Mahakama yamwamuru Lissu kufika mahakamani

Magufuli anaingiaje hapo ?

pambaneni hali zenu na mkae mkijua sikio halizidi kichwa ...
 
Magufuli anaingiaje hapo ?

pambaneni hali zenu na mkae mkijua sikio halizidi kichwa ...

Iko wazi hiyo boss. Kwa mwenendo wa hizi mahakama zetu, hata wakitoa hukumu dhidi ya Lisu bado itaonekana ni kwa msukumo wa mtu, kwani mahakama imekuwa ikitumika kufanya mambo ya kutia shaka.
 
Tatizo jingine la upinzani ni kudhani au kufikiri kuwa Tundu Lissu ni mwanasheria pekee hapa Tanzania.

Sasa wanasahau kuwa pia anae mwanasheria wake na pia wapo wanasheria wengine kama yeye.
Sasa kama kuna magwiji wa sheria, risasi 36 za nini ?

Linapokuja suala la UTU, PESA na MADARAKA hakuna cha mchungaji wala sheikh.

Yawezekana mungu wao ni ni we madaraka na pesa
 

Kama ni engine wanasema itahitajika total overhaul.

Uhuru wa mihimili na uwajibikaji kwa wananchi hakuna mbadala. Kwanini USA, Kenya, India nk waweze Ila sisi?

Ajaye kama si huyu:



Asipewe nafasi.
 
Huyu hakimu kuna siku atajikuta hupo ktk serikali ya utawala bora na wa sheria ndipo atatamani ardhi ipasuke immeze!
 
Hawezi siasa sa ushindani lakini kashindana mpaka kawa rais sasa hao wanaoweza kushindana nadhani watakuwa marais wa dunia.
 
Nasema atakwenda Segerea kama atataka ku-jump bail. That is what I am saying or that is what I meant.
huna lolote we nani mpaka useme hivyo, tahadhali , usipende kujitwisha mzigo ambaoa huna ,maisha hayako hivyo ,jishushe na umma utakuelewa . hakuna mwenye nguvu zahidi alieumba nchi ya tz na dunia kwa ujumla , mkuu
 
Haya mambo huwa hayahitaji kukurupuka tuache mahakama zifanye kazi yao.

..Hakimu anatumika kumuwekea TL "spidi-gavana."

..ili haki itendeke ni kesi zote zilipaswa kuahirishwa mpaka baada ya uchaguzi.

..TL siyo mhalifu sugu au wa kutisha, hivyo kesi hizo zinaweza kumsubiri.

..HAKI inapaswa kutendeka, na zaidi inapaswa kuonekana inatendeka.
 
Haina shida tutamsindikiza tu Rais wetu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…