Mshua na Ba mdogo, wote wana BMW.Hizo gari kuna baba yeyote katika ukoo wenu anamiliki au umejisikia kuturusha roho tu maskini wa jf[emoji23][emoji23][emoji23]
Heheheheh halllow, mpare mwenyewe huyooooh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sawa sawa hongera sana bana! Uzuri mie japo maskini ila hii Jaguar F-Pace inanifariji kwa trip za mihangaikoni hapa town [emoji23]
Hivi tunaanzaje kuachana? Kifo kitatutenganisha, tumeshafunga pingu za maisha.Sema usimuache maana akikutosa utapanda Passo
Nashukuru hatupo mbali mbali sana mie kwetu wapo watatu mmoja ana Jeep Grand Cherokee SRT, mwengine Range rover Velar na mkubwa kabisa ana G wagon ya 2018 ile! Mie nimeamua nijishikize na Jaguar F-Pace mambo yangu hayajakaa vizuri
daaaaah huyu hana stress kabisa ya wese kama ni safari za mjini mjini...Eeh ni 1300cc yani maana ina displacement ya 1290cc
Eeh af unakuta mtu anaulizia tena vipi inakula wese?daaaaah huyu hana stress kabisa ya wese kama ni safari za mjini mjini...
hahahahahahaha utampiga makofi ...Eeh af unakuta mtu anaulizia tena vipi inakula wese?
Wanatia hasira sana wakati sie wenye 1800cc tusemeje sasa?! Likijitahidi sana towntrip limekula 8L per km highway ndio walau unazipata 12. Kadhaahahahahahahaha utampiga makofi ...
huyo muazime brevis ataiacha kwenye folenWanatia hasira sana wakati sie wenye 1800cc tusemeje sasa?!
Anaweza akalisusaahuyo muazime brevis ataiacha kwenye folen
kabisa ...Anaweza akalisusaa
Duu ngoja nika google nipate Exeposure mpya kheeVipi wewe mara ya mwisho lini umepandishwa lini Benz Maybach? Au porsche Cayenne😝😝😝
Daa nakula Exposure tu leoMr wangu ana BMW X6, na jmos nakanyaga mafuta mwenyewe Dar - Arusha via Dom, vipi unataka lift?
Hizo gari zenu za kitoto hapan kwa kweli, yaan mdada ana haha kisa crown, IST? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu wawe serious bas khaaah.
Nataka gari ambayo nikikaa kulia, kweli na drive ndinga, huhuhuh
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
JaguarSawa sawa hongera sana bana! Uzuri mie japo maskini ila hii Jaguar F-Pace inanifariji kwa trip za mihangaikoni hapa town 😂
Si lakini huwa naviitaga vimkebe[emoji23][emoji23]Gari za style ile kama Sienta,Rumion huwa sizikubali
Gari za style ile kama Sienta,Rumion huwa sizikubali
Eeh mkuu kuzaliwa maskini sio kosa mkuu! Kosa ni kuendelea kuishi kimaskini online mkuu!Jaguar