Ituzaingo Argentina
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 1,868
- 2,191
Yani aligongwa na gari nyingine
Upuuzi huo upo dunia ya tatu tu.Swali kwa wale waliotembelea nchi mbalimbali,
Hii issue ya gari za Jeshi kukiuka Sheria za barabarani ni dunia nzima au ni Tanzania pekee?
Basi la abiria likiwa linatoka stand kuingia main road lipe kipaumbele usishindane nalo.Hii namba 3,Sijaelewa.
Dereva aliyepitia mafunzo hawezi comment anaelewa somo we jipendekeze ktk mojawapo ya hayo magari hasa wajeda uone moto wakeMsikilizeni huyu nae!
Unepotea njia.Dereva aliyepitia mafunzo hawezi comment anaelewa somo we jipendekeze ktk mojawapo ya hayo magari hasa wajeda uone moto wake
Sasa naelewa why nchi hii ina mazuzu wengi, ungeonyesha dalili za kuwa na uwezo wa kufikiri ningekupeleka Zambia,Namibia na Botswana kwenye miji yao mikuu ili uone majeshi yao yanavyo behave, nchi hizo zote elewa Zina pia road blocks wanazozisimamia,raia they never complainUnahisi kwanini ambulance haifuati Sheria ? Inapita kwenye Taa nyekundu na inapishwa na Magari Mengine . Ukipata majibu utapata majibu kwa hiyo hoja yako .
Take note .
Ambulance base on afya na uhai wa mwanadamu
Na huku Kwingine base kwenye core subject Yao dhidi ya faida kwa binadamu
Ata bongo wapo wenye nidhamu tuYaani mkuu mazuzu ni wengi mno,tembelea Botswana uone jeshi lake lilivyo na heshima na kuheshimu sheria, panamatenga barracks binafsi nilipata msaada mkubwa mno kutoka kwa wanajeshi wale,sidhani kama ningepata car broke down hapa lugalo barracks ningesaidiwa vile
Jeshi ganii linatunga sheriaAnaetunga Sheria ndiye mvunjaji mkuu wa Sheria
Nani kakwambia hawa haya gari binafsi hv hv wanatundika koti lina mawe began kwmy siti ya dreva utamwambia nnAmka waza zaidi ya kawaida, Usifikiri kitoto.Hivyo ni vyombo vya Ulinzi na alichobeba wewe hujui na hata akiwa anakimbiza gari wewe hujui sababu acha kuropoka. Hao wakiwa kwenye magari yao binafsi wala hawana hizo harakati wanaendesha kwa taratibu zote .Kwenye Mambo ya Ulinzi ya Nchi acha ujuaji wakati huna unalojua.
Mtungaji mkuu wa Sheria ni Serikali.Jeshi ganii linatunga sheria