Kule kwa mwamba aliyewapiga T7 na boss wake ni wanted hawezi gusa kule.Wakasachi kule Kaisho na Kayanga ....hakawii kuvuka Rwanda
Kwani hakuvamia clouds,Ukitaka kujua kwa nini magufulists hawampendi samia ni kwa mambo kama haya. Wapwani ndio wafanyaji wakubwa wa madawa ya kulevya.
Mama anaacha aliyekua mtumishi mwakilishi wa rais mkoa wa dar kunyanyasika na kubakia katika hali ya mashaka kwa kazi aliyofanya kupambana na dawa za kulevya. Ni kisasi tu wala sio lingine.
Vocha wapate wapi hali paymaster wao alishakufaDunia hii inakwenda mbio, watetezi wake wapo kimya kabisa tofauti na mwanzo wa kesi ya kiongozi mwenzake aliyekuwa DC wa Hai mkoa wa Kilimanjaro.
Sijui tatizo ni nini wanaLumumba na gang zima wamekuwa watulivu sana kuhusu kumtetea huyu mkuu wa mkoa wa zamani Paul Makonda.
Mpira ndo ushaanza hivyoAtaaibika huyo kubenea na waliomtuma
AkamatweMahakama ya Kinondoni leo Jumanne imetoa amri ya kutangazwa gazetini, nyumba aliyoishi Masaki na au kijijini kwao Kolomije kwa aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ili apate taarifa za kesi iliyofunguliwa dhidi yake na Mwandishi wa Habari, Saed Kubenea. Kesi itatajwa 2 Machi 2022.
Pia soma > Paul Makonda ashindwa kufika Mahakamani katika kesi inayomkabili. Kesi yaahirishwa hadi 08 Feb 2022
Shauri hilo limetajwa kufuatia Mahakama hiyo kushindwa kusikiliza hapo awali baada ya shughuli kuingiliana.
Kwa pesa gani za kuishi abroad.Huyo atakua abroad , watumie Interpol,,
Kama kaondoka kwa njia ya panya, lazima record ya exit utaipata Nairobi airport au south africa
Kwani zile Trilion 1.5 ziliisha? [emoji44][emoji44]Kwa pesa gani za kuishi abroad.
Nyamitako ha ha ha haSiku huyu nyamitako aka Bashite atakapopanda kizimbani kwa mara ya kwanza itakuwa ni faraja kwa familia za akina Ben Saanane, Azory Gwanda, Mo Dewji nk
Atawageuka kwamba yeye siyo Paulo Makando🤣Mahakama ya Kinondoni leo Jumanne imetoa amri ya kutangazwa gazetini, nyumba aliyoishi Masaki na au kijijini kwao Kolomije kwa aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ili apate taarifa za kesi iliyofunguliwa dhidi yake na Mwandishi wa Habari, Saed Kubenea. Kesi itatajwa 2 Machi 2022.
Pia soma > Paul Makonda ashindwa kufika Mahakamani katika kesi inayomkabili. Kesi yaahirishwa hadi 08 Feb 2022
Shauri hilo limetajwa kufuatia Mahakama hiyo kushindwa kusikiliza hapo awali baada ya shughuli kuingiliana.
Ndio jumla ya zile 7 walizopigwa na PAKAKwani zile Trilion 1.5 ziliisha? [emoji44][emoji44]