Kwani hakuvamia clouds,
 
Vocha wapate wapi hali paymaster wao alishakufa
 
Bashite lazima wakuminye pumb* mwaka huu kama ulivyo kuwa unawaminya
 
Akamatwe
 
Mtu msafi aogopi mahakama. Naona unabii wa chidi benzi unatimia
 
Siamini kinachotokea, yaani ubabe ule wote jamaa anaogopa kujitokeza mahakamani. Hizi ni dalili za kudhibitisha tuhuma kutokana na alichokifanya. Poor Makonda dunia ipungeze speed aisee looh.
 
Atawageuka kwamba yeye siyo Paulo Makando🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…