Mahakama yadaiwa kuamuru Mwanamitindo Noel na Mpambaji Kelvin Events wapimwe endapo wanafanya mapenzi ya jinsia moja

Yaani jamaa wanajua kutongoza mno ili tu watimize lengo lao.
 
Kutuhumiwa kwani ni kosa ? Subiri uchunguzi uishe.. maana hata wewe mtu anaweza kukutuhumu umeiba kitu, lakini haikutii kwenye kosa hadi uchunguzi na ushahidi usio na shaka ndio utakutia hatiani au kukuweka huru..
Hawakukamati kireja reja hapo ni taratibu tu zinakamilishwa ila hukumu ni miaka 30
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…