Mahakama kupitia Jaji Mkuu imjibu Makonda. Kukaa kimya wananchi wataamini asemayo

Mahakama kupitia Jaji Mkuu imjibu Makonda. Kukaa kimya wananchi wataamini asemayo

Paul Makonda, Mwenezi wa CCM akiwa anazunguka nchi nzima kwa misafara mirefu kuliko kiongozi yeyote na kusikiliza kero na kuwalalamikia CCM wenzake kwa kutofanya kazi. Mwanzo alianza na kulalamikia CHADEMA, AKAJA KWA MBOWE SASA wana CCM wenzie.

Makonda amewaambia wananchi na kuwaagiza wasipeleke kesi Mahakmani kwakuwa hawana hela kama yeye ili kununua haki na kwamba hata yeye alidhulumiwa nyumba lakini akaona asiende mahakamani maana hatapata haki.

Juzi hapa Makonda alielimishwa na Mh AG Eliezer Feleshi ambaye kama watu hawajui FELESHI ndiye Mshauri Mkuu wa Nchi ya Tanzania. Sasa Makonda kampanda kichwani, Mahakama na AG, wamekaa kimya.

Hii kauli ya Makonda tunaweza kuitazama kwa angle nyingi lakini inauvua nguo mfumo wa haki nchini.

Na unfortunately ni kauli ya kweli kabisa. Ndio, ni kauli ngumu lakini inaakisi tatizo la mfumo wetu wa utoaji haki.

Anachosema Makonda ni kuwa bila kuwa na pesa na connection, sahau HAKI hasa kwenye mahaama. Yeye anaamini anazidiwa fedha na GSM ndio maana nyumba ya masaki kasamehe.

Ninachopingana na Makonda ni kuwa haki ipo serikalini, hii sio kweli. Wala serikali sio chombo cha kutoa haki, chombo cha haki ni mahakama/judiciary. Ni muhimili unaojitegemea.

Tunahitaji kujenga mfumo wa mahakama ulio huru na unaosimamia kweli na usioegemea upande wowote.

Rostam Aziz alisema kuhusu Mfumo wa Mahakama kuwa umeoza akaambiwa akanushe chap sasa Mwenezi anaonesha panapovuja na ndio Uhalisia.

Mfumo ambao haki siyo upendeleo bali ni fursa inayoweza kupatikana na kila mtu. Ni muhimu sasa, zaidi ya wakati wowote, kutafuta suluhu na kufanya mahakama zetu kuwa huru. Mbona Kenya wanaweza? Hawa si ni wenzetu tu wa eneo hili la Afrika Mashariki?

Makonda anasema mfumo wetu wa utoaji haki umeoza, inawezekana ni kweli. Basi turekebishe huo mfumo, tusiukimbie na kutengeneza mfumo mwingine. Hiyo sio solution.

Pia Soma:
- Paul Makonda: Maskini Ukizulumiwa Haki Usikimbilie Mahakamani" Mahakama Wajitafakari
Kama wewe ni jaji ebu jaribuni kutenda haki acha maneno mengi! Makonda yupo sahihi kabisa.
 
Hili la mahakama hata marehemu Magufuli alishawapiga nyundo sema kwa lugha ya kiuongozi tu namna wanavyoshughulikia kesi za watu na kutoa hukumu.
 
Kama wewe ni jaji ebu jaribuni kutenda haki acha maneno mengi! Makonda yupo sahihi kabisa.
Hayupo sahihi, Vijana UVCCM acheni mihemko?
Hivi ikitokea unatoka kuoga hapo kwenye nyumba yenu ya urithi unapoishi na shemejiyo, unafika chumbani unatoa taulo, ghafla anakuja binti wa kaka yako amevaa kanga moja, anakuomba nauli aende matembezi mliman city , ghafla mamayake anakuja chumbani anapiga kelele umebaka binti , binti kwa woga anasem aumembaka, wananchi wanakubonda na mawe wewe ni mbakaji kwakuwa wakikupeleka mahakamani hakuna haki, hii itakuwa sawa?
 
Paul Makonda, Mwenezi wa CCM akiwa anazunguka nchi nzima kwa misafara mirefu kuliko kiongozi yeyote na kusikiliza kero na kuwalalamikia CCM wenzake kwa kutofanya kazi. Mwanzo alianza na kulalamikia CHADEMA, AKAJA KWA MBOWE SASA wana CCM wenzie.

Makonda amewaambia wananchi na kuwaagiza wasipeleke kesi Mahakmani kwakuwa hawana hela kama yeye ili kununua haki na kwamba hata yeye alidhulumiwa nyumba lakini akaona asiende mahakamani maana hatapata haki.

Juzi hapa Makonda alielimishwa na Mh AG Eliezer Feleshi ambaye kama watu hawajui FELESHI ndiye Mshauri Mkuu wa Nchi ya Tanzania. Sasa Makonda kampanda kichwani, Mahakama na AG, wamekaa kimya.

Hii kauli ya Makonda tunaweza kuitazama kwa angle nyingi lakini inauvua nguo mfumo wa haki nchini.

Na unfortunately ni kauli ya kweli kabisa. Ndio, ni kauli ngumu lakini inaakisi tatizo la mfumo wetu wa utoaji haki.

Anachosema Makonda ni kuwa bila kuwa na pesa na connection, sahau HAKI hasa kwenye mahaama. Yeye anaamini anazidiwa fedha na GSM ndio maana nyumba ya masaki kasamehe.

