Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Kule kwa mwamba aliyewapiga T7 na boss wake ni wanted hawezi gusa kule.Wakasachi kule Kaisho na Kayanga ....hakawii kuvuka Rwanda
Labda sauzi,ila sauzi kwa pesa ipi maana huwa hawana akili ya kuishi nje ya mshahara hawa.