Mahakama kupitia Jaji Mkuu imjibu Makonda. Kukaa kimya wananchi wataamini asemayo

Sasa hapo tetesi ni ipi mkuu
 
Mumeo huyo likitajwa jina lake tu kimiminika cha kibaiolojia kinakutoka
 
Makonda ni kama chizi kapewa rungu katikati ya uwanja wa vita, anapiga tu, hajali anapiga adui au askari wa jeshi lake mwenyewe!
 
Hata mawakili wanaonana na mahakimu na majaji nje ya mahakama na kumalizana kwa rushwa. Hukumu inasomwa waliyokubaliana kwenye mabaa au mahoteli. Makonda amesema ukweli ukiwa huna fedha huna haki.
 
Hata uandike utumbo namna gani ukweli uko palepale mahakama za Tanzania ni corrupt hazina lolote
 
Sasa jaji unakataa makonda kusema ukweli mtupu

Mbna ukweli hamtaki

Ni Kweli Kbsa bila pesa utapoteza kesi ikiwa utakwenda kusimama na mtu mwenye pesa zake uwezi pata hakia


Sanaa makonda angeshauri watanzania tuimarishe na tutafute waganga wanaoeleweka ili mamb yaishe kijadi
 
Hata mawakili wanaonana na mahakimu na majaji nje ya mahakama na kumalizana kwa rushwa. Hukumu inasomwa waliyokubaliana kwenye mabaa au mahoteli. Makonda amesema ukweli ukiwa huna fedha huna haki.
👍👍
Sahihi kabisa
 
Utaandika sana uozo.

Ila kama una nguvu, Nenda umtoe Pale Makonda !!.

Au mzuie asiwapelekee moto watendaji wavivu, wazembe ,mafisadi
 
Naamin tuna CJ dhaifu than ever before. Nyakali na Samata (as they was) Hamna wa kuwakaribia
 
Mkuu ulisoma civics kweli sekondari? Au maarifa ya jamii msingi?

Mahakama ni mhimili wa dols unaojitegemea na sio waajiriwa wa serikali na wala watumishi wake hawaajiriwi kupitia mfumo wa utumishi bali wanaajiriwa na mfumo wa Mahakama.

Tanzania kuna mihimili mitatu ya dola ambayo ni Serikali, Bunge na Mahakama
 
Makonda yupo sahihi,hata mwenye pesa zake Rostam alilisema hili mchana kweupe.

Kule Shinyanga hivi tunavyoongea kuna familia zinaishi kwa kuhifadhiwa na majirani kisa wapuuzi wachache tu wameatamia pesa za mirathi kwenye akaunti ya mirathi ya mahakama baada ya makazi yao kupitiwa na mradi wa SGR.

Kuhamisha tu hizo pesa kwenda kwenye akaunti za warithi ni zaidi ya miezi sita sasa, imagine.
 
Kwenye hili nko upande wa mwenezi... mahakama ijitafakari... Mwenezi hajawahi toa point kubwa kuliko hii
Kwa Kweli kanikosha sna na kauli ile ya uwazi bila kupepeza macho

CCM wanajuta kumpa uenezi huyu jamaa nadhani mle ndani wanna tizamana
 
Kakojoe ukalale!! Nyie ndo Watumishi wa mahakama wa hovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…