suzie _barbie
JF-Expert Member
- May 2, 2017
- 1,523
- 3,073
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Nisha tumia mwaka wa 15 huu, cha kushangaza ngozi yangu ipo vizuri kuliko wife mwenye mabegi mawili ya mafuta.
Halafu kweli. Wanaume wana ngozi nzuri kuliko wanawake wakati wao routine yao ni simple tu ila sisi sasa [emoji119][emoji119][emoji119]