Raj kapool
JF-Expert Member
- Jun 29, 2018
- 1,352
- 2,160
Wanakwambia Ubaya Ubwela😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babaako ana mume?Mkumbatie mmeo
Kumbe ndio mipango hiyo!Serikali ishajua kivuli chake ni simba na Yanga, ndo mambo yanayowapumbaza wananchi wake, baada ya Simba kutawala soka miaka minne ikaja zamu ya yanga, kwa mwendo wa eng hersi wanaona kabisa huyu anaweza kutawala soka hata miaka 10, makolo wapate depression waingie mtaani kama gen Z wa kenya, Bora wamtoe makolo wapate hata ahueni kidogo, and the circle goes on
SahihiKuna wakati nilihoji, lakini nikajikuta niko peke yangu Tanzania nzima, kwamba, hivi inakuwaje kuna kampuni yenye uhusiano wa kibiashara na Yanga, that is GSM, halafu Mwenyekiti wa Yanga, Eng. Hersi, ana ajira rasmi, ukurugenzi wa sijui finance, huko GSM ?
Maslahi ya Yanga na GSM yakisigana, huyu Mwajiriwa wa GSM na Mwenyekiti wa Yanga, anasimama wapi ????
Halafu huyu Mwenyekiti wa Yanga, hana maamuzi ya kusema labda kwa nafasi yake huko GSM ataisaidia Yanga, hawezi kwa saab na yeye ana bosi wake huko GSM ambae nae anatafuta maslahi yake ya kibiashara ndo maana akaji associate na Yanga tangia hapo, yani Ghalib na GSM yake. Inakuaje hiiiiii ? Nobody answered me!
Kumbe bana kuna wenzangu wazee wawili wako nchi hii nao hawamkubali kabisa huyu Eng. Hersi.
Acha ujinga mkuu. Wafe? Dah! Ndo maana Manara aliongea yale maneno.Hao wazee wafe tu.. Qmmk
Thubutu!Hao WAZEE WAHUNI wachapwe viboko
Unachanganya mihimiliSerikali ishajua kivuli chake ni simba na Yanga, ndo mambo yanayowapumbaza wananchi wake, baada ya Simba kutawala soka miaka minne ikaja zamu ya yanga, kwa mwendo wa eng hersi wanaona kabisa huyu anaweza kutawala soka hata miaka 10, makolo wapate depression waingie mtaani kama gen Z wa kenya, Bora wamtoe makolo wapate hata ahueni kidogo, and the circle goes on
Dah… huo mustachi ndio unaitwa kimini sketi?Raisi mtarajiwa wa Yanga.
Mmoja wa Wazee hao ndio huyu.
Mshahara wa chama na wenzake upo mikononi mwake mtake msitake😀
Kivipi yani?Ni kurudisha soka la bongo nyuma
Mtani naona wazee wa hovyo wamefanya usiku wako umekuwa mzuuri kabisa. Lol![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Shadeeya wee mtaniii hebu njoo hapa, ueleze nn shida? Kwani imekuajee?
Mbona ghaflaa sanaa? WoiiiiiiiihView attachment 3044223