Ninachopingana na Makonda ni kuwa haki ipo serikalini, hii sio kweli. Wala serikali sio chombo cha kutoa haki, chombo cha haki ni mahakama/judiciary. Ni muhimili unaojitegemea.

Tunahitaji kujenga mfumo wa mahakama ulio huru na unaosimamia kweli na usioegemea upande wowote.

Rostam Aziz alisema kuhusu Mfumo wa Mahakama kuwa umeoza akaambiwa akanushe chap sasa Mwenezi anaonesha panapovuja na ndio Uhalisia.

Mfumo ambao haki siyo upendeleo bali ni fursa inayoweza kupatikana na kila mtu. Ni muhimu sasa, zaidi ya wakati wowote, kutafuta suluhu na kufanya mahakama zetu kuwa huru. Mbona Kenya wanaweza? Hawa si ni wenzetu tu wa eneo hili la Afrika Mashariki?

Makonda anasema mfumo wetu wa utoaji haki umeoza, inawezekana ni kweli. Basi turekebishe huo mfumo, tusiukimbie na kutengeneza mfumo mwingine. Hiyo sio solution.

Pia Soma:
- Paul Makonda: Maskini Ukizulumiwa Haki Usikimbilie Mahakamani" Mahakama Wajitafakari
Jaji Mkuu kumjibu makonda itakuwa ni kujidhalilisha , hapa labda Jaji Kiongozi au TLS au mrajisi wa mahakama Kuu
 
Huwa nashangaa eti mahakama nao wanaomba bajeti serikalini wakati hakuna kazi wanafanya ni aibuuu saaana kwa mahakama hawana historia yoyote ya kazi waliofanya badala ya kazi kudhurumu masikini.
 
Walengwa ni Mawakili, wao ndiyo wamjibu Makonda, maana kasema wananunuliwa na upande pinzani, kuvuruga haki, Mawakili wa Tz siyo sawa na Kenya watakaa kimya kama kondoo tu, juzi tu wakili Tabora kaenda kituoni kufuatilia mteja wake kawekwa ndani, mawakili kimyaaaaa! Sheria sasa ni fani imejaa vilaza wengi tofauti na zamani.
 
Inaonekana makonda ana nguvu zaidi ya huo muhimili🙄
 
Walengwa ni Mawakili, wao ndiyo wamjibu Makonda, maana kasema wananunuliwa na upande pinzani, kuvuruga haki, Mawakili wa Tz siyo sawa na Kenya watakaa kimya kama kondoo tu, juzi tu wakili Tabora kaenda kituoni kufuatilia mteja wake kawekwa ndani, mawakili kimyaaaaa! Sheria sasa ni fani imejaa vilaza wengi tofauti na zamani.
UVCCM mnawashwa!
Wakili anaandika hukumu?
Wakili anachukua ushahidi?
Wakili anapokea vielelezo?
Akinunuliwa na upande wa pili, kama UVCCM mlivyozoea kwenye tume za chaguzi, hakuna nafasi ya rufaa?
 
Nilikuwa na kesi ya nyumba ikapigwa tarehe miezi mitatu baada ya hapo ikapigwa miezi sita baadaye.
Nikazunguka mbuyu ndani ya wiki mbili nilikuwa na removal order na police escort juu.
NB ni miaka kumi nabili iliopita
 
Unasemaje na kutolea mfano wa kenya wakati hapo majuzi tu Rais wao Mh William Ruto alipinga maamuzi ya mahakama na kusema kuwa mahakama zinapindisha sheria na hivyo hata fuata amri zao?

Mimi nipo nasimama na mzalendo wa kweli wa Taifa letu ,msema kweli,kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara na Rais mtarajiwa kuanzia
2030 Mheshimiwaa Paul Christian Makonda.
Mkuu,
Watu wa Kenya usiwaongelee kwenye huu ukanda, mfumo wao wa mahakama uko vzr sana.
Katika hilo sakata, angalia hata namna Jaji mkuu anavyomwambia hazarani Rais athibitishe hoja yake. Unahisi Jaji mkuu wa kwetu anaweza kujibizana na Rais kwa hapa kwetu? Huo ndio utofauti mkubwa uliopo, na mabishano ya Jaji mkuu na Rais wa Kenya yanatosha sana kutuonesha kwamba Jaji hakumpendelea Rais Ruto wakati wa kesi ya kupinga matokeo dhidi ya Raila.
 
Ukweli ndo huo,tukisema wasomi wa Nchi hii ni sifuri bibi sifuri mnaanza oo tumewadharau.
Kiko wapi😜.
Makonda sio chizi mjue.

Ndo wajue wakuu wa taasisi,kujilekebisha na kuacha kujifungamanisha na vyama vya siasa.
Kutwa kutaka kumfulahisha mteuzi na kuenjoy kamshahara.
Matokeo yake ndo hayo.wanavuliwa nguo kwenye kadamnasi.
Unang'ang'ania cheo na mshahara Kwa kumsujudia kayafa kana kwamba bila hiyo kazi huwezi kuishi😄😄😄.
Kama Kuna mbwa yeyote atabweka juu ya makonda😅.Nipo pale nimekaa.

Mfumo umebebwa na wajinga wajinga,waoga wa kutetea heshma.
Polisi wao walishakubali yaishe.
Maana hawana tofauti na Greenguard,labda maokoto🤣🤣🤣.
Ukweli ndo huo,kasema makonda.
Abweke hata mmoja tuone dadeki.
Nabado hiyo ndo Ccm.
Najua makonda upo humu,endelea hivyo hivyo mpaka basi,maana hawana Cha kukufanya.
 
Back
Top Bottom