Mahakama yaamuru Eng. Hersi aachie ngazi Yanga!

Maamuzi ya MAHAKAMA YAHESHIMIWE!
 
Soka limehamia mahakamani...
 
Simba wanaingiaje hapo? Maana nimejaribu kusoma andiko lako sijaona popote wakiunganika na Simba
 
In Polepole's Voice, 'WAHUNI' waipora Wanachama 'Yanga' yao.

Unafikiri kwanini mkutano mkuu unakutanisha 'WAWAKILISHI' wa matawi na sio wanachama wote?!

Jamaa 'Janja Janja' tu, ni kwasababu timu inafanya vizuri.
 
Mahakama na Mpira? Tusije tukafungiwa.

Lakini pia kila siku tunachangia hapa kufuata sheria na naunga mkono sheria zifuatwe.

Ila sema hao wazee ni kama wanga vile , wananchi tumeshazoea furaha wao togwa wanatia nzi.
 
Mahakama na Mpira? Tusije tukafungiwa.

Lakini pia kila siku tunachangia hapa kufuata sheria na naunga mkono sheria zifuatwe.

Ila sema hao wazee ni kama wanga vile , wananchi tumeshazoea furaha wao togwa wanatia nzi.
Kabisa kwanza walishindwa nini kupinga awali mpaka wapinge saa hii ambapo timu inakiwasha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…