Mahakama yamtia hatiani Harmonize, atakiwa kuilipa mamilioni CRDB!

Wahuni Bado Wapo Wengi Sana, Kukopa Harusi Kulipa Matanga
 
Na wanafanya upuuzi kwakuwa wana backup ya wanasiasa wakubwa nchini, sijui walitumia vigezo gani kumpa mil300

Na wanafanya upuuzi kwakuwa wana backup ya wanasiasa wakubwa nchini, sijui walitumia vigezo gani kumpa mil300
Mimi ningekuwa wewe ningejiuliza; je, benki wanaweza wakanipa mimi milioni mia tatu? Ukipata utajua vigezo pia ukikosa utajifunza kuwa na vigezo vinavyo hitajika. Soma post namba 17
 
Sijui huo ukoje ila mimi nimekopa CRDB Kwa dhamana ya ajira, mkopo ulikuwa 6,000,000/= (miaka miwili)
Makato kwa mwezi ni 285,000X24=6,840,000
Riba hapo Kwa miaka miwili ni asilimia 14
 
Samahani mkuu ningeomba ufafanue zaidi maana kuna kitu kwenye comment yako imenifikirisha sana. Kuna vitu vizito umeviongea ila kwa lugha ya uficho. Nina jirani yangu kanasa kwenye mkopo wa bank yaani wanavutana na bank kesi bado mbichi , jamaa kalamba 170M. Kwa hìvyo naomba utoe elimu hapo kuna jambo litanisaidia. Asante mkuu.
 
Kabisa ,bila mikopo hatutoboi hata kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…