Ina tegemea na makubaliano, unaweza kuta walimpa mkopo bila ya security ili awe balozi wao ila mkopo arudishe, so hakuna cha kuuza zaidi ya kulazimisha alipeUwa najiuliza mbona wengine wakishindwa kulipa mkopo mali zao zinashikwa na kuuzwa na wengine wanabembelezwa .Tofauti ni nini
Shida ya Jembe naye matumizi mengi...Nilikuwa nasubiri mtu aongelee hili. Tuliambiwa Jembe katia mzigo, sasa hivi tunaona hukumu za madeni ya mikopo, nimeshangaa.
Kumbe kiboko ya wachawi alikuwa blackChief kaanza mbali kujitafuta hahaaaa
Ni kama huyu wa chini.
View attachment 3073060
View attachment 3073064
Hapana hao watu wa benki wamejichanganya kwa muhuni.Kwa crdb kayakanyaga itamtokea puani
Huyu sio, huyu alikuwa mwandani wa jasusiNaomba kuuliza
Huyu Nifer ni yule anayetamba Instagram anauza nguo toka dubai?
😂😂😂😂Upuuzi kabisa mtu unakuta anatamba eti kazi ya ualimu ni kazi ya Laana,Sasa tangu nizaliwe sijawahi sikia mwalimu kafikishwa mahakamani Kwa kushindwa kulipa mkopo wa benki au kauziwa assets zake Kwa kushindwa kurejesha mikopo ya benki.
Sasa Harmonize kashindwa kulipa M 100,Huu upuuzi,Sitaicha kazi ya ualimu kamwe,hapa navuta Muda nije niende nikavute mpunga M 32 nione mtu ananilaumu Kwa kutegemea mikopo , nijivinjari zaidi.Asante Mungu kwa kazi ya ualimu,Kiufupi huwezi toboa maisha bila kukopa ,kama unakopesheka kopa
Kwann ulikopa(ulifanyia nini) mkuumie walinikopesha nililia na mkopo lipaaa weee mkopo hauishi nikapata vihela nikawalipa vyote, oh eti tukupe tena! Fakaoff
Huyo anatumia nguvu kubwa ili kushindana na Diamond kumbe uwezo wake bado ni mdogoIwe kweli au si kweli Vijana wengi hatujui Sheria za Utajiri wa kudumu, tunaishi Maisha extravagant sana... We like to be noticed
Faraji aliletwa amana kutibiwaMama ake Faraji kahangaika sana tena sana
Mbezi beachClassic mall iko wapi
Ndio shida ya kutaka slay queenFaraji aliletwa amana kutibiwa
Akiwa chini ya pingu,nkafanya mchongo tukamvisit na mama yake alikuwepo...
Mama kuna maneno aliongea pale ya busara sana ni kama alimony mwanawe kuhusu uhusiano wake na yule K
Faraji alikuwa smart sana kichwani,ange stick na taaluma yake na ku concentrate na ajira
Yake mpk leo angekuwa mbali sana...ila kutaka hawa viumbe wa kwenye luninga pasuaaa
Ova
Waliambiwa wakope,komba mwenyewe pesa nyingi zilikuwa zinaishia kwa Totozhawahawa crdb walisababisha kifo cha komba kwa mamikopo yao ya kipuuzi
Mtandale yuko smart upstair na ana timu nzuriKama kijana ninafikiri harmonize is worth more than 300M ila kwa kuwa anadaiwa ni vyema akawa na team nzuri kutafuta endorsement mbalimbali, hata hapo CRDB anaweza kupata Dili la 500M
Kingine awe na mhasibu na wanasheria wamshauri vizuri.
Ukisoma hukumu alitakiwa kuwajibu kiungwana na kuomba rejesho lipunguzwe lakini alipuuzia. Kama huyo ni harmonize wasanii wetu bado Sana 😃😃Mtandale anafanyaje??
No huo ndio ukweli ni vile siwezi ku screenshot simbanking appChief inabidi nijifunze hizi riba za traditional banks.
6M unakaa nayo kwa miaka 2 na unarudisha 840K tu riba hii ni affordable kwa ninavyoona na bank haitatengeneza maximum profit.
Kwa hesabu ninazojua inatakiwa ulipe 7,680,000
Mtandale yuko smart upstair na ana timu nzuri
Kuna taarifa nyeti wabia wa runinga hawajapokea chao, kuna time walitaka kukinukisha vibopa chamani wakawasihi wayajenge kimyakimya.Mtandale yuko smart upstair na ana timu nzuri