Mahakama ya ICSID: Professional bullying anayofanyiwa Profesa Mruma inafedhehesha jamii ya Wanazuoni

Wakati wa shida utajua mmiliki wa kweli wa title wanazopeana.
Nafkiri Mzee Geo alikuwa hasikii chalii aliyokuwa akitamka.
 
Wacha waipate wenyewe.

Wamezoea wizi seeikalini walijua na huko wanaenda kwa mazoea.
 
Sawa mkuu
 
Huyo sio Mruma hii kesi imewekwa hadharani masaa karibu 23 ukisiliza kila kitu utalia na kusaga meno na kuona kuwa Tanzania hakuna wasomi au uongo na udanganyifu ni hulka ya Watanzania
 
Haya yata mtokea tena prof mwingine wa Dp world hivi karibuni. Yaani Mruma hajui ashike wapi? Amebaki kusema serikali ilikuwa na imani na muwekezaji. Ana rusha rusha mikono utadhani ni bubu. Maskiniii
 
Kama Hawa ndio watu CCM inawatuma wakaiwakilishe nchi kwa kesi Kama hii ya mamilioni ya dollar, then I think we have a problem. Wazungu wanajiuliza. Kama huyu ndio best na Ni professor, je angeenda Yule mwenye mdomo aliyepata F ya uraia, kiingereza na hesabu form foo? (Namsema one of the three musketeers)
 
Mruma inaelekea alikuwa na maslahi ya hili tatizo walifukuzwa wale wakapewa wengine ?? Watanzania hawaonekani wakweli hapa kuna kitu wanaficha
 
Kwani walipi mtuma Kitenge na Zembwela Dubai wale ni wana sheria?
Au walipo mtuma Msukuma class seven B aite waandishi wa habari kuelezea Dp world walijua Msukuma ni nwanasheria?
Ccm hucheza maigizo hata kwa vitu serious
Hivi sasa Watanzania wengi wana sema mkataba ni mbovu. Wasira ana sema Watanzania wanapotoshwa, Ccm ina sema Watanzania tuna kataa mkataba . Kuna vyama vimehongwa.
Kumbe wao ndio wame vuta mkwanja.
 
Acha anyanyasike mbele ya watoto wa kizungu. Maprof wa UDSM wanawanyanyasa Sana watoto wetu wa kike especially wale wa master's degree.
Mtoto wa kike Kama kweli ana sura na shape ya kike akienda kusoma master's UDSM ......acha tu nisiseme maana Kuna wanasheria pale.
 
Hilo ndio Tatizo letu Tanzania, tunataka mambo ya Miamba basi heads wa idara lazima awe geologist au Head wa Idara ya Afya head awe MD.

sasa case kama hiyo si bora angeenda lawyer kuwakilisha.
Hilo sio tatizo. Tatizo ni kwamba sisi ni wakurupukaji, wazembe na taifa la masihara au la washenzi wanaojua wanachokifanya kwa maslahi yao binafsi.

Prof. Mruma si mtaalam wa sheria wala negotiator - na kwa muktadha wa haya majadiliano unaona kabisa hana negotiation skills. Tunachoshindwa kuelewa kuwa prof. haimaanishi wajua kila kitu. Kuna skills hazifundishwi shule ni not-taught-at-school-skills, ni lazima ujiongeze nje ya mfumo wa shule ili kuzijua na kuwa mbobezi ama kukubali weakness na kuacha wanaoweza wafanye kwa niaba yako.

Alipaswa kuongozana na m(wa)bobezi wa masuala ya sheria za kimataifa na masuala ya madini. Na kulipaswa kuwa na majadiliano baina yao kabla ya kuhudhuria tribunal in order to set legal and judicial wheels moving in our favour.
 
Unamfata huyo mental case aliyemtukana Nyerere?

Unajuwa kuwa alimtukana Nyerere bungeni? Au unataka ushahidi?
Nyerere hajatikanwa ameambiwa ukweli na yeye ndio Dikteta namba moja hapa nchini kama aliona katiba ni CCM manifesto kwa nini anufaika na hiyo katiba miaka yote bila kubadilisha na kuweka ratini inayoleta utawala bora??
 
Sio kama anashindwa kuzungumza njia ya mwongo ni fupi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…