Ukisema "mliwaita" unakusudia kuwasema kina nani hao waliowaita wenzao?
Vicious cycle taslimu. Yaani ujinga endelevu si ndiyo huu sasa?
Tufanye waliitwa wasaliti hivyo sasa wamenuna. Basi si wapishe waingie kina Mtikila, Malema, Seif, Nyerere, Tutu na wa namna hiyo wasiokuwa na utoto kama unaoona wewe ni mali mno?
Kwamba:
"Maandamano muanzishe ccm wenyewe huko ndani kwani mkianzisha nyie hayatakuwa maandamano?"
Kama namwona Mwigulu akikushangilia kweli kweli. Kama si nduguyo yumkini ni mfuasi wake nguli kabisa.