Hili 👆 👆 👆 ndo tatizo kubwa sana la proRussia. Tunajadili habari za Vita na matokeo yake kwa musstakabali wa Ukraine na Russia kama nchi mbili lakini hamuishi kuchapia habari zisizohusika za e.g. Mbona Libya,Syria, Obama, Bill Clinton, Bush ....Pakistani......n.k. Niwaulize tu; Kwani hoja yako ukii-focus kwenye yaliyomo Urusi vs Ukraine haiwezekani???? au hutaeleweka???Mbona akina obama, bush hawajafunguliwa kesi? Au uhalifu wa libya na iraq sio uhalifu?
Aende au waende kumkamata?Ningekuwa Putin ningeenda Ziara nchini Uholanzi!Putin ni muuaji, aende akajibu mashtaka ICC.
Kwa makusudi kabisa anapiga miundo mbinu ya kiraia ya umeme na maji. Huo ni uhalifu dhidi ya binadamu
Okey. Ila binafsi sidharau mbinu za USA na washirika kwenye huu mgogoro. Hata Putin mwenyewe nina hakika hawadharau sababu anajua kuna wananchi wake wengi biashara zao haziendi sawa sababu ya vita anavyopigana. Wakikosa uvumilivu anaongeza idadi ya wasiomtaka.Labda Kwa nyie nchi Shithole.
Unamlinganisha Rais wa Russia na Osama au Saddam?Kweli elimu Bado ni changamoto!Mkuu hilo lisikupe shida - Usihofu. Wewe subiri tu kwa muda utaona kama ulivyoshuhudia wababe kama Saddam Hussein na wenzake kina Osama n.k. watu wa aina hiyo walivyoshughulikiwa.
Ingekuwa ni huku kijijini kwetu, unaweza kumbonda na rungu halafu ukishtakiwa unajitetea "Nilikuwa nataka asiweze kukimbia ili akamatwe na sungusungu" na kesi yako inakwisha.
Katika hili tulimalize tu boss. Nilipingana na ww uliposema ni mungu tu ndo anaweza mkamata, ukasahihisha kwa kusema iwapo MUNGU ataruhusu, nikakubaliana na wewe. Tukiendelea kulibishania itakuwa ni kutafuta ushindi uchwara.Kwani wewe unafikiri Mungu anashuka Ile aje Kumkamata Putin?Mungu anatoa go ahead Tu.
Endelea na tabiri za shekhe Yahaya!SmO Bado inaendelea na malengo lazima yafikiwe!Uchaguzi mkuu Russia ni mwakani March 2024
The Hague hawajawahi kamata mtu wananchi na wanajeshi ndio hukamata na kupeleka the Hague
Warusi wenyewe watamkamata na kumpeleka wamechoka vita
Atashikwa kama kuku wa mdondo watu wachukue nafasi yake March 2024 uchaguzi mkuu
Imefanywa calculation kuwa Putin atqjidai ohh hakuna uchaguzi sababu nchi iko vitqni hivyo niendelee!!!
Tamko la mahakama limetolewa at the right time Putin analo
Ndo zenu hizo proRussia mnapokosa cha kusema. Usichukie/usioneshe kupanic kwetu; sisi tunajadiliana tu mzee. Wenyewe wa kulishughulia wapo huko-huko waliko.🤣🤣🤣🤣🤣,Kanywe maji ulale kijana!
Haya mambo yamekuzidi uwezo!
Basi mwenye uwezo amkaribie tumuone.Tamko linahalalisha assassination ya Putin!!
Wayahudi unawasikia kwenye Radio weweEndelea na tabiri za shekhe Yahaya!SmO Bado inaendelea na malengo lazima yafikiwe!
Ndivyo tunavyoaminishwa ila wale wana mifumo na technology ya juu ndo inawawezesha kuwa hapo walipo.Wazungu anaweka maslahi ya nchi mbele kila mara.
He is not that weak.Ni shida aisee kwani wamemwondolea kinga. Maana yake kwa sasa Putin hana Immunity tena. Yani CD4 zimeshuka chini kabisa ya kiwango.Ugonjwa wowote, hijack, assassination na watu wake watamwepuka au kumsaliti bila kikwazo, personaly kisaikolojia atakuwa na wasiwasi mkubwa zaidi juu ya uhai wake - Atakosa muda wa kufikiria vita. Anaweza kupatwa na kiharusi, shinikizo la damu, moyo au kukimbilia mafichoni kwa usalama zaidi n.k.
Kuna kipindi ICC walitaka kuchunguza wars crimes huko Afghan na Palestina!Mbona akina obama, bush hawajafunguliwa kesi? Au uhalifu wa libya na iraq sio uhalifu?
Naona umefurahi sana kiongoziHahaha!
Kachokaje?Bado utaendelea kuzomewa kama unaandika nonsense!Stay tuned
Mimi vita ilipoanza tu day one nilisema Putin kakosea kuvamia wayahudi wa Ukraine. kitachomkuta mrusi atajuta kuanzisha hiyo VITA kuwa hakushauriwa vizuri.
Nilizomewa humu hadi nyuzi zangu zingine zilifutwa
Kiko wapi Mwaka wa Pili Urusi yuko vitani kachoka mbaya
Stay tuned utaona kitakachomkuta Putin