni JPM, ndiye wa kwanza, all the credits goes to him.
P
Jina “mzee” linatumika kinafiki sana!
Lina concept ya umri!
Kwanini usitoe hoja yako ukamuita “Mr” Kikwete bila kuweka umri wake kwenye microscope isiyo na umuhimu wowote?
Ni kama unambagua fulani kwamba “mzee” yule na sisi “vijana” maana opposite ya mzee inapply kwako ni true!
Kuna watu wananiudhi sana ku-degrade wenzao kwa kuwaweka kwenye mabox ya identities!
Mfano ni bwana mawe,anapenda sana kuita marais wa nyuma wazee as if wamempita mbali sana kiumri!
Mfano Kikwete,kampita mawe miaka michache tu!Ila atakavyokomaa kumuita mzee this mzee that!
Of which they in the same age group...huu unafiki bwana!
100-100 kikwete baba,,ametisha
Unajua mnyika alisema ni dhaifu ktk jambo gani?Aisee! Chadema kweli mmechanganyikiwa!
Yani leo hii Kikwete anapigiwa mfano na kutaja mazuri yake na chadema?
Huyu huyu JK ambae Mnyika alisema ni rais dhaifu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Baba Magu endelea na ubatizo wa moto baba, soon nyumbu watajitambua tu.
Unajua mnyika alisema ni dhaifu ktk jambo gani?
Mlipe deni la watu, mkomboe na mdege yenu
Aisee! Chadema kweli mmechanganyikiwa!
Yani leo hii Kikwete anapigiwa mfano na kutaja mazuri yake na chadema?
Huyu huyu JK ambae Mnyika alisema ni rais dhaifu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Baba Magu endelea na ubatizo wa moto baba, soon nyumbu watajitambua tu.
Jina “mzee” linatumika kinafiki sana!
Lina concept ya umri!
Kwanini usitoe hoja yako ukamuita “Mr” Kikwete bila kuweka umri wake kwenye microscope isiyo na umuhimu wowote?
Ni kama unambagua fulani kwamba “mzee” yule na sisi “vijana” maana opposite ya mzee inapply kwako ni true!
Kuna watu wananiudhi sana ku-degrade wenzao kwa kuwaweka kwenye mabox ya identities!
Mfano ni bwana mawe,anapenda sana kuita marais wa nyuma wazee as if wamempita mbali sana kiumri!
Mfano Kikwete,kampita mawe miaka michache tu!Ila atakavyokomaa kumuita mzee this mzee that!
Of which they in the same age group...huu unafiki bwana!
Ruksa kumpa sifa yoyote, lakini sifa za jumla ni kwa wamwisho aliyemalizia na sio wa mwanzo aliyeanzisha.Labda utawapata wenye mawazo kama yako lkn kwangu mimi naona sifa zangu zimwendee Kikwete
Ruksa kumpa sifa yoyote, lakini sifa za jumla ni kwa wamwisho aliyemalizia na sio wa mwanzo aliyeanzisha.
P
Mkuu, kwani Neno 'Mzee' lina maana gani ?
Pia mpaka likawepo hilo Neno ina maana kuwa hao wanaoitwa Wazee walikuwepo.
Ndiyo democrasia na kupevuka,rais ni mtumishi wa watu,si mungu wa watu,anachofanya rais wa sasa ni ushamba,hakuna tena uongozi wa mabavu katika dunia ya watu waliostarabikaKwa Kifupi Kikwete kafanya Mambo mengi sema kosa alilofanya ni kuruhusu watu wamchezee sharubu
Kikwete Kaongeza Hospital kadhaa
While za Kata
Nyumba za watumishi wa Umma kama Polisi na Walimu
Vivuko nchi nzima
Barabara za kutosha
Kajenga Mwendo kasi
Kajenga uwanja wa Ndege terminal 3 japo JPM kaja kuizindua tu
Kajenga viwanja vya ndege Songwe, Bukoba, Mbeya, na Mwanza