kuna utaratibu wa kuendesha hizo gari zao kama kuna emergencyJiunga na Jeshi na wewe utanue
Ukiona gari ya Jeshi ipishe wa aweza kuwa wanawahi kukabili magaidi au majambazi yaliyovamia nyumbani kwako au wanawaita operation ya kijeshi mahali
Pisha tu na kigari chako koko kopo lililochakaa likanyewa Japan ukanunua wewe kama used car
Kuwa na Ki used car chako unajiona na wewe una hadhi kubwaaaa barabarani!!!.pisha huko
kuna utaratibu wa kuendesha hizo gari zao kama kuna emergency
Si angetembea n'a king'ora sheria ni muhimu zinazuia ajali kwa kiasi kikubwa sasa hapo junction mtu angetokea upande mwengine si angemvaa na kusababisha ajali.Unajua kilichobebwa humo? Huenda hakipaswi kusubiri
Sasa si awe na king'ora huna king'ora mtu atajuaje kama gari la jeshiMkuu ukiwa road kuna makundi ma3 ya magari yanayopewa kipaumbele: 1 Magari ya majeshi yote kwa ujumla wake. 2 Magari ya wagonjwa Ambulance. 3 Mabasi ya abiria ukifika stand ya Magu Mbezi ukiona basi la abiria linachomoka mazima toka stand kuingia barabara kuu usishangae
Yani aligongwa na gari nyingineKuna mjeshi mmoja alivunja sheria traffic lights, alibondwa hadi kufa.
Acha wajifanye roho ngumu watakwisha, nasema watapukutika.
Mkuu umetoa uzi muhimu sana,nchi yetu sasa ina Tabaka ambao wapo above law's, sheria ya barabarani ni kwa watumiaji wote regardless wewe ni nani,angalia jinsi hizi SU, ST, gari za jeshi na tiss yaani wao sheria hizi haziwahusu kabisa, why haya mambo yanaibuka miaka hii, kipindi cha president Nyerere (rip)wenye haki ya blue lights walikua wanna tu, na misafara yao ilikua hauzidi 3 cars, Yaani sweeper, main car for Subject na security, sasa hata igp, cdf, spika etc etc eti wana blue lights, kuishi ndani ya nchi hii kunakatanisha tamaa ya maisha
Naongezea, uhamiaji, Rc Dar, Zimamoto,Mkuu umetoa uzi muhimu sana,nchi yetu sasa ina Tabaka ambao wapo above law's, sheria ya barabarani ni kwa watumiaji wote regardless wewe ni nani,angalia jinsi hizi SU, ST, gari za jeshi na tiss yaani wao sheria hizi haziwahusu kabisa, why haya mambo yanaibuka miaka hii, kipindi cha president Nyerere (rip)wenye haki ya blue lights walikua wanna tu, na misafara yao ilikua hauzidi 3 cars, Yaani sweeper, main car for Subject na security, sasa hata igp, cdf, spika etc etc eti wana blue lights, kuishi ndani ya nchi hii kunakatanisha tamaa ya maisha
unachekesha ndg.Unajua kilichobebwa humo? Huenda hakipaswi kusubiri
Punguza nongwa ikiwezekana acha kabisa ingawa kama umekulia mazingira ya nongwa ni vigumu sana kuacha.Kwani ndio tukio lako la kwanza kuliona kwa gari za serikali tokea uwe mkubwa.?Tanzania ni Tanzania na itabaki Tanzania, Ulaya ni Ulaya, mtu mweusi ni mweusi na mzungu ni mzungu, tutaiga machache mengine hatutoweza milele.View attachment 2230503View attachment 2230504
Kwa makusudi kabisa tena bila kujali, sasa hivi magari ya JWTZ hawaheshimu sheria za usalama barabarani.
Na tunawaona kila siku jijini Dar.
Picha hii ni leo Mwenge DSM.
Hii kwa jeshi ni dalili moja ya indisciple katika jeshi, kwa kuonyesha kuwa nani atanifanya nini.
Picha ya close-in kuna polisi traffic lakini hawana la kufanya mjeda akikatiza red light.
Wabunge wetu muulizeni Waziri wa Ulinzi: Hii nini
View attachment 2230503View attachment 2230504
Kwa makusudi kabisa tena bila kujali, sasa hivi magari ya JWTZ hawaheshimu sheria za usalama barabarani.
Na tunawaona kila siku jijini Dar.
Picha hii ni leo Mwenge DSM.
Hii kwa jeshi ni dalili moja ya indisciple katika jeshi, kwa kuonyesha kuwa nani atanifanya nini.
Picha ya close-in kuna polisi traffic lakini hawana la kufanya mjeda akikatiza red light.
Wabunge wetu muulizeni Waziri wa Ulinzi: Hii nini
Msiwe wanafiki.Punguza nongwa ikiwezekana acha kabisa ingawa kama umekulia mazingira ya nongwa ni vigumu sana kuacha.Kwani ndio tukio lako la kwanza kuliona kwa gari za serikali tokea uwe mkubwa.?Tanzania ni Tanzania na itabaki Tanzania, Ulaya ni Ulaya, mtu mweusi ni mweusi na mzungu ni mzungu, tutaiga machache mengine hatutoweza milele.