Mahakama yamwamuru Lissu kufika mahakamani

Huyu lissu naona mahakama ka inambembeleza vile,ilipaswa hata muda wa kutafuta wadhamini asingepata

Lissu amejawa kibri na majigambo ya kishamba sana
 
September 14 mwaka huu? Naona kuna doubt kwenye Uzi wako..
 
Huyu mkenya haihitaji elimu kubwa kujua kwamba amerudi nchini sio kugombea urais bali kuleta shari, ana vitu flani anafanya na kuongea unaona kabisa karudi kufanya ugomvi sio vinginevyo
 
Huyu hakimu ajue kuna siku tutakuwa na utawala tofauti.
Mkuu tuwe wakweli unafikiri mtuhumiwa yeyote kuruka dhamana ni sawa?
Huyu mtuhumiwa ni mwanasheria na mtetezi mkubwa wa utawala wa kisheria, Je tukimpa uraisi atakuwa anazikanyaga sheria kama hivi anavyokwepa mahakamani?

Au sasa tuamini anafanya makusudi ili awekwe ndani au afungwe kisha ionekane anaonewa?
Hata kama kosa unalotuhumiwa unahisi haujatenda bado sheria inatkutaka uhudhurie mahakamani mpaka shauri lako litakapoisha.
 
Huyu lissu naona mahakama ka inambembeleza vile,ilipaswa hata muda wa kutafuta wadhamini asingepata

Lissu amejawa kibri na majigambo ya kishamba sana
Anataka awekwe ndani ionekane anaonewa lakini ajue hapa anavunja sheria na kule majukwaani anasema akiwa raisi anataka viongozi wafuate sheria.
Anatufanya tuamini ametumwa na watu wabaya wa nje.
 
Chuma hicho mwendo ni ule ule, tunatafuta wadhamini. Kesi walioitunga watajijua wenyewe.

Dunia nzima itataka kuelewa ni uchochezi gani maana ktk siasa hakuna uchochezi, siasa ni nadharia tu kama mwanasiasa kudhani wapinzani wakichaguliwa watavunja madaraja na kuuza ndege ili kufifisha juhudi.

Na hoja hiyo ya kuvunja madaraja akajibiwa jukwaani kwa hoja za nadharia kuwa wapinzani wataendelea kujenga miundo mbinu ya madaraja, airport, kufua umeme n.k kama Mjerumani, Muingereza, Nyerere, Mwinyi, Mkapa walivyofanya.
 
Hivi hii mahakama Haina nidhamu, yaani raisi mtarajiwa anaitawa kwenye kesi za kipuuzi
 
Hivi hii mahakama Haina nidhamu, yaani raisi mtarajiwa anaitawa kwenye kesi za kipuuzi

Kesi hii ni mfano tosha ya jinsi dola inavyotumia vibaya madaraka kuziba midomo wanasiasa wa upinzani kuongea.

Dunia itasikia kuwa mpinzani mkuu wa Magufuli katika uchaguzi Mkuu wa Oktoba ashikiliwa kwa kesi ya kigandamizaji.

Kama CCM Mpya wanataka kufika huko basi watoe amri ya Mahakama akamatwe na kupelekwa kwa nguvu na dhamana kufutiwa.

Hii kesi ya kutunga itaufahamisha ulimwengu kuwa CCM Mpya na utawala wake upo vipi ktk masuala ya demokrasia na siasa ya vyama vingi.
 
Huyu hakimu ajue kuna siku tutakuwa na utawala tofauti.
Jana nilisema Lissu anadhaurau " machineries" na pia anatudharau sisi watanzania. Sasa naona tayari,Lissu kashawaambukiza wafuasi wake kuanza kudharau machineries zetu ikiwemo Mahakama.

Mfano, ni hiyo hapo post ya mfuasi wa Lissu.
 
Lissu kumbe ana kesi. Hawezi kuwa mgombea basi. Katiba hairuhusu
Hivi wew matanga unajua ulichokiandika kweli, Slowslow kweli amekosa watu wa kuwalipa hizo buku 7 mpaka analeta watu kama nyie hata kujenga hoja hujui.
 
Sidhani kama Kuna Haja Ya Kumuongezea Umaarufu Kiasi Hicho....

Mnampa KIKI za bure KWA maamuzi hayo....

Mbona JPM ameshaeleweka Vyema na WATANZANIA tulio Wengi tunajiandaa KUMCHAGUA TENA KWA kishindo kikuu?!!!!
 
CCM ni Meli iliyotoboka halafu Nahodha anadai kweni yeye ndio alioitoboa kkkkk
 
Hapana itakuwa vigumu, Yule atakuwa keshawatega wakimkamata na kumuweka ndani itaonekana kuwa alichohofia akiwa ughaibuni nikweli na hivyo kuzidi kuiaminisha dunia kuwa Kuna ukiukwaji wa Amani.

Na hata wakimuacha bado hatajisikia vizuri maana hajapanda kizimbani muda mrefu tangu apate madhila, Pia amemisi eneo la Fani yake .KWAHIYO atahakikisha anawatoa kwa K.O Ili awe kwenye kikii.
 
Wazamini?
Hivi Kuna mtu anaamini Lisu aongoze nchii hii!
 

Mkuu, Tanzania haiwezi kuwa kama Zimbabwe.

Yaani Tanzania iisaidie Zimbabwe kupata uhuru halafu nayo ijie kuwa kama Zimbabwe?

Mbona marehemu Hashim Mbita atashangaa sana huko aliko akisikia hayo usemayo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…