Bado ziko zingine nyuma yake. Kuna hizo za Moshi na kuna ambazo hazijafika mahakamani. Na mahakama ya watu inamsubiri nje
Sabaya atawanyonya mavi nyie wakoro ....!! Wait and see
 
Ngoja nikujibu kiungwana kabisa..
Mpaka Wale watanzania kujikusanya leo haikuwa mipango ya siku moja.. Mpaka askari kupelekwa kule halikuwa jambo la dharura
Kama huna akili nyembamba unaweza kujua hilo kwa hakika!
Hamuamini kinachotokea! Matamanio yenu hayaendi kama mnavyotaka!

Vipi Mbowe nae kuachiwa ilikuwa ni ili kuzima tukio lipi?

Kwanza hata kama kusingekuwa na tukio la kuzima mngefanya nini?
 
Niliwahi kusema Sabaya na wenzake wataachiwa huru. Baadhi ya watu humu JF walinitukana ssna lakini sasa taratiibu Sabaya anapangua kesi moja baada ya nyingine.

Hili ni pigo kwa wafuasi wa Mbowe maana ndiyo hasa walikuwa wanashabikia sana kukamatwa kwa Sabaya.
 
Hamuamini kinachotokea! Matamanio yenu hayaendi kama mnavyotaka!

Vipi Mbowe nae kuachiwa ilikuwa ni ili kuzima tukio lipi?

Kwanza hata kama kusingekuwa na tukio la kuzima mngefanya nini?
Kwa hiyo sasa umenielewa? Hayo ya Mbowe ni yako sio yangu ukiweza unaweza kuyatungia mada
 
Hata akitoka Jela leo lakini kakaa Mwaka Mmoja Jela marinda yote yamepopolewa na Masela wa Jela,akirudi mtaani Nidhamu itakuwa ya kutosha,hata akiona Kuku atakuwa anatoa Shikamoo!!!
 
It is awkward for these cases to be entertained by the state; additionally, how possible is it for an individual person filing a case on economic sabotage against another civilian allowed to be tried in a court of law?
Serikali katili sana hii iliyoko madarakani sasa hivi kuliko yoyote iliyowahi kutokea wakijificha kwenye demokrasia na kurubuni wapinzani wa kweli kwamba wanashughulikia waliokuwa wanawabana huko nyuma.
 
Hata hivyo, Sabaya na wenzake Sylvester Nyegu, John Aweyo na Nathan Msuya wataendelea kubaki Mahabusu kutokana na Kesi nyingine ya Uhujumu Uchumi waliyonayo Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi
Mtani unafeli.
Umesahau nguvu ya ulozi?
 
Mungu ni mwema kila hatua dua kijana mzalendo na mchapakazi leo ameigaragaza mahakama mkoani arusha tunazidi kukuombea tuliowengi ili uwe huru urudi uraiani tujenge nchi.
ARUDI uraiani kujenga Nchi gani??wakati marinda yote masela wamesepa nayo mkunduni limebaki shimo tu
 
Hakuna kesi hapo ni unafiki tu. Watatafuta mashitaka meng mno yasiyo na ushahidi lkn Ssbaya atakuwa huru
 
Kwa hiyo sasa umenielewa? Hayo ya Mbowe ni yako sio yangu ukiweza unaweza kuyatungia mada
Hamna kitu pale!

Hii ni mara ya pili anashinda kesi, je ile mara ya kwanza ilikuwa ni ili kuzima tukio gani?

Ni hivi, matamanio yenu kwa sabaya hayatimii ndio hii hamisha hamisha yenu ya magoli
 
ARUDI uraiani kujenga Nchi gani??wakati marinda yote masela wamesepa nayo mkunduni limebaki shimo tu
Hata kwa Mbowe?

[emoji23][emoji23][emoji23]Kwanini machadema mnapenda kujikaanga kwa mafuta yenu wenyewe?
 
Hata akitoka Jela leo lakini kakaa Mwaka Mmoja Jela marinda yote yamepopolewa na Masela wa Jela,akirudi mtaani Nidhamu itakuwa ya kutosha,hata akiona Kuku atakuwa anatoa Shikamoo!!!
Mbowe kaka jela kwa muda gani vile?
 
Uzuri Sabaya anapangua kesi mwenyewe siyo kama ile ya Mbowe mpaka abebwe na Dpp
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…