Yule hajafutwa ajira (kwa wanaoelewa maana ya kufutwa ajira wamenielewa).

Hivyo mwajiri wake ana taarifa zake zote.

Kwanini iwe vigumu kujulikana alipo?

Hapa kuna uhuni unaendelea
Mkuu wa mkoa ni cheo cha kisiasa akichokipata akitokea mtaani so amefutwa ajira ndugu yangu
 
Unajua hutofautiani Akili na Afande Swilla?
Nionyeshe neno JPM kwenye post yangu kwanza.
 
Labda wenzake wamemaliza Ili kulinda siri, huyu akikamatwa tutajua waliopiga Lisu risasi. Kama mbwa kala mbwa case closed
 
Na hiyo ya kutangaza ikishindikana ina kuaje?
 
Hujafa kweli hujaumbika..toto la baba leo lipo hatua hii...

Mzee wa listi ya wauza madawa ya kulevya anaposakwa na mahakama
 
Wanajua alipo mbona,

Sababu za kutoonekama ni aibu wale alowazodoa wako juu yake kwa sasa anaona shida.

Kumbuka alivyouiliwa kwemda jukwaa la VIP kwenye kampeni za jiwe.
 
Notice sio swala la kuku na yai; kipi kimetangulia.

Unasajili kesi kwanza, mahakama inaamua kama kuna kesi ya kujibu na kutoa notice.

Wakili awezi kujitapa tu tunamtaka mtu aje mahakamani kusikiliza upumbavu wao. For their own amusement ya kuona Makonda kapigwa picha akiingia mahakamani na kuchapisha kwenye magazeti yao au kurusha kwenye social media.

Ni sawa jirani ampige mkewe, aliepigwa agome kufungua mashtaka. Nyumba ya pili ivalie njuga kumshitaki mpigaji una uhusiano gani na tukio? Hana.

Mtu anaeweza shitaki kwa lazima ni jamuhuri, umepeleka umbea wako kwao. Wamemwita victim ameshauri waachane na case na wao wametii.

We jirani bado kihehere unashtaki kwa lazima, unaunganisha na ofisi ya DPP kwa kutoshitaki.

Hi case ya Makonda inatengeneza bad precedent mahakamani; kwa kuendekeza siasa za kishamba na ujinga ujinga.

Kama mimi ndio Makonda siendi, huyo Kubenea he might as well include Clouds Media kwa kutoshitaki.

Clearly motive ya case ni personal vendetta. Na hii case ikisikilizwa inafungua Pandora Box ya NGO kufungua mashtaka kwa niaba ya victim mbali mbali kama jamuhuri aitofanya na ndio mwanzo wa kusikilizwa case za ovyo ovyo kama hii ya Makonda.

It is a for a reason case civil dispute zinataka kuona relation la mshitaki na mshitakiwa vinginevyo kila mtu akikwera na tukio atafungua case.
 
Jamaa ni nouma anadharau hadi mahakama.
 
Wako busy na tamthiliya ya Mbowe kua ndio gaidi ila sio huyo mwana CCM alievamia media na mabenduki!!
 
Mahakama ina taratibu zake, usiilazimishe kufanya isivyotakiwa. Wakati wakutumia nguvu ukifika utamuona lupango km Sabaya.
 

Kweli kuna watu wana muda wa kuchezea. Private prosecution sio kazi ya lelemama. Private prosecutors don’t have the privileges and powers that public prosecutors enjoy!
 
Nahis kunakitu hakipo sawa, Ni ama walifungua kesi hawana mandatory yakufungua, au utaratibu wa mashitaka yake hajafuata utaraibu, halafu najiuliza Kwan nn waende mahakama ya kinondoni?? Y kndondn?? Mahakama ya chin?? Kwa link ya pm kunajambo haliko sawa,

Halafu hii nchi inautaratibu wa kuwa na wa mtu binafsi kufungua mashitaka kijinai?? Kwa nn naona maajabu?? Yaan mfunguaji wa kesi Hana connection yoyote hata ya mbali kwa nn afungue kesi, yaan mm tu nisiejua Sana sheria naona kunakosa ya kesi wao hawaoni??

Nadhani kubenea kunamahali anapata ufadhiri, au anatumika?? Maana angalia mashitaka yake et matumizi mabaya ya madaraka, duh[emoji1][emoji1] au kuvamia radio,ebooo,[emoji9][emoji15] kubenea unahasira zako binafs na hyo mtu??

Paul Wala Hana haja ya kumtafuta hvyo, kunauwezekano wanaemtafuta Ni mwingine na aliepo Ni mwingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…