Serikali ya vilaza

 
Kwa mwenendo huu atashinda na hizo kwasababu tuhuma ni zile zile.
Mahakama zinatumika vibaya.

Jaji mkuu anapaswa kumkemea DPP aache kutumia mahakama kunyanyasa Raia.

Haya ni matumizi mabaya ya vyombo vya Serikali.
 
Hata hivyo, Sabaya na wenzake Sylvester Nyegu, John Aweyo na Nathan Msuya wataendelea kubaki Mahabusu kutokana na Kesi nyingine ya Uhujumu Uchumi waliyonayo Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi
 
Mpuuzi mkubwa wewe
Hata hivyo, Sabaya na wenzake Sylvester Nyegu, John Aweyo na Nathan Msuya wataendelea kubaki Mahabusu kutokana na Kesi nyingine ya Uhujumu Uchumi waliyonayo Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi
Atakuwa amejifunza mwaka mzima yupo ndani na ubabe wake wote
 
Hata hivyo, Sabaya na wenzake Sylvester Nyegu, John Aweyo na Nathan Msuya wataendelea kubaki Mahabusu kutokana na Kesi nyingine ya Uhujumu Uchumi waliyonayo Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi
Hata hivyo Mbowe anaweza kurudishwa mahakamani DPP atakapoona inafaa!
 
Sabaya anatengenezewa mazingira ya kuachiwa huru Kila mwenye akili anaelewa hilo. Tanzania jela zina waendaji sio kila mtu
 
Mahakama zinatumika vibaya.

Jaji mkuu anapaswa kumkemea DPP aache kutumia mahakama kunyanyasa Raia.

Haya ni matumizi mabaya ya vyombo vya Serikali.
Ndio mnajua Leo? Kipindi Mbowe anasota gerezani mkimuita Gaidi mbona mlitaka tuheshimu uhuru wa mahakama?
 
Endelea kuota mchana huu
 
HahhA... Samia ilibidi awaite viongozi wa Dini Ikulu wamuombee mbowe msamaha baada ya Chadema kumshambulia Zito na kusema hawataki msamaha..
Ila nampongeza maana aliamua kuweka pride pembeni na kumuachia

Kwa Sabaya sina uhakika kama ni lobbying inafanyika ama ni kulialia kwa wale wamama waliojiita ndugu zake ndio imefanya kazi ama ni ushahidi kweli hautoshi

Ila cha muhimu ni kuwa yule hayawani aliyekuwa anamtuma keshalamba mchanga na amejuta
 
Haki ya mtu haipotei ina chelewa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…