Mahakama yaamuru Eng. Hersi aachie ngazi Yanga!

Sjawahi kuona akili mbovu kama za kwako. Sasa unailaumu serikali kuwatumia hizi timu kuwapumbaza wananchi, ulivyo andazi hapa umeleta udhibitisho kwamba serikali imefanikiwa kweli kukupumbaza wewe na wenzako ambao hamna mbele wala nyuma
 
Eng asikimbie, kama shida ni kofia mbili aachane na GSM.
 
Safi xnaaa muanze kua busy na matatizo .waizi wa wachezaji nyie
Kuna namna naiona wachezaji hasa wa Simba na hasa wa kigeni kushawishiwa na timu ingine ili waifikirie hiyo timu.
CEO Masingisa was gone
Manara was gone
Chama is gone
Baleke is happy now
Innonga was not happy at the end
Sio maadili ya timu kuwashawishi wachezaji wa timu ingine wakiwa wanaitumikia timu yao
Ubaya Ubwela
 
Hiyo kesi ilikuwa inasikilizwa upande mmoja? Halafu hukumu ya Mahakama inayojiamini isingeamuru waachie ngazi bali ingebatilisha uongozi uliopo, unaamuruje uongozi kuachia ngazi wakati hukumu haijabatilisha?
Kata rufaa nenda ukayaseme haya mahakamani,, hakuna janja janja, maamuzi ya mahakama lazima yaheshimiwe
 
Itakuw hao wazee ni misukule ya makolo iliyo kufa zamani inataka kuharibu mipango ya club yetu mbona sisi wazee wa yang tuko uku tumetulia tu
Ubaya ubwela. Si mnataka roho mbaya..mamaeh. kila mtu ashinde mechi zake
 
Kata rufaa nenda ukayaseme haya mahakamani,, hakuna janja janja, maamuzi ya mahakama lazima yaheshimiwe
Rufaa ni sehemu ya kutafuta haki au uhalali, ila niliyoyaandika yanamilikia ujinga uliomo na hivyo rufaa kuwa nyepesi zaidi.
Ni hayawani tu anayeweza akashangilia hili akiona kuwa ni bundi katua Jangwani. Bundi wa Jangwani alishapugwa manati kitambo
 
View attachment 3044264
Mzee Magoma akiwa katika pozi la kupokea kiti cha Uraisi 😁😁😁
#Ubayaubwela
Ataweza akiachiwa timu ?
Huwa nastaajabu sana
Kama timu inafanya vizuri na pesa ipo Kuna shida gani kuendelea na viongozi waliopo?
Na kama Kuna shida ya kikatiba ni kwanini msikae pamoja muone namna ya kuitatua bila mgogolo?
 
Haya mambo bana kumbe hivi vilabu vinawenyewe wata walidandia na kwenda na upepo tuu.
 
Siku ya kwenda kutoa vitu vya ally kamwe jagwani pale mniambie!
Nitajitolea nauli za vijana kwenda kumtoa kwa nguvu pale!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…