Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) yatangaza hati za kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu

Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) yatangaza hati za kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu

Ni hivi utaenda nchi ambayo utahakikishiwa kwamba hutokamatwa na si vinginevyo, yani kama huku bongo ukiwa unajua unawindwa kuna sherehe hutoenda ila nyingine utaenda thats how it works,
Mfano marekani ataenda ila nchi za ulaya hazieleweki no vigeugeu
Ni kweli kwa kiasi fulani.

Ila, ni nchi gani hapa duaniani yenye ujasiri wa kumkamata waziri mkuu wa Israel?

Nani mwenye hizo cajones?
 
Ni kweli kwa kiasi fulani.

Ila, ni nchi gani hapa duaniani yenye ujasiri wa kumkamata waziri mkuu wa Israel?

Nani mwenye hizo cajones?
Spain ,turkey na nchi nyingi za europe especially scandinavian countries hawakopeshi
Spain tangu mwanzo alishasema atatekeleza arrest warrant kwa netanyahu
Na ataishi maisha yake yote kama war criminal kitu ambacho hata yeye neyanyahu hakitaki
 
Hizo sababu zake binafsi ni zipi mkuu?
Haya pata maoni ya biden na waziri wa vita aliyeamua kuachana na netanyahu kwa kujiuzulu baada ya kuona jamaa haelewi anachokifanya
 

Attachments

  • Screenshot_20241121-170236_Chrome.jpg
    Screenshot_20241121-170236_Chrome.jpg
    399.4 KB · Views: 1
  • Screenshot_20241121-170217_Chrome.jpg
    Screenshot_20241121-170217_Chrome.jpg
    359 KB · Views: 1
Ni kweli kwa kiasi fulani.

Ila, ni nchi gani hapa duaniani yenye ujasiri wa kumkamata waziri mkuu wa Israel?

Nani mwenye hizo cajones?
Unajua hata icc ilivyoanza kudeal na netanyahu kila mtu alisema hawataweza kutoa arrest warrant , na marekani na israel walitumia vitisho vyote kuzuia ila ikashindikana,
Waziri mkuu mpya wa uingereza ambaye mke wake ni jew lakini akatoa pingamizi la kisheria ambalo uingereza iliweka icc yani anasupport arrest warrant kwa netanyahu
Germany nae kaunga mkono kwa kusema warrant ikitoka atakamata netanyahu
Dunia inaenda kasi sana akijikanyaga anakamatwa kweli ,kwa ufupi dunia nzima imechoka kwa ujinga wa netanyahu ,hakuna mtu anayefurahia mtu mmoja kuua watu 40,000 wasiokuwa na silaha kwa maslahi binafsi ya kisiasa ,hapo ndio wazungu walipomgeuka netanyahu na kumuona hafai kutetewa
 

Attachments

  • Screenshot_20241121-170927_Chrome.jpg
    Screenshot_20241121-170927_Chrome.jpg
    418.1 KB · Views: 1
  • Screenshot_20241121-170813_Chrome.jpg
    Screenshot_20241121-170813_Chrome.jpg
    400.6 KB · Views: 1
Nashauri. Wahalifu wote wanaoshitakiwa na icc wakipatikana na hatia wafungwe kwenye jela za africa. Kule Gambia, Nigeria na hata hapa bongo magereza kana maweni
 
Haya pata maoni ya biden na waziri wa vita aliyeamua kuachana na netanyahu kwa kujiuzulu baada ya kuona jamaa haelewi anachokifanya
Huyo ni political rival wa Nyau so si ajabu kusema alosema,
Unajua hata icc ilivyoanza kudeal na netanyahu kila mtu alisema hawataweza kutoa arrest warrant , na marekani na israel walitumia vitisho vyote kuzuia ila ikashindikana,
Waziri mkuu mpya wa uingereza ambaye mke wake ni jew lakini akatoa pingamizi la kisheria ambalo uingereza iliweka icc yani anasupport arrest warrant kwa netanyahu
Germany nae kaunga mkono kwa kusema warrant ikitoka atakamata netanyahu
Dunia inaenda kasi sana akijikanyaga anakamatwa kweli ,kwa ufupi dunia nzima imechoka kwa ujinga wa netanyahu ,hakuna mtu anayefurahia mtu mmoja kuua watu 40,000 wasiokuwa na silaha kwa maslahi binafsi ya kisiasa ,hapo ndio wazungu walipomgeuka netanyahu na kumuona hafai kutetewa
As long as Israel sio member wa hiyo mahakama na Pia US, Russia, China, India na wao sio member hiyo arrest warrant itabaki kuwa si lolote kwa Nyau.
Nyau hawezi hangaika aende nchi wanachama wa hiyo mahakama ili hali anajua kuna hati ya kumkamata na antisemitism movement iliyopo juu ya jews ndo kabisaa atatulia zake Israel akisafiri labda aende US na tena Trump yupo enzini hana wasiwasi hata chembe
 
Huyo ni political rival wa Nyau so si ajabu kusema alosema,

As long as Israel sio member wa hiyo mahakama na Pia US, Russia, China, India na wao sio member hiyo arrest warrant itabaki kuwa si lolote kwa Nyau.
Nyau hawezi hangaika aende nchi wanachama wa hiyo mahakama ili hali anajua kuna hati ya kumkamata na antisemitism movement iliyopo juu ya jews ndo kabisaa atatulia zake Israel akisafiri labda aende US na tena Trump yupo enzini hana wasiwasi hata chembe
Na biden nae ni rival? hivyo hamtumiagi akili mkipenda kitu?
 
