Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
SAMIA& Mwigulu wafanya biashara wengi hawalipo kodi,na Maafisa wa TRA kazi yao Ku under evaluate nankuchukua rushwa huku wakilipwa mishahara minono.
Nashauri VAT iongezeke hadi 30% na corporate tax iwe 45% hii Nchi inachezewa sana na Wafanyabiashara.
Nashauri VAT iongezeke hadi 30% na corporate tax iwe 45% hii Nchi inachezewa sana na Wafanyabiashara.