Ituzaingo Argentina
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 1,868
- 2,191
Yani aligongwa na gari nyingine
Nafikiri itakua hivyo mkuu, but sina uhakika nami nilidokezwa na jamaa
However, kila mara nikishuhudia magari ya jeshi, polisi na magari ya serikalini yakivunja sheria za bara bara+traffic lights