Mahakama kupitia Jaji Mkuu imjibu Makonda. Kukaa kimya wananchi wataamini asemayo

Mahakama kupitia Jaji Mkuu imjibu Makonda. Kukaa kimya wananchi wataamini asemayo

Paul Makonda, Mwenezi wa CCM akiwa anazunguka nchi nzima kwa misafara mirefu kuliko kiongzi yeyote na kusikiliza kero na kuwalalamikia CCM wenzake kwa kutofanya kazi .
Mwanzo alianza na kulalamikia CHADEMA, AKAJA KWA MBOWE SASA wana CCM wenzie.

Makonda amewaambia wananchi na kuwaagiza wasipeleke kesi mahakmani kwakuwa hawana hela kama yeye ili kununua haki na kwamba hata yeye alidhulumiwa nyumba masaki lakini akaona asiende mahakamani maana hatapata haki.
Juzi hapa Makonda alielimishwa na Mh AG Eliezer Feleshi ambaye kama watu hawajui FELESHI ndiye Mshauri mkuu wa Nchi ya Tanzania.
Sasa Makonda kampanda kichwani, Mahalkama na AG, wamekaa kimya.

Hii kauli ya Makonda tunaweza kuitazama kwa angle nyingi lakini inauvua nguo mfumo wa haki nchini. Na unfortunately ni kauli ya kweli kabisa. Ndio, ni kauli ngumu lakini inaakisi tatizo la mfumo wetu wa utoaji haki.
Anachosema Makonda ni kuwa bila kuwa na pesa na connection, sahau HAKI. Ninachopingana na Makonda ni kuwa haki ipo serikalini, hii sio kweli. Wala serikali sio chombo cha kutoa haki, chombo cha haki ni mahakama/judiciary. Ni muhimili unaojitegemea. Tunahitaji kujenga mfumo wa mahakama ulio huru na unaosimamia kweli na usioegemea upande wowote. Rostam Aziz alisema kuhusu Mfumo wa mahakama kuwa umeoza akaambiwa akanushe Chap Sasa Mwenezi anaonesha panapovuja na ndio Uhalisia
Mfumo ambao haki siyo upendeleo bali ni fursa inayoweza kupatikana na kila mtu. Ni muhimu sasa, zaidi ya wakati wowote, kutafuta suluhu na kufanya mahakama zetu kuwa huru.Mbona Kenya wanaweza? Hawa si ni wenzetu tu wa eneo hili la Afrika mashariki? Makonda anasema mfumo wetu wa utoaji haki umeoza, inawezekana ni kweli. Basi turekebishe huo mfumo, tusiukimbie na kutengeneza mfumo mwingine. Hiyo sio solution.
Sasa hapo tetesi ni ipi mkuu
 
Unasemaje na kutolea mfano wa kenya wakati hapo majuzi tu Rais wao Mh William Ruto alipinga maamuzi ya mahakama na kusema kuwa mahakama zinapindisha sheria na hivyo hata fuata amri zao?

Mimi nipo nasimama na mzalendo wa kweli wa Taifa letu ,msema kweli,kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara na Rais mtarajiwa kuanzia
2030 Mheshimiwaa Paul Christian Makonda.
Mumeo huyo likitajwa jina lake tu kimiminika cha kibaiolojia kinakutoka
 
Makonda ni kama chizi kapewa rungu katikati ya uwanja wa vita, anapiga tu, hajali anapiga adui au askari wa jeshi lake mwenyewe!
 
Hata mawakili wanaonana na mahakimu na majaji nje ya mahakama na kumalizana kwa rushwa. Hukumu inasomwa waliyokubaliana kwenye mabaa au mahoteli. Makonda amesema ukweli ukiwa huna fedha huna haki.
 
Kwahiyo kwa akili yako ya huko kihodombi inakutuma kwamba kama mahakama ni chombo cha haki kisipotoa ujichukulie sheria mononi?

Mwanamke mwenzako aliyeibiwa mume , akikuona na kukufananisha akakumwagia maji ukaungua sura na baadae ikaja kugundulika si wewe ila ni pacha wako ni sawa? au ilipaswa akukamate na kukupeleka mahakamani ili ujitetee na haki itendeke?

UVCCM sijui mmekuwaje!
Hata uandike utumbo namna gani ukweli uko palepale mahakama za Tanzania ni corrupt hazina lolote
 
Paul Makonda, Mwenezi wa CCM akiwa anazunguka nchi nzima kwa misafara mirefu kuliko kiongzi yeyote na kusikiliza kero na kuwalalamikia CCM wenzake kwa kutofanya kazi .
Mwanzo alianza na kulalamikia CHADEMA, AKAJA KWA MBOWE SASA wana CCM wenzie.

