Mahakama yakataa maombi ya Serikali, Dhamana ya Boni Yai sasa kutolewa Oktoba 7, 2024

Mahakama yakataa maombi ya Serikali, Dhamana ya Boni Yai sasa kutolewa Oktoba 7, 2024

atakoma si alikuwa anajifanya jeuri?tarehe 7 tena wanapiga karenda mpaka mwezi wa 11 ili heshima irudi bado mdude

..halafu mnateka na kuuwa wengine.

..badala ya kusogeza muda mtatue tatizo, mnasogeza muda ili mtende uovu zaidi.
 
Mnafunga mlipa Kodi lakini uvccm msiolipa Kodi mmekalishwa Lumumba kusambaza ujinga mitandaoni nakuteka watu
 

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetupilia mbali maombi ya Serikali kuwasilisha kiapo cha ziada katika kiapo cha awali cha kupinga dhamana ya aliyewahi kuwa Meya wa Kinondoni na Ubungo, Boniface Jacob, maarufu kama Boni Yai.

Jacob, maarufu kama Boni Yai, mkazi wa Mbezi Msakuzi, Dar es Salaam, mfanyabiashara na mwanasiasa, anakabiliwa na kesi ya uchapishaji taarifa za uwongo kwenye mitandao, ambayo upelelezi wake bado haujakamilika.

Hata hivyo Mahakama hiyo imepiga kalenda tena uamuzi wa maombi ya awali ya upande wa mashitaka ya kuzuia dhamana ya Boni Yai, ambao awali ilikuwa imepanga kuutoa Septemba 23 ikaahirishwa mpaka Septemba 26, ambapo pia Mahakama ilishindwa kuutoa baada ya Serikali kuomba kuwasilisha kiapo cha ziada.

Sasa Mahakama hiyo imepanga kutoa uamuzi huo wa maombi ya awali ya Serikali ya zuio la dhamana Oktoba 7, 2024.
Labda lengo asiweze kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa, asije akapata udiwani eventually umeya.
 
hakimu clip yake iilisambaa sana miezi kadhaa iliyopita, nikiipata nitaiweka hapa....Suala la Kombo wa chadema aliyetekwa mpaka RB ikaandikwa polisi baada ya siku 29 polisi wakakiri kuwa naye lipo wazi kwenye mitandao....google tu mwenyewe
Inasikitisha Sana tunaua vipaji na uweledi wa watu wetu na anayefanya hivyo utakuta Shule Yake ya kubabaisha.
 

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetupilia mbali maombi ya Serikali kuwasilisha kiapo cha ziada katika kiapo cha awali cha kupinga dhamana ya aliyewahi kuwa Meya wa Kinondoni na Ubungo, Boniface Jacob, maarufu kama Boni Yai.

Jacob, maarufu kama Boni Yai, mkazi wa Mbezi Msakuzi, Dar es Salaam, mfanyabiashara na mwanasiasa, anakabiliwa na kesi ya uchapishaji taarifa za uwongo kwenye mitandao, ambayo upelelezi wake bado haujakamilika.

Hata hivyo Mahakama hiyo imepiga kalenda tena uamuzi wa maombi ya awali ya upande wa mashitaka ya kuzuia dhamana ya Boni Yai, ambao awali ilikuwa imepanga kuutoa Septemba 23 ikaahirishwa mpaka Septemba 26, ambapo pia Mahakama ilishindwa kuutoa baada ya Serikali kuomba kuwasilisha kiapo cha ziada.

Sasa Mahakama hiyo imepanga kutoa uamuzi huo wa maombi ya awali ya Serikali ya zuio la dhamana Oktoba 7, 2024.


Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetupilia mbali maombi ya Serikali kuwasilisha kiapo cha ziada katika kiapo cha awali cha kupinga dhamana ya aliyewahi kuwa Meya wa Kinondoni na Ubungo, Boniface Jacob, maarufu kama Boni Yai.

Jacob, maarufu kama Boni Yai, mkazi wa Mbezi Msakuzi, Dar es Salaam, mfanyabiashara na mwanasiasa, anakabiliwa na kesi ya uchapishaji taarifa za uwongo kwenye mitandao, ambayo upelelezi wake bado haujakamilika.

Hata hivyo Mahakama hiyo imepiga kalenda tena uamuzi wa maombi ya awali ya upande wa mashitaka ya kuzuia dhamana ya Boni Yai, ambao awali ilikuwa imepanga kuutoa Septemba 23 ikaahirishwa mpaka Septemba 26, ambapo pia Mahakama ilishindwa kuutoa baada ya Serikali kuomba kuwasilisha kiapo cha ziada.

Sasa Mahakama hiyo imepanga kutoa uamuzi huo wa maombi ya awali ya Serikali ya zuio la dhamana Oktoba 7, 2024.

Mahaka za Prof zina mambo ambayo wakati mwingibe siyo rahisi kuyaelewa
1. Mwanzo polisi waliweka mapingamizi mawili
2. Wakayatoa wenyewe na kuleta jipya la usalama wa Boni Yai
3. Leo mahakama ikasema halina mashiko. Maana yake hadi muda huu hakuna pingamizi la dhamana.
4. Mahakama ya Prof ikashindwa kutoa dhamani hadi baada ya siku saba ndipo itafikiria habari ya dhamana.
5. Sijajua hakimu anasubiri rihusa au?????
TZ raha sana pote pote ni kama burudani tuu
 
Mahaka za Prof zina mambo ambayo wakati mwingibe siyo rahisi kuyaelewa
1. Mwanzo polisi waliweka mapingamizi mawili
2. Wakayatoa wenyewe na kuleta jipya la usalama wa Boni Yai
3. Leo mahakama ikasema halina mashiko. Maana yake hadi muda huu hakuna pingamizi la dhamana.
4. Mahakama ya Prof ikashindwa kutoa dhamani hadi baada ya siku saba ndipo itafikiria habari ya dhamana.
5. Sijajua hakimu anasubiri rihusa au?????
TZ raha sana pote pote ni kama burudani tuu

..Na serikali wakileta pingamizi lingine hiyo Oct 7, Hakimu ataahirisha kutoa uamuzi wa dhamana.
 
Back
Top Bottom