Mafanikio ya Utawala wa Jakaya Kikwete ndani ya Miaka 10

Mafanikio ya Utawala wa Jakaya Kikwete ndani ya Miaka 10

Magufuli kajenga hospitali 65 kwa miaka mitatu
Elimu bure kabisa
Kapandisha mapato toka B800 mpaka 1.3 trilion
Kafufua Atc
Kafufua Ttcl na inatoa gawio
Mapato ya madini yameongezeka
Kaongeza nidhamu serikali
Kupanga ni kuchagua
 
Kwamba kwa kifupi haya yote magufuli anayofanya niya kikwete yale yote aluokuwa anashughulikia kwenye muongo wake wa pili.magufuli yeye yake kama wakimpa ridhaa ya kuendelea awamu ya pili ndio ataanza na yale aliohidi yeye na hata yamaliza hivyo rais ajae baada ya magu nae ndio anaendelea kumalizia ya magu ndio sistimu inavyoenda pale ccm
 
Magufuli kajenga hospitali 65 kwa miaka mitatu
Elimu bure kabisa
Kapandisha mapato toka B800 mpaka 1.3 trilion
Kafufua Atc
Kafufua Ttcl na inatoa gawio
Mapato ya madini yameongezeka
Kaongeza nidhamu serikali
Kupanga ni kuchagua
Dr John Magufuli ana uwezo mkubwa sana wa kufanya maamuzi!
 
Hajapandisha mishahara na madaraja miaka mnne sasa. Maisha ya wafanyakazi ameyafanya kuwa magumu sana.
Magufuli kajenga hospitali 65 kwa miaka mitatu
Elimu bure kabisa
Kapandisha mapato toka B800 mpaka 1.3 trilion
Kafufua Atc
Kafufua Ttcl na inatoa gawio
Mapato ya madini yameongezeka
Kaongeza nidhamu serikali
Kupanga ni kuchagua
 
JK anajuta sana kuingia NEC ya CCM na jina la huyu mtu mfukoni mwake, mbaya zaidi akamsukumizia ndani ya chumba wakati anachungulia, sasa wacha ahukumiwe na mrithi wake
 
ukiona mahindi yako bei ya juu nenda kalime yako ya bei ya chini
Hii kauli haikupaswa kutolewa na mtu mwenye nafasi kubwa kama ile. Watu wanapomsikiliza kiongozi wao hutegemea kupata faraja kutokana na changamoto wanazopitia Ila kwasasa hata kumsikiliza kiongozi mkuu inahitaji moyo
 
Kwa maana hiyo hoja ya wapinzani kuwa serikali ccm haijafanya lolote haina mashiko ?
FAHAMU MAMBO MACHACHE ALIYOFANYA RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE
1. Daraja la Kigamboni
2. Daraja La Kilombero
3. Daraja la Umoja
4. Daraja la Maragarasi
5. Chuo Kikuu cha Dodoma
6. Hospitali ya Mloganzila
7. JNIA terminal III
8. DART(Mwendo kasi)
9. Sekondari za Kata nchi nzima kila kata ina shule.
10. Mradi mkubwa wa maji wa Ziwa Victoria
11. Songwe Airport
12. Kigoma Airport
13. Tabora Airport
14. Umeme wa REA
15. Benjamin Mkapa hospital Dodoma
16. Chuo kikuu cha Nelson Mandela Arusha
17. Dangote industry
18. Bomba la gesi Mtwara Dar
19. Kinyerezi I&II
20. Hospitali ya Moyo
21. MOI
22. Nchi nzima kuunganishwa kwa barabara za lami(zaidi km 14000 zilijengwa nchi nzima)
23. Umeme kwa makao makuu ya wilaya
24. Kuvusha Umeme Zanzibar
25. Ujenzi wa Mkongo wa taifa wa mawasiliano(leo tunajimwambafai na internet matunda ya JK)
26. JNICC Conference center(Ukumbi wa kisasa)
27. Hata CCM wenyewe aliwajengea ukumbi wa kisasa Dodoma.
28. *Nyongeza ya mishahara kwa watumishi kila mwezi julai*
29. *Ajira kila mwaka*
30. *Annual Increment ilikuwa haki ya Mtumishi.*
32. Diplomasia ya kimataifa ilikuwa juu katika ukanda wa maziwa makuu.
33. Demokrasia iliyopevuka
34. Aliwagomea CCM na kuwaambia hoja za kisiasa hujibiwa kisiasa, sio kwa kipigo cha polisi.
Hayo ni machache ya Jakaya Mrisho Khalfani Kikwete lakini hakujimwambafai.