Makonda amewaambia wananchi na kuwaagiza wasipeleke kesi mahakmani kwakuwa hawana hela kama yeye ili kununua haki na kwamba hata yeye alidhulumiwa nyumba masaki lakini akaona asiende mahakamani maana hatapata haki.
Juzi hapa Makonda alielimishwa na Mh AG Eliezer Feleshi ambaye kama watu hawajui FELESHI ndiye Mshauri mkuu wa Nchi ya Tanzania.
Sasa Makonda kampanda kichwani, Mahalkama na AG, wamekaa kimya.

Hii kauli ya Makonda tunaweza kuitazama kwa angle nyingi lakini inauvua nguo mfumo wa haki nchini. Na unfortunately ni kauli ya kweli kabisa. Ndio, ni kauli ngumu lakini inaakisi tatizo la mfumo wetu wa utoaji haki.
Anachosema Makonda ni kuwa bila kuwa na pesa na connection, sahau HAKI. Ninachopingana na Makonda ni kuwa haki ipo serikalini, hii sio kweli. Wala serikali sio chombo cha kutoa haki, chombo cha haki ni mahakama/judiciary. Ni muhimili unaojitegemea. Tunahitaji kujenga mfumo wa mahakama ulio huru na unaosimamia kweli na usioegemea upande wowote. Rostam Aziz alisema kuhusu Mfumo wa mahakama kuwa umeoza akaambiwa akanushe Chap Sasa Mwenezi anaonesha panapovuja na ndio Uhalisia
Mfumo ambao haki siyo upendeleo bali ni fursa inayoweza kupatikana na kila mtu. Ni muhimu sasa, zaidi ya wakati wowote, kutafuta suluhu na kufanya mahakama zetu kuwa huru.Mbona Kenya wanaweza? Hawa si ni wenzetu tu wa eneo hili la Afrika mashariki? Makonda anasema mfumo wetu wa utoaji haki umeoza, inawezekana ni kweli. Basi turekebishe huo mfumo, tusiukimbie na kutengeneza mfumo mwingine. Hiyo sio solution.
Sasa jaji unakataa makonda kusema ukweli mtupu

Mbna ukweli hamtaki

Ni Kweli Kbsa bila pesa utapoteza kesi ikiwa utakwenda kusimama na mtu mwenye pesa zake uwezi pata hakia


Sanaa makonda angeshauri watanzania tuimarishe na tutafute waganga wanaoeleweka ili mamb yaishe kijadi
 
Hata mawakili wanaonana na mahakimu na majaji nje ya mahakama na kumalizana kwa rushwa. Hukumu inasomwa waliyokubaliana kwenye mabaa au mahoteli. Makonda amesema ukweli ukiwa huna fedha huna haki.
👍👍
Sahihi kabisa
 
Utaandika sana uozo.

Ila kama una nguvu, Nenda umtoe Pale Makonda !!.

Au mzuie asiwapelekee moto watendaji wavivu, wazembe ,mafisadi
 
Paul Makonda, Mwenezi wa CCM akiwa anazunguka nchi nzima kwa misafara mirefu kuliko kiongzi yeyote na kusikiliza kero na kuwalalamikia CCM wenzake kwa kutofanya kazi .
Mwanzo alianza na kulalamikia CHADEMA, AKAJA KWA MBOWE SASA wana CCM wenzie.

Makonda amewaambia wananchi na kuwaagiza wasipeleke kesi mahakmani kwakuwa hawana hela kama yeye ili kununua haki na kwamba hata yeye alidhulumiwa nyumba masaki lakini akaona asiende mahakamani maana hatapata haki.
Juzi hapa Makonda alielimishwa na Mh AG Eliezer Feleshi ambaye kama watu hawajui FELESHI ndiye Mshauri mkuu wa Nchi ya Tanzania.
Sasa Makonda kampanda kichwani, Mahalkama na AG, wamekaa kimya.

Hii kauli ya Makonda tunaweza kuitazama kwa angle nyingi lakini inauvua nguo mfumo wa haki nchini. Na unfortunately ni kauli ya kweli kabisa. Ndio, ni kauli ngumu lakini inaakisi tatizo la mfumo wetu wa utoaji haki.
Anachosema Makonda ni kuwa bila kuwa na pesa na connection, sahau HAKI. Ninachopingana na Makonda ni kuwa haki ipo serikalini, hii sio kweli. Wala serikali sio chombo cha kutoa haki, chombo cha haki ni mahakama/judiciary. Ni muhimili unaojitegemea. Tunahitaji kujenga mfumo wa mahakama ulio huru na unaosimamia kweli na usioegemea upande wowote. Rostam Aziz alisema kuhusu Mfumo wa mahakama kuwa umeoza akaambiwa akanushe Chap Sasa Mwenezi anaonesha panapovuja na ndio Uhalisia
Mfumo ambao haki siyo upendeleo bali ni fursa inayoweza kupatikana na kila mtu. Ni muhimu sasa, zaidi ya wakati wowote, kutafuta suluhu na kufanya mahakama zetu kuwa huru.Mbona Kenya wanaweza? Hawa si ni wenzetu tu wa eneo hili la Afrika mashariki? Makonda anasema mfumo wetu wa utoaji haki umeoza, inawezekana ni kweli. Basi turekebishe huo mfumo, tusiukimbie na kutengeneza mfumo mwingine. Hiyo sio solution.
Naamin tuna CJ dhaifu than ever before. Nyakali na Samata (as they was) Hamna wa kuwakaribia
 
