mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Ushoga na mambo mengine wafanye faraghaHakuna anaesapoti isipokuwa why viongozi waachwe na hao wanao fafanya kwanini wasishikiliwe pia?
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushoga na mambo mengine wafanye faraghaHakuna anaesapoti isipokuwa why viongozi waachwe na hao wanao fafanya kwanini wasishikiliwe pia?
Ndiyo umtaje sasa huyo bossKuna watu wangapi hapa tz wanateyesi hizo? Kuna boss mmoha mwarabu kazi yake kununua hao magay na kuwapa pesa na wanamjua why wamuache? Huyo ndio anaharibu vijana
Hiyo ishaghairi kabisa ikipimwa nafkiri itakua na Shimo huko mndukuni km bwawa la hombolo.WACHAGA MMEKUAJE TENA
AFU HYO PAPAI NOEL INAPENDA KUBINUA SANA TAKO
Huyo si ndiyo mbunifuHawataachiwa, hawa wanakaziwa kutoa fundisho
Huyo Noeli ndiyo mbunifu waoYeye mwenyewe shoga kwanini asiwajue?
Nimetoa huo mfano kuonyesha how stupid the whole idea ya kumpima mtu kama ni shoga au sio is. Ni kama vile hapo zamani maharusi walikuwa wanatandikiwa shuka nyeupe ili kupata uhakika kuwa bi harusi ni bikira au sio. Kama hapatakuwa na damu baada ya kufanya tendo la ndoa yule binti alikuwa anahesabiwa kuwa ni mbovu. Hii ni pamoa na ukweli kuwa hymen ya mwanamke inaweza kukatika hata bila kufanya tendo la ndoa na kuwa kuna wengine wanazaliwa bila hymen. Huu ni upuuzi ule ule.Hii kesi yako yakujiingiza vitu uko nyuma ni tofauti kidogo,..itabdi tuiangalie nayo..ila kwanini ujiingize vitu huko nyuma mkuu ,eti mkuu Nini kimekukuta.
Nadhani wakibaini kuwa kweli wanafanya, itabidi wataje pia wanaowafanya itakuwa njema Santa Ili kukomesha huh upuuzi
Ndomana walikuwa wanaweka firigisi za kuku.Nimetoa huo mfano kuonyesha how stupid the whole idea ya kumpima mtu kama ni shoga au sio is. Ni kama vile hapo zamani maharusi walikuwa wanatandikiwa shuka nyeupe ili kupata uhakika kuwa bi harusi ni bikira au sio. Kama hapatakuwa na damu baada ya kufanya tendo la ndoa yule binti alikuwa anahesabiwa kuwa ni mbovu. Hii ni pamoa na ukweli kuwa hymen ya mwanamke inaweza kukatika hata bila kufanya tendo la ndoa na kuwa kuna wengine wanazaliwa bila hymen. Huu ni upuuzi ule ule.
Amandla...
Unajua kuwa tundu lissu alikuwa kwenye list ya dudubaya? Nae akapimweHuyo si ndiyo mbunifu
Wa msanii mkubwa bongo
Na kama watapelekwa maharani
Utaona jinsi wasanii wakatavyo jaa
Kuwa support
Utasikia...oh am feeling sorry for N
[emoji1]
Alafu huyu joti miaka nenda rudi
Ameupromote sana ushg na mijitu
I nakaa na kumfatilia
Na comedy zake za vidole juu
Ova
Yaan inashangaza kwa kweli, ndo hii nchi imefikia huku? Ni maajabu m
Na kubadilika sauti machoko unayajua kwa sautiHalafu utasikia mwanaume mwenyewe kibamia, hicho kibamia urenda wake unamregeza mwanaume kama kakatika center body🤣🤣
Huyu serikali ingemtumia hitman tuHuyo Noeli ndiyo mbunifu wao
Wa mavazi hapo sinza pazuri anasikitika kwerikweri
Ova
Kwa sasa wanafinywa kimya kimya husikii wakitetea ujingaHuyo si ndiyo mbunifu
Wa msanii mkubwa bongo
Na kama watapelekwa maharani
Utaona jinsi wasanii wakatavyo jaa
Kuwa support
Utasikia...oh am feeling sorry for N
[emoji1]
Alafu huyu joti miaka nenda rudi
Ameupromote sana ushg na mijitu
I nakaa na kumfatilia
Na comedy zake za vidole juu
Ova
Na Huwa hawayapati hayo maisha mazuri.Kutaka luxury life na status mjini...
Huyu mshenzi akamatwe kinakera mno.