Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Alikopa 300mil anadaiwa 100mil, maana yake ameshalipa 200mil.
Harmonize mhuni tu, ila anauwezo kabisa wakulipa hili deni tena kwa mara moja, dogo hela anayo sema mambo mengi tu.
Watoto wa mjini wanafahamu, sio Kila aliyeshindwa kulipa deni bank Hana hela, wengine wanaleta uhuni, ipo michezo ya collateral zisizolingana na thamani ya mkopo na mwisho wasiku wanaachiwa bank wapambane nazo.
Kiukweli vipaji vinawalipa sana hawa vijana na wanapata sana hela ndio vile tu ujana maji ya moto, lakini muziki unawalipa sana Kwa namna nyingi sana, kuanzia shows, matangazo, connections nk.
Harmonize mhuni tu, ila anauwezo kabisa wakulipa hili deni tena kwa mara moja, dogo hela anayo sema mambo mengi tu.
Watoto wa mjini wanafahamu, sio Kila aliyeshindwa kulipa deni bank Hana hela, wengine wanaleta uhuni, ipo michezo ya collateral zisizolingana na thamani ya mkopo na mwisho wasiku wanaachiwa bank wapambane nazo.
Kiukweli vipaji vinawalipa sana hawa vijana na wanapata sana hela ndio vile tu ujana maji ya moto, lakini muziki unawalipa sana Kwa namna nyingi sana, kuanzia shows, matangazo, connections nk.