Kumbuka Mahakama ni Mwajiriwa wa Serekali Mahakimu Majaji wote wapo chini ya Serekali sasa hapo Mahakama ataiambia nini Serekali? Serekali ndio inaamua kipi kiwe na kipi kisiwe kwa hio Mahakama kwa Serekali ni kobogoyo hawezi kutafuna mfupa

Usisahau ni Simu moja tu
Mkuu ulisoma civics kweli sekondari? Au maarifa ya jamii msingi?

Mahakama ni mhimili wa dols unaojitegemea na sio waajiriwa wa serikali na wala watumishi wake hawaajiriwi kupitia mfumo wa utumishi bali wanaajiriwa na mfumo wa Mahakama.

Tanzania kuna mihimili mitatu ya dola ambayo ni Serikali, Bunge na Mahakama
 
Makonda yupo sahihi,hata mwenye pesa zake Rostam alilisema hili mchana kweupe.

Kule Shinyanga hivi tunavyoongea kuna familia zinaishi kwa kuhifadhiwa na majirani kisa wapuuzi wachache tu wameatamia pesa za mirathi kwenye akaunti ya mirathi ya mahakama baada ya makazi yao kupitiwa na mradi wa SGR.

Kuhamisha tu hizo pesa kwenda kwenye akaunti za warithi ni zaidi ya miezi sita sasa, imagine.
 
Kwenye hili nko upande wa mwenezi... mahakama ijitafakari... Mwenezi hajawahi toa point kubwa kuliko hii
Kwa Kweli kanikosha sna na kauli ile ya uwazi bila kupepeza macho

CCM wanajuta kumpa uenezi huyu jamaa nadhani mle ndani wanna tizamana
 
Paul Makonda, Mwenezi wa CCM akiwa anazunguka nchi nzima kwa misafara mirefu kuliko kiongzi yeyote na kusikiliza kero na kuwalalamikia CCM wenzake kwa kutofanya kazi .
Mwanzo alianza na kulalamikia CHADEMA, AKAJA KWA MBOWE SASA wana CCM wenzie.

Makonda amewaambia wananchi na kuwaagiza wasipeleke kesi mahakmani kwakuwa hawana hela kama yeye ili kununua haki na kwamba hata yeye alidhulumiwa nyumba masaki lakini akaona asiende mahakamani maana hatapata haki.
Juzi hapa Makonda alielimishwa na Mh AG Eliezer Feleshi ambaye kama watu hawajui FELESHI ndiye Mshauri mkuu wa Nchi ya Tanzania.
Sasa Makonda kampanda kichwani, Mahalkama na AG, wamekaa kimya.

Hii kauli ya Makonda tunaweza kuitazama kwa angle nyingi lakini inauvua nguo mfumo wa haki nchini. Na unfortunately ni kauli ya kweli kabisa. Ndio, ni kauli ngumu lakini inaakisi tatizo la mfumo wetu wa utoaji haki.
Anachosema Makonda ni kuwa bila kuwa na pesa na connection, sahau HAKI. Ninachopingana na Makonda ni kuwa haki ipo serikalini, hii sio kweli. Wala serikali sio chombo cha kutoa haki, chombo cha haki ni mahakama/judiciary. Ni muhimili unaojitegemea. Tunahitaji kujenga mfumo wa mahakama ulio huru na unaosimamia kweli na usioegemea upande wowote. Rostam Aziz alisema kuhusu Mfumo wa mahakama kuwa umeoza akaambiwa akanushe Chap Sasa Mwenezi anaonesha panapovuja na ndio Uhalisia
Mfumo ambao haki siyo upendeleo bali ni fursa inayoweza kupatikana na kila mtu. Ni muhimu sasa, zaidi ya wakati wowote, kutafuta suluhu na kufanya mahakama zetu kuwa huru.Mbona Kenya wanaweza? Hawa si ni wenzetu tu wa eneo hili la Afrika mashariki? Makonda anasema mfumo wetu wa utoaji haki umeoza, inawezekana ni kweli. Basi turekebishe huo mfumo, tusiukimbie na kutengeneza mfumo mwingine. Hiyo sio solution.
Kakojoe ukalale!! Nyie ndo Watumishi wa mahakama wa hovyo
 
Back
Top Bottom