Hahaha.......!Appointment[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Una akili sanaRerun
Demokrasia sio Odinga au Ruto kushinda, Demokrasia ni kitendo cha kumpa mlalamikaji nafasi ya wazi kwenda mahakamani kujenga facts zake na walalamikiwa kujibu facts hizo..Hivi ili ionekane ni Demokrasia ndio Odinga anatakiwa Ashinde??
Ila Ruto akishinda sio Demokrasia??.
Hivi nyie wabongo,, Kati ya Uhurodinga na Hustler , nani alikua na nguvu kubwa ya kucheza na Uchaguzi??.
RAIS NI RUTO !!.
Kwa Ubunge zipoDemokrasia sio Odinga au Ruto kushinda, Demokrasia ni kitendo cha kumpa mlalamikaji nafasi ya wazi kwenda mahakamani kujenga facts zake na walalamikiwa kujibu facts hizo..
Hapa kwetu na hata baadhi ya majirani zetu hakuna hiyo nafasi.
Watu wote wanajua Mganga hawezi kuwa Rais Kenya...ila wapo wanaomdanganya..Hivi ili ionekane ni Demokrasia ndio Odinga anatakiwa Ashinde??
Ila Ruto akishinda sio Demokrasia??.
Hivi nyie wabongo,, Kati ya Uhurodinga na Hustler , nani alikua na nguvu kubwa ya kucheza na Uchaguzi??.
RAIS NI RUTO !!.
na TigangaJaji Siyani anahitazama Judiciary ya Kenya kwa chuki kubwa.
Not true! kuna kiingereza amekikosea. Angali "sentensi" yake!Appointment[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
sijakuelewa mpenzi wanguMbona unatunanga bila ushahidi😎😎😎😎