Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Kesi nyingine hio kutumia jina feki kujipatia ajiraAtawageuka kwamba yeye siyo Paulo Makandoš¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesi nyingine hio kutumia jina feki kujipatia ajiraAtawageuka kwamba yeye siyo Paulo Makandoš¤£
Tanapol na intelligensia yao wameshindwa kumpata bashite haya ni maaajabu kama chadema wangewaza tu watakuw na kikao cha ndani tayar tanpol wangeishitokeza kitambo kukizuiaMahakama ya Kinondoni leo Jumanne imetoa amri ya kutangazwa gazetini, nyumba aliyoishi Masaki na au kijijini kwao Kolomije kwa aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ili apate taarifa za kesi iliyofunguliwa dhidi yake na Mwandishi wa Habari, Saed Kubenea. Kesi itatajwa 2 Machi 2022.
Pia soma > Paul Makonda ashindwa kufika Mahakamani katika kesi inayomkabili. Kesi yaahirishwa hadi 08 Feb 2022
Shauri hilo limetajwa kufuatia Mahakama hiyo kushindwa kusikiliza hapo awali baada ya shughuli kuingiliana.
Hao tayari wanatengenezewa mazingira ya kulindwa kwa kutaka kupitishia visheria vyao mshenzi kuhalalisha matendo ya wanaowaita "Undercover".Huu ujumbe umfikie kingai, mahita,jumanne,gudlack nk.
kama hapatikani unapeleka kwa mwajiri ama nyumbani kwake na hapo nyumbani kama hamna wa kupokea unabandika kwenye mlango wake.
Njia zote zikishindikana, sheria inasema inabidi litolewe tangazo la huo wito kwenye magazeti angalau mawili hadi matatu yanayo sambazwa nchi nzima, so hapo hamna cha ajabu.
š¤£Kesi nyingine hio kutumia jina feki kujipatia ajira
Mbona kama kuna jambo linachezwa hii taarifa ya mahakama kwanini hakuwataka polisi wamtafute ni apate taarifa tu kutoka gazetini kuhusu kesi iliyofunguliwa dhidi yake sasa hii haina mantiki yoyote anaweza ku-relux tu ata kama yuko huko Masaki, Imagine kama ni mtu tofuati na Makonda si Polisi wangeambiwa direct wamsake?Mahakama ya Kinondoni leo Jumanne imetoa amri ya kutangazwa gazetini, nyumba aliyoishi Masaki na au kijijini kwao Kolomije kwa aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ili apate taarifa za kesi iliyofunguliwa dhidi yake na Mwandishi wa Habari, Saed Kubenea. Kesi itatajwa 2 Machi 2022.
Pia soma > Paul Makonda ashindwa kufika Mahakamani katika kesi inayomkabili. Kesi yaahirishwa hadi 08 Feb 2022
Shauri hilo limetajwa kufuatia Mahakama hiyo kushindwa kusikiliza hapo awali baada ya shughuli kuingiliana.
Things fall apartFalling of the great
MambošAnatafuta kiki kama kawaida yake
Mkuu acha porojo Wewe,inabidi ifike mahali watu wote watii Sheria ,yaani unataka mama Samia amkingie kifua Makonda kwa makosa aliyojitakia!!?Ukitaka kujua kwa nini magufulists hawampendi samia ni kwa mambo kama haya. Wapwani ndio wafanyaji wakubwa wa madawa ya kulevya.
Mama anaacha aliyekua mtumishi mwakilishi wa rais mkoa wa dar kunyanyasika na kubakia katika hali ya mashaka kwa kazi aliyofanya kupambana na dawa za kulevya. Ni kisasi tu wala sio lingine.
Aliyetenda ugaidi yupo jelaKaa kwakutulia, upumbavu mliotendea watu mtaulipa.