Kwakuhitimisha Kikwete alifanya makubwa na Mikopo aliyokopa kila mmoja ananufaika nayo na vitu vinaonekana.

Kubwa zaidi lingine aliwaunganisha watz kwa pamoja bila kujali vyama vyao mpinzan kwake hakuonekana kama adui

Ukiona mtu anambeza KIKWETE mtafakari

MAGUFULI a.k.a Doctor wa VIWANDA

1. Stigla.

2. SGR

3. Kumalizia Barabara alizoanza Kikwete.

ALIYO HARIBU MAGUFULI NA NGUMU KUYAREKEBISHA

1. KUUZA nyumba za serikali

2. Makao makuu dodoma/Kule ni bonde la ufa na tetemeko mda wowote linatokea, hasa baada ya jiji kujengwa maghrofa na kuwa na mgandamizo mkubwa wa ardhi.


3. Kuuwa kabisa korosho.

4. Chuki dhidi ya watu wa kaskazini.

5,Kufyatua: akili yake anadhani idadi kubwa ya watu ndio utajiri, kama ameshindwa kutumia population iliyopo ijayo ataweza?


6.Kuua demokrasia , tena kwa kasi kubwa.


7.

8....
 
Huu ni uchochezi!
Siyo uchochezi, ni ukweli mchungu ambao praise team hawawezi kuumeza.
Huyu rais hakushushwa kutoka mbinguni 2015.
Nchi hii ilikuwepo kabla ya 2015.
Baadhi ya waimba mapambio ya sifa wanataka kuaminisha watz kuwa hakuna la maana lililofanywa na awamu zilizopita. Awamu hii tu ndiyo inafanya kazi. Wanasahau huyu wa awamu hii pia alikuwepo awamu mbili zilizopita, hakushushwa kutoka mbinguni 2015 kuja kuwakomboa watz.
Maraisi wote waliopita wamefanya kazi sana, ni kwamba hawakuwa na tabia ya kujimwambafy, kila walichofanya hawakuita vyombo vya habari ili viripoti Kama ilivyo sasa. Awamu hii hata uzinduzi wa soko tu lazima uwe live TBC. Tuwaheshimu waliotangulia, kila binadamu ana udhaifu wake.
 
Magufuli kajenga hospitali 65 kwa miaka mitatu
Elimu bure kabisa
Kapandisha mapato toka B800 mpaka 1.3 trilion
Kafufua Atc
Kafufua Ttcl na inatoa gawio
Mapato ya madini yameongezeka
Kaongeza nidhamu serikali
Kupanga ni kuchagua
Kaongeza nidhamu serikalini kwa kutopandisha watumishi mishahara na madaraja
 
hayo ndio yanamfanya aogope upinzani na uchaguzi hapa nchini
meko ni failure kabisa
 
Hayo mapato yaloongezeka, yamekusaidiaje wewe na ukoo wako? Yameleta tija gani kwa taifa?
Magufuli kajenga hospitali 65 kwa miaka mitatu
Elimu bure kabisa
Kapandisha mapato toka B800 mpaka 1.3 trilion
Kafufua Atc
Kafufua Ttcl na inatoa gawio
Mapato ya madini yameongezeka
Kaongeza nidhamu serikali
Kupanga ni kuchagua
 
Magufuli kajenga hospitali 65 kwa miaka mitatu
Elimu bure kabisa
Kapandisha mapato toka B800 mpaka 1.3 trilion
Kafufua Atc
Kafufua Ttcl na inatoa gawio
Mapato ya madini yameongezeka
Kaongeza nidhamu serikali
Kupanga ni kuchagua

Ila havijamsaidia masikini kujinasua na njaa.
 
Back
Top Bottom