Magufuli anaingiaje hapo ?Magufuli kama Magufuli hawezi siasa za ushindani, na kwa muundo wa katiba yetu rais ndio anaagiza mahakama ifanye vipi kazi. Kwa vyovyote vile Magufuli hawezi kukubali ushindani toka kwa Lisu, wakati ana uwezo kabisa wa kuitumia mahakama kumzuia mshindani wake. Kwa sasa hivi hiyo mahakama iko kwenye mbinyo mkubwa ili itumike kumdhibiti Lisu. Na kwa uhakika hata hukumu imeshapangwa iwe vipi.
Magufuli anaingiaje hapo ?
pambaneni hali zenu na mkae mkijua sikio halizidi kichwa ...
Sasa kama kuna magwiji wa sheria, risasi 36 za nini ?Tatizo jingine la upinzani ni kudhani au kufikiri kuwa Tundu Lissu ni mwanasheria pekee hapa Tanzania.
Sasa wanasahau kuwa pia anae mwanasheria wake na pia wapo wanasheria wengine kama yeye.
Nasema atakwenda Segerea kama atataka ku-jump bail. That is what I am saying or that is what I meant.so wewe mkuu umekua mahakama ? mbona wahukum mtu kwenda segerea mkuu fasta hivyo
Mahakama ndio tuseme hawaoni kuwa anatafuta wadhamini kitendo ambacho kina time limit? Mbona hizo kesi zilizokuwepo hawazisikilizi wanawapiga watuhumiwa tarehe tu na kuwarejesha Segerea.
Upinzani ukichukuwa nchi mwaka wowote, hakuna kuwasamehe wale wote waliotumia madaraka yao vibaya. Wanafanya hivyo kwa utashi wao binafsi na kinyume cha kiapo cha maadili. Piga chini mahakimu na majaji wote watakaonekana wamekiuka kufata sheria ya maadili ya umma.
asifanye kazi kwa maelekezo toka kwa jiweKwa hiyo asitekeleze sheria kwa sababu ya mwanchama wenu?
Hawezi siasa sa ushindani lakini kashindana mpaka kawa rais sasa hao wanaoweza kushindana nadhani watakuwa marais wa dunia.Magufuli kama Magufuli hawezi siasa za ushindani, na kwa muundo wa katiba yetu rais ndio anaagiza mahakama ifanye vipi kazi. Kwa vyovyote vile Magufuli hawezi kukubali ushindani toka kwa Lisu, wakati ana uwezo kabisa wa kuitumia mahakama kumzuia mshindani wake. Kwa sasa hivi hiyo mahakama iko kwenye mbinyo mkubwa ili itumike kumdhibiti Lisu. Na kwa uhakika hata hukumu imeshapangwa iwe vipi.
huna lolote we nani mpaka useme hivyo, tahadhali , usipende kujitwisha mzigo ambaoa huna ,maisha hayako hivyo ,jishushe na umma utakuelewa . hakuna mwenye nguvu zahidi alieumba nchi ya tz na dunia kwa ujumla , mkuuNasema atakwenda Segerea kama atataka ku-jump bail. That is what I am saying or that is what I meant.
...in order to stop IdiopathicHe is under unbearable pressure.
Tumbo kwao muhimuHuyu hakimu ajue kuna siku tutakuwa na utawala tofauti.
Si wa kwanza kukamatwa, kukamatwa kwake hakumzuii kupigiwa kuraAkamatwe tu asilete uwehu wake
Haya mambo huwa hayahitaji kukurupuka tuache mahakama zifanye kazi yao.
Kwa hiyo aache kufuata sheria kisa utawala mwingine?Huyu hakimu ajue kuna siku tutakuwa na utawala tofauti.
Kazi imeanza, Kinachofurahisha Huyo Lissu ukimuita MAHAKAMANI Ni Kama unamwambia nenda KAZINI.
Dereva wa Lisu yuko wapi?
Ndiyo mpiga risasi