Na biden nae ni rival? hivyo hamtumiagi akili mkipenda kitu?
Democracts sio pro Israel kihivyo so sio ajabu kusema alivyosema, na ndo maana hata Biden na Nyau mara kadhaa wameonyesha tofauti za wazi kabisaa, anyway Biden anaondoka so hana impact yoyote kwa Israel kwa sasa na hata baadae
 
Hahahaa.

Netanyahu haendagi kwenye hizo nchi.

Kuhusu war crimes, hilo ni debatable.

Ingawa kwa maoni yangu binafsi naona Israel imezidisha mapigo, lakini wana utetezi wenye mashiko.

Kila nchi ina haki ya kujilinda na hakuna

kutoa arrest warrant hakuna ugumu wowote ule.

Siku atayokamatwa na kuwekwa kizimbani, nitafute 🤣.
Team bong'oaz inafurahia kwelikweli warrant arrest kutolewa kwa akili zao wanaamin Netanyau ni level za akina bi Chura Kiziwi🤣😂
 
Tatizo hiyo order itabaki kwenye makaratasi tu.
Hukumu pekee ambayo hakuna atakaye kwepa ni siku ya Kiama, mbele za Mungu.

Kwa hapa duniani kuna wanaoonea watu na hutawafanya chochote.
 
Democracts sio pro Israel kihivyo so sio ajabu kusema alivyosema, na ndo maana hata Biden na Nyau mara kadhaa wameonyesha tofauti za wazi kabisaa, anyway Biden anaondoka so hana impact yoyote kwa Israel kwa sasa na hata baadae
Mna akili mgando nyie wakristo wa tanzania hata kufikiria vitu vidogo vidogo tu hamuwezi, wale democrats 99% ni wakristo kama wewe ila tofauti yako na wao ni kwamba wao wanatumia akili
 
Nani atamkamata sasa
Hawa wapo tayari kumkamata ikiwemo germany ,uingereza ,spain na nchi nyingine 92
Hata wakati icc inaanza uchunguzi na kupokea vitisho kutoka kwa marekani na israel wote mlisema icc haitofanya kitu, ila viongozi wachache wa ulaya ambao walitamka hadharani kwamba wanaheshimu uhuru na utendaji wa icc
 

Attachments

  • Screenshot_20241121-175601_Chrome.jpg
    Screenshot_20241121-175601_Chrome.jpg
    327.4 KB · Views: 1
  • Screenshot_20241121-170927_Chrome.jpg
    Screenshot_20241121-170927_Chrome.jpg
    418.1 KB · Views: 2
  • Screenshot_20241121-170813_Chrome.jpg
    Screenshot_20241121-170813_Chrome.jpg
    400.6 KB · Views: 1
Wakuu,

Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) imetoa hati za kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israeli, Benjamin Netanyahu, na waziri wa zamani wa ulinzi, Yoav Gallant, kwa makosa ya uhalifu dhidi ya ubinadamu na uhalifu wa kivita.

Uamuzi huu unamaanisha kwamba nchi 124 wanachama wa ICC zinapaswa kuwakamata Netanyahu na Gallant watakapokanyaga katika maeneo yao.



Soma pia: Pamoja na “Arrest Warrant” ya Mahakama ya ICC, Putin atua Mongolia kibabe

Mahakama hiyo pia ilidai kuwa walikusudia na walijua kwamba Netanyahu na Gallav waliwanyima raia wa Gaza chakula, maji, dawa, vifaa vya matibabu, mafuta, na umeme kwa makusudi.

Netanyahu alikataa madai hayo akiyaita “ya kipuuzi na ya uwongo” na akasema ni “upotoshaji.”

Israel pia imepinga mamlaka ya ICC kwa kusema kuwa nchi nyingine za kidemokrasia hazijawahi kutendewa kwa njia ya upendeleo mbaya kama hiyo, huku ikisisitiza kwamba inaheshimu utawala wa sheria.

Aidha, ICC pia imetoa hati ya kukamatwa kwa kiongozi wa Hamas, Mohammed Deif, kwa makosa ya uhalifu dhidi ya ubinadamu na uhalifu wa kivita.

Hata hivyo, Israel ilidai Agosti kwamba ilimuua Deif katika shambulio la anga lililofanyika Gaza mwezi mmoja kabla.
Kwani ile hati ya iCC ya kumkamata uncle Putin kwa kosa la uhalifu wa kivita dhidi ya binadamu ilishatekelezwa?

Ndo ujue hizo huwa ni porojo tu, hazitekelezeki. Hakuna wa kumkamata mkulungwa Netanyahu
 
Mna akili mgando nyie wakristo wa tanzania hata kufikiria vitu vidogo vidogo tu hamuwezi, wale democrats 99% ni wakristo kama wewe ila tofauti yako na wao ni kwamba wao wanatumia akili
Sawa maamuma umekosa hoja unaanza udini
 
Kwani ile hati ya iCC ya kumkamata uncle Putin kwa kosa la uhalifu wa kivita dhidi ya binadamu ilishatekelezwa?

Ndo ujue hizo huwa ni porojo tu, hazitekelezeki. Hakuna wa kumkamata mkulungwa Netanyahu
Zinatekelezeka vizuri kabisa ila unatakiwa uchague mikutano ya kwenda na nchi za kwenda
 
Back
Top Bottom