Mahakama ya Kisutu imewatia hatiani Viongozi wa CHADEMA na kuwahukumu kulipa faini ya Tsh. Milioni 350 au kwenda jela, Wapelekwa Segerea

Wanaoenda kusomewa hukumu ni wahanga waukatili kama Akwilina (R.I.P).
Familia ya marehemu sijui wanajisikiaje kuona aliyemdhulumu uhai binti yao si miongoni mwa watakao hukumiwa! Walioagiza matumizi ya risasi ndio wasimamizi wa hukumu!!!
Wenye mamlaka wamevaa roho za kikatili wala hawaangalii Akwilin na mkewe wanaaonaje hii senema yao.
 
wakuu salaam.
Naomba kujua kwa hukumu ya leo viongozi hao wanaweza kugombea ubunge au nafasi nyingine kama udiwani?au ndio basi Tena? karibuni
 
mark my words ladies and gents. Arab uprising is nearing our borders.
We aren't far from the same shit that we saw on our north African sisters n brothers few years aback.
Mark my words.
Wacha liwalo na liwe ili tupate kuheshimiana hii nchi imeshabinafsishwa na kikundi fulani. Ndio maana wakina Wajima wanakuja na mapendekezo ya kuanzisha the Sukuma Praise Team na hakuna chochote. Lakini muda utasema tuu ukiwadia.
 
It's unbelievable
Is this happening for real
magu bashite na genge lenu mtalipa hii hukumu at any cost
The World is watching
Hope BBC na CNN will cover this story ili serikali iiaibike to the max
 
Kina Mbowe ndio walimuua Akwilina? Je, una taarifa muhusika anajulikana na hakuna hatua aliyochukuliwa?
 
Kwanza hakikisha unafungu la kutosha la kulipia gharama za mahakama ikiwa kesi yako itatupiliwa mbali.
 
Nimeangalia video ya viongozi wa chadema wanavyopelekwa segerea jamani it is so emotional😔
Nani amenotice hayo magari ya police nyuma?! Kwanini wanasindikizwa Kama maharamia au sijui ni nini matumizi mabaya ya jeshi kwa kweli mabunduki yote ya Nini?! Hizi picha ndizo zinazotia doa na kutuhukumu mbele ya safari
Mungu ibariki Tanzania maana mbegu ya visasi inazidi kukomaa.
 
Kama unaamini sisiemu wako wengi, waruhusu uchaguzi iwe huru na wa haki tu, watapata majibu.. Wakubali iundwe tume huru ya uchaguzi, ambayo haitaongozwa na mteule wa mgombea wa sisiemu..

Au waache kutumia polisi tu, waone vile wasivyopendwa..
 
MVB Jr, post:
Haaaaa 😂 haaaaa mkuu una kumbu kumbu mbaya kabisa,
Mbona hukunipa hata pole

😂😂😂

Najuta kutokupa pole, may be ingekufanya utambue we are fully responsible for our personal misery.

Tuache Usingiziaji Mkuu.

Naomba unisamehe.

One request, naomba advance training ya kumbukumbu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…